Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Kwa ugumu wa mechi ya jana kumponda minamino kwa thamani yake na kumuacha salama Chambalin upande wangu naona ni uonevu mkubwa kwa minamino
Yaani Chamberlain kaisha kabisa na sioni kama anarudi tena kwenye kiwango.
Kuna muda ukikaa ukaiangalia Liverpool kwa umakini, utajiuliza ilikuwaje tukacheza game zote zile bila kupoteza.
Nahisi kulikuwa na nguvu za kutaka ubingwa wa PL, na baada ya kuupata morale imepotea.

