Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tatizo lako hujui mpira kaka, unafatisha sana numbers, anord kazi yake ni kukaba, kufunga na assist hizo ni nyongeza tu kwenye kiwango chake, kwenye jukumu lake kama beki kafanya nn???
Tatizo lako unamuattack jamaa sijui kwa nini roho yako inakuuma ukiona post zake huongei point kama mwanaume unakuwa kama mwanamke
 
Tatizo lako hujui mpira kaka, unafatisha sana numbers, anord kazi yake ni kukaba, kufunga na assist hizo ni nyongeza tu kwenye kiwango chake, kwenye jukumu lake kama beki kafanya nn???

Hapo kwenye kulinda nakuunga mkono
 
Kwani majadiliano yako wewe hapa yana impact gani kule Anfield??? Acha kuchekesha bro, ndio hivyohivyo kule Gunners, toka watu waanze kulalamikia wamiliki wamekiwa wabahili wanatakiwa waweke fungu la maana ili kucompete na timu nyingine kubwa kufanya usajili kuna impact gani?

Hapa ni kupiga soga tu, tangu mlivyoanza kumponda Hendorson na kumuita takataka mara kibao lipi lililotokeaa tofauti kwa Klopp?
Sanasana mnajipanikisha na kujijaza chuki zisizo na sababu na kila siku jamaa yupo katika 1st 11 na makombe kabeba yeye akiwa kiongozi

Na mapovu mnaendelea kutoa kama yote jamaa na Tunzo kabeba

Maisha ni mafupi sana haya, hivyo ni vyema kuepuka kujijaza chuki zisizo na sababu ili kuepuka magonjwa yasiyo ya lazima.

Timu yangu haiwezi kushuka daraja kwa sasa na hata ikishuka nitashuka nayo na kupanda nayo tena, sababu haitokuwa timu ya kwanza kushuka,

COYG
Henderson alitamka wazi kabisa kuwa anajua Mashabiki hatumtaki
 
Liverpool imefungwa magoli mangapi unayoweza kusema ni makosa ya TAA?

Nikwambie kitu kimoja, wewe jamaa uko so inferior kwa mshikaji, jitahidi, maisha hayako hivyo.

Njoo na uchambuzi wako, na siyo ku attack mtu aliyetoa points.

Yani mpaka nashangaa! Jamaa tokea nianze kumuona hapa JF basi anaonekana kwenye Posts zangu tu! Humuoni kupost kitu as him, bali anasubiri nipost kitu ndiyo aibuke.
Tena nakumbuka niliwahi kumuignore na mpaka sasahivi yupo kwenye ignore list yangu lakini posts zangu anaziona na kureply! Sijui JF inani.
 
Hapo kwenye kulinda nakuunga mkono

Hapo kwenyekulinda tulishajadili zamani kuwa nje ya mfumo wa Klopp jamaa ataonekana kama Shomari Kapombe tu, hata Mtoto mdogo anajuwa TAA si mkabaji, Lakini hili mimi simlaumu kwasababu TAA katika maisha yake yote ya Academy amekulia kama Defensive Midfielder na sio Fullback.
Amegeuzwa kuwa Fullback baada ya kuumia Clyne na tukawa hatuna mbadala.

Lakini kuhusu mchango wake wa ushambuliaji kama sio huyu dogo basi haya makombe 4 tungeyasikia tu kuwa yapo.

Unaweza kura Assist katoa Salah au Mane lakini building ni ya huyu Dogo.

Barcelona tuliwatoa kwa sababu ya huyu dogo then pongezi zikaenda kwa Captain kuwa ndiye Mchezaji wetu bora.

Sikumbuki kuiona game ambayo TAA na Robbo wapo kwenye kiwango chao tukapoteza game hiyo.
 
Yani mpaka nashangaa! Jamaa tokea nianze kumuona hapa JF basi anaonekana kwenye Posts zangu tu! Humuoni kupost kitu as him, bali anasubiri nipost kitu ndiyo aibuke.
Tena nakumbuka niliwahi kumuignore na mpaka sasahivi yupo kwenye ignore list yangu lakini posts zangu anaziona na kureply! Sijui JF inani.

Namwonaga jamaa, kutakuwa labda kuna sehemu umeingilia interests zake.
 
Kuondoka kwa Lovren na Lallana kumenipa faraja sana kwani hapo tumesevu jumla ya £220K per week ambayo ni mishahara yao waliyokuwa wanakula bure kwenye benchi kama Ozil anavyolamba Minoti ya bure ya Arsenal! Hii inanipa moyo kuwa tutasajili msimu huu.
Dah, usinikumbushe huo mpunga wa Ozil unaniumiza sana
 
Hapo kwenyekulinda tulishajadili zamani kuwa nje ya mfumo wa Klopp jamaa ataonekana kama Shomari Kapombe tu, hata Mtoto mdogo anajuwa TAA si mkabaji, Lakini hili mimi simlaumu kwasababu TAA katika maisha yake yote ya Academy amekulia kama Defensive Midfielder na sio Fullback.
Amegeuzwa kuwa Fullback baada ya kuumia Clyne na tukawa hatuna mbadala.

Lakini kuhusu mchango wake wa ushambuliaji kama sio huyu dogo basi haya makombe 4 tungeyasikia tu kuwa yapo.

Unaweza kura Assist katoa Salah au Mane lakini building ni ya huyu Dogo.

Barcelona tuliwatoa kwa sababu ya huyu dogo then pongezi zikaenda kwa Captain kuwa ndiye Mchezaji wetu bora.

Sikumbuki kuiona game ambayo TAA na Robbo wapo kwenye kiwango chao tukapoteza game hiyo.
Klopp na Jordan Brian Henderson ndio siri ya mafanikio ya Liverpool.




Hii haina mjadala
 
Klopp na Jordan Brian Henderson ndio siri ya mafanikio ya Liverpool.




Hii haina mjadala
Mkuu kwanini unajificha kwenye kichaka cha Henderson kila siku, Sema tu wazi usione Aibu kwamba Mimi DullyJr nimehamia kwa Mabingwa wa Dunia Liverpool fc it's simple tu.
Tutakukaribisha vizuri Mkuu.
 
Sad kiwango chake kilishuka

But no way our team has to get the quality it deserves

Bye bye Maestro Lallana
Mkuu ule uzi wa Liverpool sio masihara kabisa yaani unahitaji zaidi ya kupaji ku shine pale Anfield...

Boy had potential when we poached him from Southampton, balaa la majeruhi and Klopp bringing better upgrades zaidi yake meant end for his career with us...

In any way, we say thanks to this Everton boyhood lad...

Hopefully we meet him in the future EPL na mashabiki wakiwa warejea ili apewe heshima yake..

YNWA
 
Mkuu kwanini unajificha kwenye kichaka cha Henderson kila siku, Sema tu wazi usione Aibu kwamba Mimi DullyJr nimehamia kwa Mabingwa wa Dunia Liverpool fc it's simple tu.
Tutakukaribisha vizuri Mkuu.
Labda iwe Mars,
Lakini si kwa dunia hii, endelea kuota mkuu, ina maana ninavyokuwa kule ktk jukwaa la Chelsea nakuwa chelsea, nikienda manchester nakuwa manchester

Kama ndio hivyo basi shabiki wa Liverpool ni mkuu Captain Marvelous tu, maana yeye huwezi mkuta majukwaa mengine kizembe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom