koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,787
- 10,394
Hivi si ndio msomi wetu huyu?Yani huyo Jamaa mpira anaupenda lakini yeye haumpendi.
Ni failure kabisa.
Hivi si ndio msomi wetu huyu?Yani huyo Jamaa mpira anaupenda lakini yeye haumpendi.
Ni failure kabisa.
Bring them...
Jamaa yupo sheki kinoma afuu analeta hoja ambazo yeye mwenyewe hazijuiYani wewe Jamaa ulishauriwa zamani kuwa wakati mwengine kaa kimya kwa Vitu vidogo usivyovijua lakini umekuwa mbishi!
Ukweli ni kwamba unatutia aibu washabiki wa Liverpool kuonekana hatujui lolote kumbe ni wewe peke yako ndiyo usiyeifuatilia Liverpool lakini kila kitu unataka ukizungumzie ili uonekane unajua wakati hapa kila Mtu anakucheka jinsi kichwani ulivyo mweupe kuhusu mpira.
Eti Hendo hakucheza! Hebu futa hizo takataka ulizoandika usiendelee kuumbuka hapa.
Jamaa yupo sheki kinoma afuu analeta hoja ambazo yeye mwenyewe hazijui
Hivi si ndio msomi wetu huyu?
WiljnardumYani hapa ndiyo tulipofikia Bingwa kuwa na Mentality za usajili wa wachezaji kama hawa wa Midtable Team kwa reference ya Robertson.
Hao wote ni takatakaWiljnardum
Robertson
Virgil
Filmino
Mane
Le captain Jordan Brian Henderson
Wote Hao wametoka Midtable Team mkuu, au hujui
Klopp knows,
Mechi na Watford hakuchezaYani wewe Jamaa ulishauriwa zamani kuwa wakati mwengine kaa kimya kwa Vitu vidogo usivyovijua lakini umekuwa mbishi!
Ukweli ni kwamba unatutia aibu washabiki wa Liverpool kuonekana hatujui lolote kumbe ni wewe peke yako ndiyo usiyeifuatilia Liverpool lakini kila kitu unataka ukizungumzie ili uonekane unajua wakati hapa kila Mtu anakucheka jinsi kichwani ulivyo mweupe kuhusu mpira.
Eti Hendo hakucheza! Hebu futa hizo takataka ulizoandika usiendelee kuumbuka hapa.
MaShabiki wanyumbu naona Bruno kawarudisha kwenye huu uzi,Hao wote ni takataka
Jamaa Alijimwambafai sana ile sikuTajiri halafu msomi![]()
Wiljnardum
Robertson
Virgil
Filmino
Mane
Le captain Jordan Brian Henderson
Wote Hao wametoka Midtable Team mkuu, au hujui
Klopp knows,
Mechi na Watford hakucheza
But we ni mtu mzima sana, umenipita miaka mingi sana na heshima kwa hilo kwanza, ila akili yko ni ileile ya kizamani, naamin watu wanapokuwa hujua vingi ila ka kupevuks ni binadam mwenyewe kutaka, Liver anavyocheza Henderson akiwa ndani ni tofaut sana akiwa nje, akiwa ndan beki zetu na timu inajijenga, akiwa nje beki zinakuwa exposed, we ni aina ya watu wasiojua kuangalia na kupangilia mipango au kusukua mipango hiyo akili huna(samahan kwa hilo)
Unachojua ni kuona end product na mazao, we ni moja ya watu mliotayari kumpa sifa beki anaefunga magoli kuriko beki kisiki anaepitwa kwa bahati, anyways tutabishana ata miaka mia ila sitokuconvince unielewe mana ushachagua njia yako mkubwa, na hatujaanza leo hii mada, zaid zaidi utaniona tu mi nina dharau kitu nisichonacho
Mie sie mshabiki tena wa Liver na sitaki kushabikia timu ila ligi, sifaidiki nao na wala hawanijui, nilichotaka kama mshabiki nilipata na sijioni muhitaji tena so ushabiki nawaachia nyie wakuu
Unasemaje Sasa.
Arsenal 2 City 0
🔥🔥🔥🔥
Ka umeandika upupu wote tukae kimya, ka hutaki kuquotiwa usiandike, tatizo lako sijui maisha unayoishi mzee wangu, kwa heshima zote, kama hutaki kujibiwa na hadhara kwann uiambie hadharaNajua kuwa hakucheza game ya Watford, kwahiyo ndiyo Tafsiri ya ulichokiandika kuwa game nyingi hakucheza sio?
Enewey! Mara zote Mimi ninapopost hapa wewe ndiye unayejitia kiherehere cha kuniquote, halafu nikikujibu unaanza kulialia hapa na mioasho.
Si achana na posts zangu tu, yanini kuteseka?