DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Siwezi kumkataa na wala sijamkataa, nisome vizuri utanielewa hoja yangu mkuu.Wewe kama LIVERPOOL HALISI unaanzaje kumkataa Henderson?
Sisi Wengine sio wazuri sana kujenga hoja kwa maandishi kutokana na uvivu wa kutype,
JF wangetuwekea sehemu ya kuweka michango yetu kwa maneno kupitia audio recording kama whatsapp,telegram n.k ili twende sawa

sisi wadau wa humu tunamwelewa vema,
tumefiwa ila tuna urithi wa mabilioni
