Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,749
- 28,144
Acha unafki kisa mechi hii mojaMan City bado ni club tishio sana pale England, pep bonge la kocha
Acha unafki kisa mechi hii mojaMan City bado ni club tishio sana pale England, pep bonge la kocha
Hujaelewa Chelsea ya Mourinho ilibeba kombe baada kupoteza mechi 1, mkifungwa leo mtashindwa kumatch hii rekodi.Tayari Watford alishatufunga, hatuna record yoyote ya defeat.
Hujaelewa Chelsea ya Mourinho ilibeba kombe baada kupoteza mechi 1, mkifungwa leo mtashindwa kumatch hii rekodi.
NB: Najua miaka ya zamani kuna timu nyingine zilibeba kombe baada ya kupoteza mechi 1 pia.
Sawa mkuu nimekuelewsAcha uongo, game ya kwanza walitoka sare
Issue sio scenario ipi bora. Nachosema hapa ni rekodi(table) itakavyokuwa mwishoni mwa msimu, 2 loss vs 1 loss ya Chelsea so far, 73 min of the game. Obvious motivation imepotea, Wachezaji wamekosa hunger kwa kiasi fulani sababu wamepata walichokuwa wanapigania.Mwaka jana tulipoteza mechi moja tu na hatukuwa mabingwa.
Mwaka huu tunapoteza mechi zaidi ya 2 na tumekuwa mabingwa.
Kati ya scenario hizo mbili, ipi unayoichagua?
Mkuu acha tupingwe hata 7 sometimes vipigo kama hivi vinasaidia huko mbeleni kwenye usajili.*Hii game kwa uzembe huu angekuwepo Aguero leo sijui tu*
Issue sio scenario ipi bora. Nachosema hapa ni rekodi(table) itakavyokuwa mwishoni mwa msimu, 2 loss vs 1 loss ya Chelsea so far, 73 min of the game. Obvious motivation imepotea, Wachezaji wamekosa hunger kwa kiasi fulani sababu wamepata walichokuwa wanapigania.
OK pwSio mechi moja, man City ni tishio. Inaucheza mwingi saba na ina mchezo wa kuvutia kutizama
Mkuu spendi kabisa kufungwa sema basi tuMkuu acha tupingwe hata 7 sometimes vipigo kama hivi vinasaidia huko mbeleni kwenye usajili.
Sio mechi moja, man City ni tishio. Inaucheza mwingi saba na ina mchezo wa kuvutia kutizama
Hii ni warning kwa Klopp Mkuu tunahitaji kufanya kitu kwenye hii transferMkuu spendi kabisa kufungwa sema basi tu
I love liverpool
I love this team so much
Hahaaaa umepaniki bro