Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwenye Mpira kila Mtu anaangalia kwa Macho yake na Anaongea kulingana na Mtazamo wake! So, kila Mtu ni bora aconcentrate kuandika kile alichokiona yeye kuliko kuconcentrate na Comments za wenzake.
Kuvamia Comments za watu ni jambo lililopitwa na wakati.

Andika ulichokiona mchezoni na si ulichokiona Jukwaani kikaiandika mwengine.
Hahahahahahahahah
 
Kuna kitu najaribu kukiwaza lakini hakiji kwenye maandishi katika mfumo niutakao.

Liverpool FC imechoka, kuanzia beki, midfield mpaka forwards.

Sioni Liverpool tuliyotaka idominate Premier League na UEFA.

Next season will be one tough season to us.

Hivi ni macho yangu mabovu kwamba Firmino yuko kwenye decline au niko sahihi!
 
Minamino ni average player, not Liverpool FCs caliber.

Alex Ox Chamberlain alishafikia ceiling yake, he is declining. Auzwe.

Keita natamani kumpa msimu mwingine nione talent yake, na je majeruhi yatamwepuka?

Lovren najua anaondoka soon.

Henderson sina namna ya kumwongelea, yeye na Klopp wanajua zaidi.

We need to get into business this offseason, we need game chengers type of players.
 
Minamino ni average player, not Liverpool FCs caliber.

Alex Ox Chamberlain alishafikia ceiling yake, he is declining. Auzwe.

Keita natamani kumpa msimu mwingine nione talent yake, na je majeruhi yatamwepuka?

Lovren najua anaondoka soon.

Henderson sina namna ya kumwongelea, yeye na Klopp wanajua zaidi.

We need to get into business this offseason, we need game chengers type of players.
I can't breath
 
Kitu mane kafanya. Hahah usiombe ikukute ugenini.

Filimbi imepulizwa jamaa akachomoka kume walikubalianakupiga goti moja chini kwa ajili ya waliotangulia mbele za haki kwa ugonjwa wa covid 19.
 
Minamino ni average player, not Liverpool FCs caliber.

Alex Ox Chamberlain alishafikia ceiling yake, he is declining. Auzwe.

Keita natamani kumpa msimu mwingine nione talent yake, na je majeruhi yatamwepuka?

Lovren najua anaondoka soon.

Henderson sina namna ya kumwongelea, yeye na Klopp wanajua zaidi.

We need to get into business this offseason, we need game chengers type of players.
Liverpool imeshafika peak, sasa ni downfall tu...25 years....
 
Kuna kitu najaribu kukiwaza lakini hakiji kwenye maandishi katika mfumo niutakao.

Liverpool FC imechoka, kuanzia beki, midfield mpaka forwards.

Sioni Liverpool tuliyotaka idominate Premier League na UEFA.

Next season will be one tough season to us.

Hivi ni macho yangu mabovu kwamba Firmino yuko kwenye decline au niko sahihi!

You're right! Firmino not the same anymore!

Sisi kutolewa UCL na Atletico Madrid kwa kupigwa Nje ndani haikuwa bahati mbaya bali ule ulikuwa ndiyo uwezo wetu.

Timu imechoka sana kwa wachezaji ambao tayari walishavuka peak zao.

But nimeona sehemu kuwa Klopp msimu huu atasaini.
 
Minamino ni average player, not Liverpool FCs caliber.

Alex Ox Chamberlain alishafikia ceiling yake, he is declining. Auzwe.

Keita natamani kumpa msimu mwingine nione talent yake, na je majeruhi yatamwepuka?

Lovren najua anaondoka soon.

Henderson sina namna ya kumwongelea, yeye na Klopp wanajua zaidi.

We need to get into business this offseason, we need game chengers type of players.

Without new signing next season we'll be damned I swear!

Timu yetu sio mbaya hivyo haihitaji usajili wa wachezaji wengi, but tunahitaji additions kama mbili tu, Striker na attacking Mid.
The rest wataendelea kupambana.
 
Minamino ni average player, not Liverpool FCs caliber.

Alex Ox Chamberlain alishafikia ceiling yake, he is declining. Auzwe.

Keita natamani kumpa msimu mwingine nione talent yake, na je majeruhi yatamwepuka?

Lovren najua anaondoka soon.

Henderson sina namna ya kumwongelea, yeye na Klopp wanajua zaidi.

We need to get into business this offseason, we need game chengers type of players.

Minamino since yupo Red B alikuwa ni average but alionekana kuwa ana potential flani hivi.

Sasa niliamini kuwa Klopp anaweza kumfanya at least best player au even World Class kama alivyofanya kwa kina Salah na Mane.

Nahisi bado anayo room ya improvement
 
Liverpool imeshafika peak, sasa ni downfall tu...25 years....

Hakuna Kitu kama hicho! Yani sahau kabisa.

Problem ni kwenye ufungaji tu! Addition moja tu pale mbele itachange everything around!

Next season pia tutawaburuza kama kawaida! Unatamani turudi tulipotoka but hilo kwa decade hii halitotokea!

Kijiti cha Kufail tumemkabidhi Arsenal wacha aendelee kukipokea.
 
Minamino since yupo Red B alikuwa ni average but alionekana kuwa ana potential flani hivi.

Sasa niliamini kuwa Klopp anaweza kumfanya at least best player au even World Class kama alivyofanya kwa kina Salah na Mane.

Nahisi bado anayo room ya improvement

Kwa sasa kama unavyosema timu haihitaji sajili nyingi, lakini pia haihitaji sajili za kuja kufanyia majaribio.

Tuna bahati kwamba Klopp aliweza kutengeneza kikosi vizuri mwanzoni na kimefanya vizuri sana.

Ila sasa kama tunaamini kikosi hiki ndiyo kiendelee kuwa first eleven na tuwe tunasajili benchi, naona kuna tatizo mahali.
 
Kuna kitu najaribu kukiwaza lakini hakiji kwenye maandishi katika mfumo niutakao.

Liverpool FC imechoka, kuanzia beki, midfield mpaka forwards.

Sioni Liverpool tuliyotaka idominate Premier League na UEFA.

Next season will be one tough season to us.

Hivi ni macho yangu mabovu kwamba Firmino yuko kwenye decline au niko sahihi!
Dogo Firmino anazingua

Wonders ni kwamba watu kama Firmino ndio Klopp anawaamini kuliko mfano Shaqiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom