would you??
Kama mlivyomharibu KeitaHivi ni la liga au bundasliga?
Keita yuko vzr sema majeruhiKama mlivyomharibu Keita
Download liveNet tv googleWakuu naombeni mwenye kujua online tv zinazoonyesha mpira wetu au ligi ya England msaada naombeni nipo ukweni huku cwezi Kesha kwa tv yao
Si mlimsajili Tako Mino Mino?Msimu wa pili unaelekea kupita bila ya usajili.
Tutakuja kulijutia hili.
Si mlimsajili Tako Mino Mino?
We MoshaAha sawa ..ila kama angekuja na uwakika ungekataa maneno yako, haijalishi ni lini umesema
Tofautisha team mkuu na namna anatumikaje mana Liver alikua analuka luka tudogo brewster leo katupia mbili huko....... may be jurgen is betting on him next season as a back up to firmino!
mkuu dogo yupo vizuri kama umewahi kumwangalia toka u20Tofautisha team mkuu na namna anatumikaje mana Liver alikua analuka luka tu
Au kiwango kimepanda tayari?
Mimi nimemuangalia pre season yote hana lolote kwa mahitaji ya Liverpool sawa tu na Solanke ha ha haa.mkuu dogo yupo vizuri kama umewahi kumwangalia toka u20
Mimi nimemuangalia pre season yote hana lolote kwa mahitaji ya Liverpool sawa tu na Solanke ha ha haa.
Alisifiwa sana humu nikajua ni mzuli kuliko Origi kuja kumuona nilichoka kwa jinsi anavyo kimbia hovyo.
Shaqili bado Sala hati hatiHivi majeruhi wote wamepona?
Kalinekera sana kale nikikumbuka tulipo katoa hafu eti kanasingizia kuumwa kakimaanisha hakataki kucheza tena mpaka kocha akamsusa ile ni laana japo wengine hawa amin katika hilo.Natamani sana tuwe na moyo wa kusamehe tumrudishe Coutinho.
Just business.
Kalinekera sana kale nikikumbuka tulipo katoa hafu eti kanasingizia kuumwa kakimaanisha hakataki kucheza tena mpaka kocha akamsusa ile ni laana japo wengine hawa amin katika hilo.
Unazani akirudi atakua bora tena?
Na arudi maana kesha jifunza
Pamoja na hilo mahitaji ya tim ni muhimu zaidi kuliko mchezaji.wachezaji wanatakiwa kutambua hilo hawana tofauti na jeshi unaenda kwa hiari yako ukisha ingia unatakiwa kutii amri ushakua dhamana ya wana nchi tayaliSometimes tunatakiwa kuwaelewa wachezaji wanaposema wanataka kuondoka, kwa sababu hata timu ikiamua inaweza tu kumuuza mchezaji muda wowote hata kama yuko royal kiasi gani.
Tuichukulie kama business.
Mpaka sasa tunafanya vizuri sana kwa sababu ya hela tuliyoipata kwa kumuuza.
Pamoja na hilo mahitaji ya tim ni muhimu zaidi kuliko mchezaji.wachezaji wanatakiwa kutambua hilo hawana tofauti na jeshi unaenda kwa hiari yako ukisha ingia unatakiwa kutii amri ushakua dhamana ya wana nchi tayali
Na hapo ndo mpira ulipo halibika yani pesa hii dah pesa imeondoa ubinadam wote.Hiyo ni style za kipindi cha nyuma bro, sasa hivi mchezaji naye ni institution.
Back then ilikuwa watu wanacheza kwa kujali badge ya timu. Siku hizi ni business business.