Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Salah anazo 20 kwa sasa kakaNilikuwa napitia msimamo wa Top Scorer nimeona:-
1) Vardy - 22
2) Auba - 20
3) Salah - 19
4) Ings - 18
Auba na Vardy wapo vizuri sana kwa kufumania Nyavu sijui kama Salah anaweza toboa kwenye Golden boot msimu huu kwa mechi 4 zilizobakia.
Enewey, huyu ndiye yule Salah anayeibuka our Top Scorer for three consecutive seasons tuliyeambiwa auzwe na namba apewe Origi.
Salah anazo 20 kwa sasa kaka
Uenda itakuwa hawajaupdate vzr maana before Covid break alikuwa nazo 17, mechi na Palace alitupia 1 jana katupia 2 iweje 19 tena?Nimeangalia kwenye App ya Premier League inasoma 19
Sometimes Critics wanachangia kubadili ubora wa Kitu/Mtu ingawa anachukia kukosolewa.
Asingekuwa anashambuliwa kwenye mitandao mpaka akaikimbia Twitter basi angaliendelea kuvimba kichwa tu cha ucaptain.
But zile jitihada zake za kutaka kutuprove wrong ndiyo zimemsaidia angalau kujikongoja kidogo.
Ndio maan hujawa mkuu. Maana maamuzi yako aya make senseThanks, nimeshtuka nikasema dogo kaumia lini tena.
Mimi ningekuwa kwenye nafasi ya maamuzi, Ox, Gini, Firmino ningewaambia muda wa kuwa Liverpool umeisha.
Keita ningempa msimu mmoja zaidi.



Ndio maan hujawa mkuu. Maana maamuzi yako aya make sense![]()
Kwa kinda kama yule kumpa majukum yasio yake ni kumharibu kiakili.As long as we've nothing to lose hii rotation ya leo ni nzuri kwa Afya za wachezaji wetu.
Sijui Klopp anataka kumdesign Neco Williams kuwa LB na Backup ya Robertson? Just I'm asking myself.
Sioni Keita akisifiwa au nimeangalia kwa mahaba kapiga mwingi sana jana.au tunasubili akosee tuseme hafai?
Chambalini m bovu analazimishwa tu kupangwa kiwango kibovuu anabadilishwa tu namba lakini wapi nae sioni akiguswa
Nyie hamna wachezaji basi tu dodo limedondoka kwenye mwarobainiSioni Keita akisifiwa au nimeangalia kwa mahaba kapiga mwingi sana jana.au tunasubili akosee tuseme hafai?
Chambalini m bovu analazimishwa tu kupangwa kiwango kibovuu anabadilishwa tu namba lakini wapi nae sioni akiguswa
Sioni Keita akisifiwa au nimeangalia kwa mahaba kapiga mwingi sana jana.au tunasubili akosee tuseme hafai?
Chambalini m bovu analazimishwa tu kupangwa kiwango kibovuu anabadilishwa tu namba lakini wapi nae sioni akiguswa