Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kitu pekee kinachonipa Matumaini ni Ubingwa wa EPL.

Ili kusolve tatizo ni lazima kuaccept situation first (kukubali udhaifu wako).

Kuleta Visingizio kwa lengo la kutokukibali weakness zako hutoweza kusolve chochote.

TURUDI NYUMA KIDOGO
Msimu wa 2016/17 baadhi ya Mashabiki tulianza Kampeni Nzito ya kutaka mabadiliko kwenye Timu yetu tukiamini kuwa kwa Wachezaji wa Wakati huo wengi wao hawawezi kutupatia mafanikio yoyote kwenye Timu yetu.
Sadly Klopp aliikataa hii weakness na kusema kuwa Ni Crazy thing kununu wachezaji kwa mkwanja mrefu kama wanavyofanya Manchester.

Baadae tukasema wachezaji kama Mignolet/Karius/Lovren/Sakho/Moreno/Clyne/Lallana/Klavan/ and co hawa sio wachezaji wa kutupa ubingwa! Klopp alikataa udhaifu wao na kumsapport Lovren baada ya World Cup kuwa 'He's best Centre Back in the World'.
Lakini baada ya kutunguliwa na Real Madrid kwenye UCL ndipo akaamua kuukabali udhaifu wa Timu na hatimae akafanya Maamuzi kwa kuwaleta Alison, Fabinho, na wengine ambao walikwisha kutangulia! Hatimae mafanikio tumeyaona!

Na Tumeyaona tu sababu Klopp ameyakubali Madhaifu ya Wachezaji wake, Kukubali Madhaifu ndiyo kunasababisha kufanya Maamuzi.

Inaendelea................... ↓↓
 
Tukina kwenye Msimu huu utagundua kuwa tuliuanza kwa kasi ya ajabu kiasi ya kwamba tulitumia nguvu nyingi mpaka ikapelekea kutokuyamudu mashindano mengine (UCL, FA na Carabao).

lakini ukiangalia kwa Makini baada ya Winter Break Wachezaji wetu wakaanza kucollapse na kuwa sio wale tuliowazoezae! Wengine tukaukubali udhaifu wa Timu yetu, but wengine wakayakataa Madhaifu na kutafuta excises!

Mfano tulifungwa na ATM baada ya kukubali kuwa Timu imecheza underperformance, vikatolewa visingizio kuwa Hendo hakuwemo.

Tukacheza na ATM home Hendo akiwa yupo mchezoni, tukaleta visingizio kuwa Adrian kasababisha.

Tukafungwa na Watford Hendo akiwa yupo mchezoni, tukaleta visingizio visivyoeleweka.

Jana tumefungwa na Man City tumeshaanza Visingizio kuwa tumekubali kufungwa kwasababu tumeshabeba ubingwa.

Visingizio hivyo vyote ni kuukimbia ukweli tu kuhusu weakness za wazi kwenye Timu yetu.

Inaendelea ................ ↓↓
 
Not true kwamba tumefungwa kwasababu tu tunacheza tukiwa tumeshabeba Ubingwa! Tunacheza hivi kwasababu huu ndiyo uwezo Wetu.

Poleni sana mkuu. Pia hamjachakazwa kwa sababu timu yenu mbovu hapana ni kwamba mbinu aliyoingia nayo gadiola ilikuwa tofauti na yakwenu ikabidi mchakazwe kweli kweli.
 
Kitu pekee kinachonipa Matumaini ni Ubingwa wa EPL.

Ili kusolve tatizo ni lazima kuaccept situation first (kukubali udhaifu wako).

Kuleta Visingizio kwa lengo la kutokukibali weakness zako hutoweza kusolve chochote.

TURUDI NYUMA KIDOGO
Msimu wa 2016/17 baadhi ya Mashabiki tulianza Kampeni Nzito ya kutaka mabadiliko kwenye Timu yetu tukiamini kuwa kwa Wachezaji wa Wakati huo wengi wao hawawezi kutupatia mafanikio yoyote kwenye Timu yetu.
Sadly Klopp aliikataa hii weakness na kusema kuwa Ni Crazy thing kununu wachezaji kwa mkwanja mrefu kama wanavyofanya Manchester.

Baadae tukasema wachezaji kama Mignolet/Karius/Lovren/Sakho/Moreno/Clyne/Lallana/Klavan/ and co hawa sio wachezaji wa kutupa ubingwa! Klopp alikataa udhaifu wao na kumsapport Lovren baada ya World Cup kuwa 'He's best Centre Back in the World'.
Lakini baada ya kutunguliwa na Real Madrid kwenye UCL ndipo akaamua kuukabali udhaifu wa Timu na hatimae akafanya Maamuzi kwa kuwaleta Alison, Fabinho, na wengine ambao walikwisha kutangulia! Hatimae mafanikio tumeyaona!

Na Tumeyaona tu sababu Klopp ameyakubali Madhaifu ya Wachezaji wake, Kukubali Madhaifu ndiyo kunasababisha kufanya Maamuzi.

Inaendelea................... ↓↓

Mkuu kufungwa jana na city ndiyo uandika yote haya? Mbona hili andiko alikuandikwa mapema?

Najua umeumia kufungwa na city but ndiyo mpira mkuu. Pole sana
 
Jinsi nilivyo ukubali ukweli wa udhaifu wa wachezaji wetu kupitia Namba (Stats) kwa kufanya Comparison between Two last seasons na season hii:

Andy Robertson ukiangalia performance yake msimu huu siye kabisa yule wa kupiga 10+ assists per season! Tumaini letu kwasasa ni TAA pekee! Na kwa wengine kama kina Bobby, Gini pia hawana performance nzuri msimu huu.

Tukikubali weakness zetu, titaweza kufanya Maamuzi na kufanya marekebisho ya kikosi chetu.

But iwapo tutaendelea Mentality za kuwa Salah is irreplaceable, No one like Origi, Milner is a Monster, Bobby is best no 10 in the world football, Timo Werner is not Klopp's type of player, Hakuna mchezaji wa kuweza kupata namba kwenye kikosi cha Liverpool kilichopo, Tupandishe U23 wachukue nafasi!!!! Tujiandae kutafuta visingizio next season.
 
Mkuu kufungwa jana na city ndiyo uandika yote haya? Mbona hili andiko alikuandikwa mapema?

Najua umeumia kufungwa na city but ndiyo mpira mkuu. Pole sana

Hongera sana Mkuu! Ndiyokwanza leo wewe umeniona nikipost Kitu kwenye JF that's why hii ndiyo post ya kwanza kuiona kutoka kwangu na ndiyomana ukathibitisha kuwa haya nimenza kuyasema Leo.
 
Mkuu kufungwa jana na city ndiyo uandika yote haya? Mbona hili andiko alikuandikwa mapema?

Najua umeumia kufungwa na city but ndiyo mpira mkuu. Pole sana

Tulipofungwa na ATM away Tuliambiwa kufungwa Jana tu?

Tulipofungwa na ATM home tuliambiwa kufungwa Jana tu?

Tulifungwa na Watford tukaambiwa kufungwa Jana tu?

Tukadraw na Everton tukaambiwa kudraw Jana tu?

Tumefungwa na Man City pia tunaambiwa kufungwa Jana tu?

Next pia itakuwa kufungwa Jana tu?

Kwahiyo always itaremain Kuwa JANA TU?

JANA FC
 
Wachezaji wetu wamechoka tena wamechoka haswaaa

Tuzungumzie ya jana tu

Unawaona kabisa akili inataka ila mwili unakataa kuna a lot of errors zimefanywa na back line yetu i.e moves za Robertson & Gomez (note: hawa siyo scape goat) kuna haja kubwa sana ya usajili next season ili kweli Klopp aendane na msemo wake wa 'we'll attack the trophy, not to defend' wala si kufurahi kuwa AFCON imefutwa basi timu haitakuwa na gap

Kufungwa kwa Jana kumeniuma sana
 
Wachezaji wetu wamechoka tena wamechoka haswaaa

Tuzungumzie ya jana tu

Unawaona kabisa akili inataka ila mwili unakataa kuna a lot of errors zimefanywa na back line yetu i.e moves za Robertson & Gomez (note: hawa siyo scape goat) kuna haja kubwa sana ya usajili next season ili kweli Klopp aendane na msemo wake wa 'we'll attack the trophy, not to defend' wala si kufurahi kuwa AFCON imefutwa basi timu haitakuwa na gap

Kufungwa kwa Jana kumeniuma sana

Sina uhakika kama Klopp atafanya usajili wowote mkubwa, sioni akimwondosha Bobby (ambaye kwangu ni garasha kwa sasa).

Binafsi ukiacha Fabinho, kwenye kiungo tuna wakati mgumu sana, sana. Mana Gini, Hendo hawana creativity kabisa, Milner kazeeka, Keita ni injury prone. Sasa kazi hapo ni ngumu.

Ukija kwenye defense, pembeni sina wasiwasi, ingawa Robertson anahitaji backup haraka, Matip majeruhi, Gomez ni mzuri kwenye one on one lakini siyo mzuri kwenye zoning kama Matip, kwa hiyo tunahitaji kuingia sokoni kwa nafasi ya beki wa kati.

Sina uhakika kama kuna kitachofanyika cha maana kwenye usajili ukichukulia mentality ya kocha wetu ya akishamkubali mchezaji hambadilishi mpaka alete majanga mengi.

Next season ni ya City vs Man Utd. Top 4 tutakuwepo.
 
Tulipofungwa na ATM away Tuliambiwa kufungwa Jana tu?

Tulipofungwa na ATM home tuliambiwa kufungwa Jana tu?

Tulifungwa na Watford tukaambiwa kufungwa Jana tu?

Tukadraw na Everton tukaambiwa kudraw Jana tu?

Tumefungwa na Man City pia tunaambiwa kufungwa Jana tu?

Next pia itakuwa kufungwa Jana tu?

Kwahiyo always itaremain Kuwa JANA TU?

JANA FC
Kwahiyo unataka kubisha kuwa hamjafungwa JANA?tena usiku usiku
 
Sina uhakika kama Klopp atafanya usajili wowote mkubwa, sioni akimwondosha Bobby (ambaye kwangu ni garasha kwa sasa).

Binafsi ukiacha Fabinho, kwenye kiungo tuna wakati mgumu sana, sana. Mana Gini, Hendo hawana creativity kabisa, Milner kazeeka, Keita ni injury prone. Sasa kazi hapo ni ngumu.

Ukija kwenye defense, pembeni sina wasiwasi, ingawa Robertson anahitaji backup haraka, Matip majeruhi, Gomez ni mzuri kwenye one on one lakini siyo mzuri kwenye zoning kama Matip, kwa hiyo tunahitaji kuingia sokoni kwa nafasi ya beki wa kati.

Sina uhakika kama kuna kitachofanyika cha maana kwenye usajili ukichukulia mentality ya kocha wetu ya akishamkubali mchezaji hambadilishi mpaka alete majanga mengi.

Next season ni ya City vs Man Utd. Top 4 tutakuwepo.
Ukweli mchungu ni kwamba ukijudge uwezo wa mchezaji mmoja mmoja hapo liverpool wengi wao ni wa kawaida sana, ila unapokuja katika kucheza kitimu aiseeeh ni wapambanaji kwelikweli kama walikuwa wanatumia booster na hili ndilo lililoleta mafanikio hapo Anfield.
Na nilishawahi kusema na ninasema tena wachezaji wametumia nguvu nyingi sana, wamejituma sana kinachofuata ni fatigue....
Kwangu mimi msure master ni Klopp, maana ndiye aliyekuwa anafanya Hendo ajione kama SG, Robbo ajione kama J.A.R lakini kiukweli hata nusu ya uwezo wa hao watu hawana,
Liverpool walikuwa na kitu kimoja tu ambacho timu zote za EPL hawakuwa nacho ni JK

Hands up to Klopp
 
Ukweli mchungu ni kwamba ukijudge uwezo wa mchezaji mmoja mmoja hapo liverpool wengi wao ni wa kawaida sana, ila unapokuja katika kucheza kitimu aiseeeh ni wapambanaji kwelikweli kama walikuwa wanatumia booster na hili ndilo lililoleta mafanikio hapo Anfield.
Na nilishawahi kusema na ninasema tena wachezaji wametumia nguvu nyingi sana, wamejituma sana kinachofuata ni fatigue....
Kwangu mimi msure master ni Klopp, maana ndiye aliyekuwa anafanya Hendo ajione kama SG, Robbo ajione kama J.A.R lakini kiukweli hata nusu ya uwezo wa hao watu hawana,
Liverpool walikuwa na kitu kimoja tu ambacho timu zote za EPL hawakuwa nacho ni JK

Hands up to Klopp

Wewe kama LIVERPOOL HALISI unaanzaje kumkataa Henderson?
 
Wageni mnakuja mara tu tufungwapo, fatilia michango yote ya nyuma ya huyo mwamba kabla hujaja na hiyo post!
Sasa umesikia wapi msiba unaokosa waombolezaji
Wahenga wanasema"hakuna msiba usio na mwenyewe"
Na shughuli ni watu na watu ndio sisi
 
Sasa umesikia wapi msiba unaokosa waombolezaji
Wahenga wanasema"hakuna msiba usio na mwenyewe"
Na shughuli ni watu na watu ndio sisi

Nimemjibu huyo jamaa anayesema kwamba Ngwaba analalamika hivyo kwa sababu ya kufungwa jana.

Ngwaba hajawahi kukaa kimya akiona mapungufu ya timu, tuwe tumeshinda, draw au kufungwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom