AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,319
- 4,140
Tulieni jamani now tuko PRE SEASON
Nikiwa kama mmoja wa aina ya wachambuzi hao unaosema,nasema hivi;Kuna tetesi za kumtaka Thiago Alcantara, Ningependa zaidi kuwaona wale wachambuzi wa 'Aina ya Wachezaji Wa Klopp' waje hapa kutoa maoni yao kuhusu Alcantara kabisa.
Wasiwe wanasikilizia show tu wanasubiri Dili liharibike aende Timu nyengine then Wanaibuka na Misemo ya kuwa 'Sikuwahi Kumkubali' , 'He's not klopp's type of Player', 'Haendani na Mfumo wa Klopp' na vijisababu vingi.
Tuliyaona maneno kama hayo baada ya kuwakosa ↓↓
• Fekir
• Aubamyang
• Joginho
• Pulisic
• Werner
Nakukumbusha tu Wolverhampton hakuachi leo.Nikiwa kama mmoja wa aina ya wachambuzi hao unaosema,nasema hivi;
Huyu Alcantara sio type ya Klopp kabisa kwanza anapakapaka rangi ball,
Over.
Nikiwa kama mmoja wa aina ya wachambuzi hao unaosema,nasema hivi;
Huyu Alcantara sio type ya Klopp kabisa kwanza anapakapaka rangi ball,
Over.
Lakini yupo sahihi, msimu huu timu zote zimekula vichapo hata huyo man city na watfordUnaongelea nn mkuu? Hii ilopigwa bao 4 ndo liverpool tuliyoizoea sisi mashabiki
Thiago ana 29, mkuu utakua ni usajili wa kijinga kabisa.......Kuna tetesi za kumtaka Thiago Alcantara, Ningependa zaidi kuwaona wale wachambuzi wa 'Aina ya Wachezaji Wa Klopp' waje hapa kutoa maoni yao kuhusu Alcantara kabisa.
Wasiwe wanasikilizia show tu wanasubiri Dili liharibike aende Timu nyengine then Wanaibuka na Misemo ya kuwa 'Sikuwahi Kumkubali' , 'He's not klopp's type of Player', 'Haendani na Mfumo wa Klopp' na vijisababu vingi.
Tuliyaona maneno kama hayo baada ya kuwakosa ↓↓
• Fekir
• Aubamyang
• Joginho
• Pulisic
• Werner
Pjanic mkuu ankwenda Barc kwa £60m hivi ana miaka 30 wao wanaona ana cha ku offer uwanjani...Thiago ana 29, mkuu utakua ni usajili wa kijinga kabisa.......
Zaha has attitudes issues but he has grown now even his performance is increasing though in zigzag trend... Price last year was around £70m kwa mwaka huu sijajua..Why Traore and not Zaha?..
Labda humjui Thiago mzee.. Ni mmoja kati ya viungo wenye consistency nzuri uwanjani.Thiago ana 29, mkuu utakua ni usajili wa kijinga kabisa.......
Thiago ana 29, mkuu utakua ni usajili wa kijinga kabisa.......
hapa ndipo ulipoharibu kwenye andiko lakoNina uhakika akija huyu jamaa, Fabinho itabidi atusubiri tu!
Mimi ndio nimeona hivyohapa ndipo ulipoharibu kwenye andiko lako
mkuu, unahisi ni kwa sababu zipi zitakazopelekea fabinho awekwe nje na thiago alcantaraMimi ndio nimeona hivyo