Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huu sasa ni utani wa msimu

Anyway with Corona viruses, everything in this season has been a joke

Fahamu kuwa Wandishi waliomchagua ni Wandishi wa Kiengereza! Unadhani hii tunzo atashinda KDB (Belgian), Pogba (France), Bruno (Portuguese)?

Ni sawa na Wandishi wa Tanzania wampigia kura mchezaji bora wa Mwaka wa Aston Villa unadhani watampigia kura Grealish? Samatta anabeba tunzo mchana kweupeee.
 
Fahamu kuwa Wandishi waliomchagua ni Wandishi wa Kiengereza! Unadhani hii tunzo atashinda KDB (Belgian), Pogba (France), Bruno (Portuguese)?

Ni sawa na Wandishi wa Tanzania wampigia kura mchezaji bora wa Mwaka wa Aston Villa unadhani watampigia kura Grealish? Samatta anabeba tunzo mchana kweupeee.

Ila ushabiki ni kitu cha ajabu sana, sema hata waliompigia kura moyoni wanajua kwamba jamaa siyo bora kuwazidi washindani wake.
 
Huu mfano wa Waandishi wa Habari kumpigia kura mchezaji wa Aston Villa sio sahihi

Tuchukulie Waandishi wa Habari wa Tanzania wampigie kura Boco (nimetaja Boco kwa kuwa ndio nahodha wa mabingwa msimu huu na ni mtanzania)

Hiyo haiwezi kuwa sawa hata kidogo

Huyo Henderson hawezi kuwa hata top 3 ya wachezaji bora pale Liverpool,

It is a joke, I repeat it is a joke

There is no way to justify that
Fahamu kuwa Wandishi waliomchagua ni Wandishi wa Kiengereza! Unadhani hii tunzo atashinda KDB (Belgian), Pogba (France), Bruno (Portuguese)?

Ni sawa na Wandishi wa Tanzania wampigia kura mchezaji bora wa Mwaka wa Aston Villa unadhani watampigia kura Grealish? Samatta anabeba tunzo mchana kweupeee.
 
It's a joke to you kwa wengine tunasema anastahili kwa performance yake this season
Huu mfano wa Waandishi wa Habari kumpigia kura mchezaji wa Aston Villa sio sahihi

Tuchukulie Waandishi wa Habari wa Tanzania wampigie kura Boco (nimetaja Boco kwa kuwa ndio nahodha wa mabingwa msimu huu na ni mtanzania)

Hiyo haiwezi kuwa sawa hata kidogo

Huyo Henderson hawezi kuwa hata top 3 ya wachezaji bora pale Liverpool,

It is a joke, I repeat it is a joke

There is no way to justify that
 
Kwa msimu uliopita VVD haina mjadala kuwa ndiye mchezaji bora kwa kikosi cha Liverpool.
Lakini msimu huu tuweni wakweli TAA anastahili kila sifa ya kuwa ndiye mchezaji wetu bora wa Msimu! Kwa Beki mwenye umri wa miaka 21 kufunga goli 4 na kutoa 14 assists ni miracle ! Ukichanganya Midfielders wetu wote kwa pamoja hawafikii hayo aliyoyafanya TAA ambaye ana just 21 years.

But sidhani kama anaweza ambulia chochote as long as Le Captaine yupo ndani ya Liverpool.

trent-alexander-arnold.jpg
 
Kwa msimu uliopita VVD haina mjadala kuwa ndiye mchezaji bora kwa kikosi cha Liverpool.
Lakini msimu huu tuweni wakweli TAA anastahili kila sifa ya kuwa ndiye mchezaji wetu bora wa Msimu! Kwa Beki mwenye umri wa miaka 21 kufunga goli 4 na kutoa 14 assists ni miracle ! Ukichanganya Midfielders wetu wote kwa pamoja hawafikii hayo aliyoyafanya TAA ambaye ana just 21 years.

But sidhani kama anaweza ambulia chochote as long as Le Captaine yupo ndani ya Liverpool.

View attachment 1516501

Game 2 hizi za Crystal Palace na Chelsea zimesababisha niwaze kwamba we probably going to have another David Beckham when it comes to fouls.

Jamaa accuracy yake inaendelea kuongezeka siku hadi siku.
 
Huu mfano wa Waandishi wa Habari kumpigia kura mchezaji wa Aston Villa sio sahihi

Tuchukulie Waandishi wa Habari wa Tanzania wampigie kura Boco (nimetaja Boco kwa kuwa ndio nahodha wa mabingwa msimu huu na ni mtanzania)

Hiyo haiwezi kuwa sawa hata kidogo

Huyo Henderson hawezi kuwa hata top 3 ya wachezaji bora pale Liverpool,

It is a joke, I repeat it is a joke

There is no way to justify that
Uanze na FIFA na Messi kwanza then ndio ujenge hoja ya Hendo na EPL hapa nyumbani kwa wanaume wa MELWOOD.
YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom