Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii ilofungwa ndo liverpool nayoijua mimi
mimi Man U ila najua katika maisha ukishapata ulichokua unakitafuta basi motivation inaisha kabisa. Liver hawana tena morali ya kukaza kama walivyokua wanakaza mwanzoni mwa msimu sababu ubingwa wameshaupata.
kumtaka Liver atumie nguvu kumchalaza Man City ni sawa na kumtongoza mkeo mara ya pili.
 
Baada ya kupata kipigo kikamilifu ndani ya Itihad
482fe5b0-ab07-42ea-8b33-6fb8d53a8640.jpg
 
Signings kwa Timu yetu ni jambo lisiloepukika!

Izingatiwe kuwa wachezaji wetu wengi wameshafika kwenye Peak zao! Sio rahisi kuboreka tena zaidi ya pale walipo.
Firmino not the same! He's finished ingawa wengi hawapendi haya maneno! But angalia assists na magoli yake Msimu huu then utajua What I mean.
Gini age is matter
Hendo age
Milner age
Salah reached his peak, he's starting to decline
Robertson reached his peak, same to Salah
Matip age
Mkuu hawa jamaa misimu hii mitatu wametumika vya kutosha, kutoka EPL, UCL, Kombe la Dunia, Afcon, Copa America nk ukweli ni kwamba mfumo wa Klopp high intensity to win the ball high in the pitch sio wa kitoto unahitaji full team playing kama unit ndio maana hua tukilost kama jana basi unaona mara ni yule mara huyu kwa vile team inacheza kwa kutegemeana mno..

Ninachokiona mimi tulishalisema hata kabla ya game ya Alet na kabla ya lay off due to covid we were heading down kimatokeo big time kiasi isingekua gap kubwa am positive we could have bottled EPL...

Having a small squad is really costly in terms of managing game time na kuwapa wachezaji muda kupumzika too bad we aint blessed in that spot...

Hilo la age is open na sio jambo geni kwetu kwani moja ya ishu zilizomcost Bill Shankly kazi yake ni kutopangalia vyema umri na peak ya wachezaji.. He was too loyal and ili mcost...hopefully Klopp won't go through that road...

Kusajili ama kutosajili ni ishu kwani Klopp na hawa jamaa hua hawasomeki vyema utashanga mara Alcantara, Traore etc wametua the Liverpool way ama utasikia hatununui waliopo wanatosha.. Mbali tunaboresha mishahara ya waliopo especially Allison, VVD, Mane, Gini..

Uzuri dirisha litafungwo hukoooo mwezi wa October so lets wait and see how armed we gets kutetea ama ku attack 2020-2021 EPL trophy ila jana that was a wake up call..

YNWA
 
Ukweli mchungu ni kwamba ukijudge uwezo wa mchezaji mmoja mmoja hapo liverpool wengi wao ni wa kawaida sana, ila unapokuja katika kucheza kitimu aiseeeh ni wapambanaji kwelikweli kama walikuwa wanatumia booster na hili ndilo lililoleta mafanikio hapo Anfield.
Na nilishawahi kusema na ninasema tena wachezaji wametumia nguvu nyingi sana, wamejituma sana kinachofuata ni fatigue....
Kwangu mimi msure master ni Klopp, maana ndiye aliyekuwa anafanya Hendo ajione kama SG, Robbo ajione kama J.A.R lakini kiukweli hata nusu ya uwezo wa hao watu hawana,
Liverpool walikuwa na kitu kimoja tu ambacho timu zote za EPL hawakuwa nacho ni JK

Hands up to Klopp
Well said..

YNWA
 
For the second season in a row City have beaten us kwao EPL...

Ni ukiangalia sana mtaona tunabaki na maneno mengi ya... Whats ifs.. Kuanzia kwa Klopp mashabiki nk ni Mara oh Salah angetumia vyema hio nafasi au Mane bla bla.. Ukweli ni kwamba swala la ooh tumeshachukua ubingwa hatuna cha kushindania ni maneno ya wakosaji...

We give credits where its due Manchester City were the better team and guys between Klopp and Pep hua ni serious business hakuna mzaha that why jana Klopp baada ya game alipanick wakati wa kujibu maswali...

Sometimes in life certain disappointment can turn to be blessings na hii ya jana matokeo kwetu yamekaa powa sana kutuma ujumbe kwa board kwamba this is EPL hakunaga business as usual...investments in players is inevitable..


YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom