Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Jana waliokuwa na matokeo yao mfukoni ninawashauri siku ya game na Chelsea wasiwe na matokeo yao Mfukoni.
Kwan mi timu gani?Malizaneni kwanza na arsenal![]()
Mi naona tumecheza vibaya tu.Ila mara zote tumekuwa tukiadhibiwa na timu pinzani kwa makosa yetu wenyewe ngoja na sie tufanye hivyo kwa wengine wanaofanya makosa ya hivyo.Hongereni bana, mmeshinda kihalali kabisa, naona mipango ya kocha na timu haikuwa sawa na mipango yetu washabiki.
Kwahiyo unadhani liver watarudi hivihivi? Msimu uliopita mlitabiri hayahayaLiver ni timu dhaifu sana kama wanafungwa na hii Arsenane mbovu kabisa kilichowasaidia nyie looserfool ni kutake advantage mapema next season mtapata tabu sana
Huu ni muda mwafaka kwa Klop kuondoka Liver. Msimu ujao hata ubingwa hataweza kuutetea na ni wazi timu inahitaji kusukwa upya kwenye baadhi ya nafasi, ikizangatiwa baadhi ya wachezaji wamefikia peak.



FA washamaliza kazi yao kuibeba Liverpool wabebe kombe sasa hii ndo liver halisi tunayoijua.
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app



Why we struggle mara nyingi Hendo asipokuwepo?
kwa kuwin mechi nyingi kuliko woteHii team imechukuaje ubingwa
Wewe ndio Kop sasa, sio unajiita Kop hata kuta za anfield hujawahi shikaany how i can't stop loving liverpool
vijana wamepress muda mrefu sana
Wamepambana sana huu msimu determination yao Ya kombe ulkua unaiona usoni
ntafanya juu chini nshike hili kombe aisee





Wewe ndio Kop sasa, sio unajiita Kop hata kuta za anfield hujawahi shika![]()
Kama jana ulivyokuja na matokeo ya point3 mfukoni ili umalize na pt100+atletico![]()



alafu ukachezea visu

Una madongo ya kichinichini sanaHuyu lazima acheze Mkuu nakumbuka alipopona kutoka injury tulimtangaza kuwa ni New signing
,yule mwanetu wenyewe asingeweza kufanya lolote la tofauti katika ground ile.Tuacheni ujuaji jamani hii Timu Coutinho na Alcantara waletwe waokoe Jahazi.
Kununua U23 au kuwapandisha kutoka Academy hawawezi kusaidia chochote kwani huu ni muda wa kupambana sio muda wa kufanya majaribio.
Na niliwaambia humu kwakuwa Hendo hayupo tutawachakaza,Why we struggle mara nyingi Hendo asipokuwepo?