D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
nimeangalia mechi 3 tu za liverpool msimu huu ukiachana na mechi ya jana niliobahatika kuiangalia kwa dakika 20 za mwishoniLiverpool FC imechoka, kuanzia beki, midfield mpaka forwards.
Sioni Liverpool tuliyotaka idominate Premier League na UEFA.
Don kama tathimini yako inajumuisha zaidi mechi ya jana basi matokeo hayapaswi kuendelea kukupa presha kubwa sana mpaka kufikia hatua hiyo ya kuwafanyia tathmini ya jumla baadhi ya wachezaji wenu muhimu, wachezaji na wao ni sehemu ya kundi la binadamu waliopitia changamoto ile ile ya kukaa miezi mitatu bila ya kufanya shughuli zao rasmi,
kivyovyote wanahitaji muda, imani na support kutoka kila pande ya dunia ili waweze kuirudisha mentality ile ile iliowapa ushindi muliokuwa mukiufurahia humu ndani,
usisahau mechi ya jana mulicheza na wapinzani wenu wa jadi ambao kwanza wamefanikiwa kubadilisha mwalimu, jengine hata ukirudia mechi ya msimu uliopita utagundua ugumu wa matokeo mulioyapata pale goodison park ( hamjapata ushindi pale goodison kwa misimu mitatu)
jambo la kufurahisha zaidi kwa sasa timu yenu haichezi tena ikiwa kwenye hali ya presha kubwa sana (kwa sababu mulimaliza pambano mapema sana).
cool down brother
wengine tuna magonjwa yetu hayasemeki
sidhani kama mutarudi nyuma kwa sasa kama sisi