Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,943
I love liverpoolMnalowanishwa huko, mabingwa eti! Teh teh...
Aibu kubwa hii!
I love this team so much
I love liverpoolMnalowanishwa huko, mabingwa eti! Teh teh...
Aibu kubwa hii!
Najiuliza hawa jamaa wakifungiwa Uefa next season, aisee in paper watakua hawakamatiki...Man City bado ni club tishio sana pale England, pep bonge la kocha
Issue sio scenario ipi bora. Nachosema hapa ni rekodi(table) itakavyokuwa mwishoni mwa msimu, 2 loss vs 1 loss ya Chelsea so far, 73 min of the game. Obvious motivation imepotea, Wachezaji wamekosa hunger kwa kiasi fulani sababu wamepata walichokuwa wanapigania.
Our plan failed miserably...Yeah mkuu ila kama Luna uwezekano ox angechkua nafac ya captain japo ni ngumu
Salute the Spanish football guru...Pep ni mwalimu haswa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mnatusemaga sisi tu,...
Huyu city huyu kwakweli kumfunga yatakiwa bahati iwe upande wako,
Kama burnley kumpiga Liver tu....
Kama burnley kumpiga Liver tu....
Kinachouma ni kwamba sasa hivi hata mkifungwa hatuna nguvu ya kuwacheka
Hasa hasa sisi Asenalii na totenamuuu
No, sijafanya hivyo. Liverpool wanastahili(stahiki) pongezi juu ya pongezi. Ukikaa chini ukaielewa post yangu ya kwanza nilisema motivation imepotea baada ya kulibeba kukiwa zimebaki mechi 7. Hii imesababisha kutoendelea kupigania kumaintain rekodi ya kupoteza mechi 1. Endapo wasingekuwa wamelibeba hadi sasa motivation ya kuweka rekodi (nayoongelea) ingekuwa bado ipo hai.Nadhani tunaangalia vitu katika mfumo unaotofautiana.
Unachojaribu kufanya ni ku devalue ubingwa huu kwa kisa eti amepoteza mechi zaidi ya moja ukilinganisha na Chelsea aliyewahi kuchukua kwa kufungwa mechi moja.
Maswali yangu ni mawili:
1. Arsenal aliyemaliza bila kufungwa, unamweka daraja gani?
2. Liverpool alishawahi kupoteza moja na hakuwa bingwa, je hiki ni bora kuliko kuwa bingwa kwa kufungwa mechi nyingi?
Hapana mkuu, hiyohiyo burnley inasound good,Ondoa Burnley weka Arsenal.
HahahahahahahahahKinachouma ni kwamba sasa hivi hata mkifungwa hatuna nguvu ya kuwacheka
Hasa hasa sisi Asenalii na totenamuuu
Hapana mkuu, hiyohiyo burnley inasound good,