Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Why we struggle mara nyingi Hendo asipokuwepo?

Mkuu hata Mimi ninajiuliza sana hili swali kwanini asipocheza Hendo tunastruggle sana?

Mfano mdogo Klopp alimuweka Benchi Hendo dhidi ya Man City tukaishia Kukung'utwa goli 4 kwa Mtungi ilihitajika Klopp atupe maelezo ya kutosha Washabiki.
Au kwenye ile game tuliyodundwa Misumari Mitatu na Watford Klopp alifanya uzembe sana kutomchezesha Hendo.
Ikisha akarudia makosa ya kutomchezesha Hendo kwenye game yetu vs Atletico pale Anfield tukaishia kufungwa.

Haki ya nani tunapata shida sana asipocheza Hendo, Zaidi ya Misimu miwili sasa hatujawahi Kupoteza game ambayo Hendo amecheza.

Hendo is Invincible
 
1) Ivi wapo Washabiki wa Liverpool wanaoamini kuwa tunafungwa na kutoa sare kwasababu tumeshabeba Kombe?

2) Je wapo wanaoamini kuwa tunafungwa na kutoa sare kwasababu ndiyo uwezo wa Timu yetu ulipoishia baada ya baadhi ya Wachezaji kuporomoka Viwango?

Namba 2 kwangu inamake sense, What's yours?
 
Mkuu hata Mimi ninajiuliza sana hili swali kwanini asipocheza Hendo tunastruggle sana?

Mfano mdogo Klopp alimuweka Benchi Hendo dhidi ya Man City tukaishia Kukung'utwa goli 4 kwa Mtungi ilihitajika Klopp atupe maelezo ya kutosha Washabiki.
Au kwenye ile game tuliyodundwa Misumari Mitatu na Watford Klopp alifanya uzembe sana kutomchezesha Hendo.
Ikisha akarudia makosa ya kutomchezesha Hendo kwenye game yetu vs Atletico pale Anfield tukaishia kufungwa.

Haki ya nani tunapata shida sana asipocheza Hendo, Zaidi ya Misimu miwili sasa hatujawahi Kupoteza game ambayo Hendo amecheza.

Hendo is Invincible
 
1) Ivi wapo Washabiki wa Liverpool wanaoamini kuwa tunafungwa na kutoa sare kwasababu tumeshabeba Kombe?

2) Je wapo wanaoamini kuwa tunafungwa na kutoa sare kwasababu ndiyo uwezo wa Timu yetu ulipoishia baada ya baadhi ya Wachezaji kuporomoka Viwango?

Namba 2 kwangu inamake sense, What's yours?
uweoz mkuu, tuache excuse ingekua kwa sababu tumebeba kombe tungekuwa tunawaona kina jones, elliot n.k wakianza,......

klop pia anatudanganya sana, anasema hakujali kuhusu rekodi ya city, kwanini basi asingewapa game time baadhi ya wachezaji ambao hawajatumika sana msimu mzima?
 
Soma hayo maandishi achana na goli View attachment 1508402

Hayo maandishi Mimi hayajanifanya niwe concerned nayo ndiyomana sijaona kuwa yana umuhimu wowote kwasababu hapo Mashabiki wa Arsenal wamejaribu kutengeneza upinzani that doesn't exist.

Sisi wapinzani wetu ni Everton kugombania Ufalme wa Jiji la Liverpool, Na Manure kugombania Ufalme wa Kaskazini (Northwest Derby).

Sasa nyinyi Arsenal sisi hatuna upinzani na nyinyi wowote bali wapinzani wa Arsenal ni Westham, Spurs na Chelsea kugombaniana Ufalme wa London ama Fan base ya London.

So, Mockery ya Golden Cup it doesn't matter kwa upande wangu! They should show/tell this to Chelsea Fanboys.
 
Hayo maandishi Mimi hayajanifanya niwe concerned nayo ndiyomana sijaona kuwa yana umuhimu wowote kwasababu hapo Mashabiki wa Arsenal wamejaribu kutengeneza upinzani that doesn't exist.

Sisi wapinzani wetu ni Everton kugombania Ufalme wa Jiji la Liverpool, Na Manure kugombania Ufalme wa Kaskazini (Northwest Derby).

Sasa nyinyi Arsenal sisi hatuna upinzani na nyinyi wowote bali wapinzani wa Arsenal ni Westham, Spurs na Chelsea kugombaniana Ufalme wa London ama Fan base ya London.

So, Mockery ya Golden Cup it doesn't matter kwa upande wangu! They should show/tell this to Chelsea Fanboys.
Man utd ufalme tunao kitambo Sana ..we kiazi rekebisha kauli
 
Mkuu hata Mimi ninajiuliza sana hili swali kwanini asipocheza Hendo tunastruggle sana?

Mfano mdogo Klopp alimuweka Benchi Hendo dhidi ya Man City tukaishia Kukung'utwa goli 4 kwa Mtungi ilihitajika Klopp atupe maelezo ya kutosha Washabiki.
Au kwenye ile game tuliyodundwa Misumari Mitatu na Watford Klopp alifanya uzembe sana kutomchezesha Hendo.
Ikisha akarudia makosa ya kutomchezesha Hendo kwenye game yetu vs Atletico pale Anfield tukaishia kufungwa.

Haki ya nani tunapata shida sana asipocheza Hendo, Zaidi ya Misimu miwili sasa hatujawahi Kupoteza game ambayo Hendo amecheza.

Hendo is Invincible
images%20(7).jpg
 
Hayo maandishi Mimi hayajanifanya niwe concerned nayo ndiyomana sijaona kuwa yana umuhimu wowote kwasababu hapo Mashabiki wa Arsenal wamejaribu kutengeneza upinzani that doesn't exist.

Sisi wapinzani wetu ni Everton kugombania Ufalme wa Jiji la Liverpool, Na Manure kugombania Ufalme wa Kaskazini (Northwest Derby).

Sasa nyinyi Arsenal sisi hatuna upinzani na nyinyi wowote bali wapinzani wa Arsenal ni Westham, Spurs na Chelsea kugombaniana Ufalme wa London ama Fan base ya London.

So, Mockery ya Golden Cup it doesn't matter kwa upande wangu! They should show/tell this to Chelsea Fanboys.
Povu kali sana hili mkuu,
Relax
Kwani huyo aliyekwambia hivyo sio shabiki wa Arsenal ni ameamua tu kukuumua .....



Is Yours Gold????

Jibu ni fupi tu YES/NO.
 
Sioni Keita akisifiwa au nimeangalia kwa mahaba kapiga mwingi sana jana.au tunasubili akosee tuseme hafai?

Chambalini m bovu analazimishwa tu kupangwa kiwango kibovuu anabadilishwa tu namba lakini wapi nae sioni akiguswa
Tatizo klopp ni mliberali sana, hampend kabisa Keita .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom