Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii ni kwa Washabiki wa LiberpoolFC 😀😀

Enewey vipi Auba amekubali kuongeza Mkataba? Coz he's one only your savior
Walikuwepo watu zaidi yake wamekuja wamesepa,na yeye muda ukifika atasepa atakuja mwingine...ndio maisha ya football

Wolvers 0 Gunners 2

 
IMG_8354.jpg
 
Kwa Captain hata aje Pogba basi atasubiri tu 😀😀
Kikubwa KLOPP akimpa majukumu jamaa anayatimiza effectivelly,
Hii inanikumbusha mwaka ule kibongobongo katika saga la Marcio Maximo na Gaudence Mwaikimba, mashabiki wanapiga kelele weeeeh, jamaa kikubwa alikuwa anapewa anachotaka ndani ya uwanja.

Viva BBC best player of the year.
 
Jurgen Klopp: "I cannot change the last result but I can use it... It needs time but sometimes human beings give themselves too much to suffer from something which didn't work out."

YNWA
 
Pjanic mkuu ankwenda Barc kwa £60m hivi ana miaka 30 wao wanaona ana cha ku offer uwanjani...

Huyu Thiago ana 29 na sio kwamba alipo hatakiwi mbali ni ndoto yake kucheza EPL and seek new challenge and all along ana admire kufanya kazi na Klopp.. Pale alipo wanaogopa next year ataodoka bure mkataba ukiisha ndio maana sasa wanaona wamuuze now..

Personally naona anatufaa kwani hata bei yake inaedana na hali yetu...

YNWA
Anakuja kucheza nafasi gani?

Ha ha haaa sitoshangaa akitupwa winga ya kulia
 
Labda humjui Thiago mzee.. Ni mmoja kati ya viungo wenye consistency nzuri uwanjani.

Kuhusu umri kama alivyoelezea jamaa huu hapo. Barca wamefanya swap ya dili la Arthur (23) kwa Pjanic (30). Na hapo utasemaje?

Kuhusu uchezaji wake na mfumo wa Klopp bila ya shaka utaendana sana, na vile vile huyu Thiago ana ufundi mwingi mguuni jambo litakaloongeza chachu za wachezaji na burudani pia.

Nina uhakika akija huyu jamaa, Fabinho itabidi atusubiri tu!
Kwa asivyo jiamini Clop hatovuluga kiungo chake labda waumie ndo apate nafasi

Hata tushinde tano kipindi cha kwanza hutoona mchezaji kupewa uzoefu.

Kwa nini asajilu na waliopo wanafaa kuna siku alisema haya.

Wolvers inaroteti team yao na wanapata ushindi ukija kwetu sasa.
 
Pjanic mkuu ankwenda Barc kwa £60m hivi ana miaka 30 wao wanaona ana cha ku offer uwanjani...

Huyu Thiago ana 29 na sio kwamba alipo hatakiwi mbali ni ndoto yake kucheza EPL and seek new challenge and all along ana admire kufanya kazi na Klopp.. Pale alipo wanaogopa next year ataodoka bure mkataba ukiisha ndio maana sasa wanaona wamuuze now..

Personally naona anatufaa kwani hata bei yake inaedana na hali yetu...

YNWA
huo usajili wa pjanic wenyewe naona barça wanajichimbia shimo tu...... mkuu at 29 aproaching 30 sidhan kama mchezaji kama huyo tunamhitaji


liverpool sio sehemu ya kula pension, kwangu mimi bora tuwekeze kwa kijana under 23 hata kama bei yake itakua mara mbili ya thiago!,,, wakati huu tukiwa top ndio muda mzuri wa kujenga timu ya baadae vinginevyo tutarudi kule kule
 
ROBERTO FIRMINO 2019/20 AT LiVERPOOL FC

• Game played 43
• Goals in all competitions (EPL, FA and CL) 9
• ASSIST 11

Tunashukuru sana kwa mchango wake na tutaendelea kumuenzi kama Legend but now he's not a player that we Want to win more Trophies
 
mkuu, unahisi ni kwa sababu zipi zitakazopelekea fabinho awekwe nje na thiago alcantara
huyo thiago mpk aje kujenga maelewano na wenzake tayar atakua 30+, soon yatakua yale yale ya Keita!


Keita ni the most talented player (kwa maoni yangu) kwenye middle tulienae! lkn yanayotokea Mungu ndio anajua! atleast kwake tunaweza muuza kurecover ile hasara!


imagine scenario hio itokee kwa thiago!.....
 
ROBERTO FIRMINO 2019/20 AT LiVERPOOL FC

• Game played 43
• Goals in all competitions (EPL, FA and CL) 9
• ASSIST 11

Tunashukuru sana kwa mchango wake na tutaendelea kumuenzi kama Legend but now he's not a player that we Want to win more Trophies
ngoja waje wakupige mawe!...... nakumbuka ule mjadala wa werner tulipokua tunasema front 3 yenu inahitaji mtu mpya kuna watu walikua wanapinga sana!


sijui wako wapi wale
 
huo usajili wa pjanic wenyewe naona barça wanajichimbia shimo tu...... mkuu at 29 aproaching 30 sidhan kama mchezaji kama huyo tunamhitaji


liverpool sio sehemu ya kula pension, kwangu mimi bora tuwekeze kwa kijana under 23 hata kama bei yake itakua mara mbili ya thiago!,,, wakati huu tukiwa top ndio muda mzuri wa kujenga timu ya baadae vinginevyo tutarudi kule kule

Baada ya Invincible ya Arsenal 2003/4 na kumalizika kwa Timu yao Completely 2006 na Arsen Wenger akaanzisha project ya kuwekeza kwa Vijana ambapo alianza kuibuka na kina Welcot, Clichy, OX, Gibs n.k. nadhani unajua kilichotokea mpaka kufikia leo.

Barcelona kizazi cha LAMACIA ni Messi peke yake ndiye aliyejihakikishia Ustaa akiwa Mdogo! Hao kina XAVI, INIESTA, BISQUET, PIQUE walisubiri kina DECO, YAYA TOURE, MARQUEZ, RONALDINHO kuwapokea Wakongwe hao wakiwa tayari wameshapevuka.

Kwahiyo MAKOMBE yanahitaji Watu waliokomaa na siyo Vitoto vya U23
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom