The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
Mimi nimemsamehe.Natamani sana tuwe na moyo wa kusamehe tumrudishe Coutinho.
Just business.
Jamaa anatia hadi huruma. Klopp alimwambia baki hapa utakua legend huko unapopataka utaenda kua mchezaji mwingine kama makombe utayabeba. Nahisi alimweleza zaido ya haya kwa reference kabisa.
Hey philip angalia wangapi wameshindwa kushine mbele ya messi je ww utaweza? kumshinda messi ufungaji uchukue nafasi yake utaweza kwa sababu recogniyion ya ubora kwa sasa ni ufungaji na ishu ya kufunga barca ni kama ni ya messi ndio sababu ana record ya magoli mengi. wapo wazuri walionesha juhudi ila walimezwa na bora wa messi hatimayr waliondoka na kupotea je ww utaweza?
Philipe akakaza kichwa akang'ang'ania, akataka anataka kuondoka hata kwa kujilipia fee transfer (akijua barca itarudisha) akachochewa na barca ili ashinikize kuondoka naye akatuforce kweli kweli. Kumbuka kipindi hicho ni tegemeo letu hasa tukibanwa anatumia range shot na zilitubeba sana kwenye mechi ngumu.
Klopp akamrudia (baba anamuomba mtoto jambo jema) basi philip baki hadi end of this season. Ni ili tu atubebe maana tulikua pazuri both CL & EPL ili tumalizie round ya pili kisha tukuruhusu uondoke.
Philip; kichwan mwake akimuwaza messi suarez pique hapana mimi nataka niondoke.
Hatimaye philip akaondoka angali tunamuhitaji kuliko kipindi chochote kile, kipindi cha pili cha msimu halafu tegemeo anaforce kuondoka ni maumivu ya kuachwa na mdada alafu unayapokea matokeo hasi ya kitu ulichokifuatilia muda mrefu.
Emri Can alikubali kubaki na sisi mpaka end of that season.
PAINFULL HISTORY.
Nimemsamehee philip kwa sababu ya nature ya brazilian wengi. Wanatoka maisha magumu timu wanazozitaka ni barca. Na madrid.
....