koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,787
- 10,394
Tatizo lako unamuattack jamaa sijui kwa nini roho yako inakuuma ukiona post zake huongei point kama mwanaume unakuwa kama mwanamkeTatizo lako hujui mpira kaka, unafatisha sana numbers, anord kazi yake ni kukaba, kufunga na assist hizo ni nyongeza tu kwenye kiwango chake, kwenye jukumu lake kama beki kafanya nn???



