Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yani Arsenal ingelikuwa angalau ina uhakika wa Top Four tu basi kuna Watu wangehama JF

Kwahiyo hata tusishukuru tunapopongezwa mkuu?basi ngoja nikae kimya ndugu yangu,
Maana unaongea vitu visivyokuwepo,Arsenal ndio timu iliyokaa hapo Top Four muda mrefu mfululizo kuliko timu nyingine yoyote hapo EPL
Tokea Wenger anaichukua akiwa kijana mpaka anazeeka
Mtu amezaliwa Arsenal ipo Top Four mpaka amekuwa kijana Arsenal ipo Top Four ,kwa mantiki ya comment yako wewe ungekuwa ushahama JF kitambo
 
Top six ya kupiga makelele au ya msimamo wa ligi?
Mumeumia sana....poza hasira na hayo maneno hapo juu?

Ila mkuu,wewe ndio Deo Mwanasoka mwandishi wa makala pale EFM ?maana kuna dots naziconnect hapa naona kama ni wewe...juzi tu nilikuona ukizungumzia Timu ya Taifa ya Ugiriki leo naona umeishushia makala
JamiiForums-190762484.jpg
 
Mumeumia sana....poza hasira na hayo maneno hapo juu?

Ila mkuu,wewe ndio Deo Mwanasoka mwandishi wa makala pale EFM ?maana kuna dots naziconnect hapa naona kama ni wewe...juzi tu nilikuona ukizungumzia Timu ya Taifa ya Ugiriki leo naona umeishushia makala View attachment 1509256

Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba, hao watangazaji tuko nao humu, kwa hiyo wanachukua taarifa kibao kutoka humu na kwenda kuziongelea kwenye redio na vyombo vyao vya habari.

Huyo mtu sijawahi kumsikia, ndo nalisikia jina hili kutoka kwako.

EFM nina zaidi ya mwaka kipindi chao cha michezo sikisikilizi.
 
Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba, hao watangazaji tuko nao humu, kwa hiyo wanachukua taarifa kibao kutoka humu na kwenda kuziongelea kwenye redio na vyombo vyao vya habari.

Huyo mtu sijawahi kumsikia, ndo nalisikia jina hili kutoka kwako.

EFM nina zaidi ya mwaka kipindi chao cha michezo sikisikilizi.
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu, utakuta muda mwingine vipindi vinapoteza mvuto maana jambo ushalijadili hapa baada ya siku mbili wao ndio wanalianzishia mjadala katika kipindi kwa context ileile kwa sisi wazurulaji wa nyuzi tofauti hatuoni jipya,
Halafu hata shukrani hawatoi
 
Hiyo ndiyo level yao, siku hizi wame invest kwenye mdomo kuliko uwanjani.

Wamebaki na historia ya kuchukua ubingwa bila kupingwa, wanatembea na hiyo record kila wanapoenda.
Hata wewe ulikuwa unaitaka hiyo rekodi umeishindwa mkuu, why nisitambe
Game ishaisha na haijabadilisha wewe kuwa bingwa so haina sababu ya kuumia sana,kama suala la rekodi ya point100 lisikuumize sana kichwa ulichopata shukuru,jali hitaji(needs) kuliko takwa(wants), hitaji lako lilikuwa ni EPL hayo mengine ni matakwa tu ambayo ni UNLIMITED
View attachment 1509273
 
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu, utakuta muda mwingine vipindi vinapoteza mvuto maana jambo ushalijadili hapa baada ya siku mbili wao ndio wanalianzishia mjadala katika kipindi kwa context ileile kwa sisi wazurulaji wa nyuzi tofauti hatuoni jipya,
Halafu hata shukrani hawatoi

Binafsi huwa nasikiliza mara chache sana redio, sana utanikuta atleast kwa siku lazima niangalia Bbc Sports, ESPN kwa sababu ya basketball na nina App ya All Football.

Hizo ni tosha kwa ajili ya news za michezo, nikija humu JF ndo inakuwa kama redio yangu.
 
Vintage Liverpool at Kops...

Klopp’s side are now unbeaten in their last 58 Premier League games at Anfield, winning 47 and drawing 11 in a sequence that stretches back to April, 2017.

Of the last 114 points up for grabs at Anfield, Liverpool have collected 108.

YNWA
 
Mushaanza tena!!!
Musione tumenyamaza ni kwamba hatujachokozwa tu!!

Tumepigwa na!
1) ATM away Hendo ndani
2) ATM Home Hendo ndani
3) Watford Hendo ndani
4) Man City Hendo ndani

Droo na Manure Hendo ndani
Droo na Everton Hendo ndani
Ddroo na Burnley Hendo hakucheza ×
Still win ratio with him 90% while without him 60%?

Nadhani without him wanahesabu na zile game za FA na Carabao tulizokung'utwa na Aston Villa 5 kwa Mtungi

Haki ya Nani kuna Watu Stats zao wanatoa Kuzimu wakizani sisi ni Misukule hatujui kinachoendelea
Mechi nyingi uliozitaja hajakuwemo ndan, we ni kama hujui mpira we jamaa
 
Mechi nyingi uliozitaja hajakuwemo ndan, we ni kama hujui mpira we jamaa

Yani wewe Jamaa ulishauriwa zamani kuwa wakati mwengine kaa kimya kwa Vitu vidogo usivyovijua lakini umekuwa mbishi!

Ukweli ni kwamba unatutia aibu washabiki wa Liverpool kuonekana hatujui lolote kumbe ni wewe peke yako ndiyo usiyeifuatilia Liverpool lakini kila kitu unataka ukizungumzie ili uonekane unajua wakati hapa kila Mtu anakucheka jinsi kichwani ulivyo mweupe kuhusu mpira.

Eti Hendo hakucheza! Hebu futa hizo takataka ulizoandika usiendelee kuumbuka hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom