DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Kwa mimi hapoNadhani tunaangalia vitu katika mfumo unaotofautiana.
Unachojaribu kufanya ni ku devalue ubingwa huu kwa kisa eti amepoteza mechi zaidi ya moja ukilinganisha na Chelsea aliyewahi kuchukua kwa kufungwa mechi moja.
Maswali yangu ni mawili:
1. Arsenal aliyemaliza bila kufungwa, unamweka daraja gani?
2. Liverpool alishawahi kupoteza moja na hakuwa bingwa, je hiki ni bora kuliko kuwa bingwa kwa kufungwa mechi nyingi?
Arsenal namweka daraja la Nyerere
Liverpool namweka daraja la mto ng'ombe
Chelsea namweka daraja la kwatumbo

