Pulisic binafsi sikuona potential yake, ila Nabir na Timo aisee tumekosa vifaa....huo ndio ukweli!Hello Fans,
I'm back again
Leo naanza na swali la kiuchokozi tu kwa Mashabiki wenzangu wa Liverpool.
Kwanini Timu yetu inapotaka mchezaji sote tunaisupport kwa 100% na hatuoneshi doubt yoyote ile juu ya mchezaji huyo, Lakini inapotokezea kumkosa mchezaji huyo kwa any reason wanaibuka baadhi ya Watu na kuacha uchambuzi wa kusema "HE IS NOT A TYPE OF KLOPP'S PLAYER"?
Mfano hai ni:
1) Nabil Fekir
2) Pulisic
3) Werner
Hao wachezaji tulipowataka hapakuwa na wachambuzi bali palikuwa na watu ambao tupo very curious kuona tunawanasa watu hawa, lakini tulipowakosa tu kukaibuka Wachambuzi wakasema "Sio aina ya wachezaji ambao Klopp anawahitaji, Hawawezi kuendana na mfumo wa Klopp".
Kwanini tunakuwa Wachambuzi wa kuona mapungufu baada ya kukosa tu? Au ndiyo sizitaki hizi mbichi?
Nawasilisha.
Nimeanza na Uchokozi
I'm Troublemaker
#SISINIMABINGWA
Man karibu sana ndugu King 👑......Hello Fans,
I'm back again
Leo naanza na swali la kiuchokozi tu kwa Mashabiki wenzangu wa Liverpool.
Kwanini Timu yetu inapotaka mchezaji sote tunaisupport kwa 100% na hatuoneshi doubt yoyote ile juu ya mchezaji huyo, Lakini inapotokezea kumkosa mchezaji huyo kwa any reason wanaibuka baadhi ya Watu na kuacha uchambuzi wa kusema "HE IS NOT A TYPE OF KLOPP'S PLAYER"?
Mfano hai ni:
1) Nabil Fekir
2) Pulisic
3) Werner
Hao wachezaji tulipowataka hapakuwa na wachambuzi bali palikuwa na watu ambao tupo very curious kuona tunawanasa watu hawa, lakini tulipowakosa tu kukaibuka Wachambuzi wakasema "Sio aina ya wachezaji ambao Klopp anawahitaji, Hawawezi kuendana na mfumo wa Klopp".
Kwanini tunakuwa Wachambuzi wa kuona mapungufu baada ya kukosa tu? Au ndiyo sizitaki hizi mbichi?
Nawasilisha.
Nimeanza na Uchokozi
I'm Troublemaker
#SISINIMABINGWA
Ndio human nature behaviour za wanadamu. Moja ya vitu vigumu ku control ni emotion ila kuna utofauti kati yetu na wazungu kwenye conyrol of emotion.Hello Fans,
I'm back again
Leo naanza na swali la kiuchokozi tu kwa Mashabiki wenzangu wa Liverpool.
Kwanini Timu yetu inapotaka mchezaji sote tunaisupport kwa 100% na hatuoneshi doubt yoyote ile juu ya mchezaji huyo, Lakini inapotokezea kumkosa mchezaji huyo kwa any reason wanaibuka baadhi ya Watu na kuacha uchambuzi wa kusema "HE IS NOT A TYPE OF KLOPP'S PLAYER"?
Mfano hai ni:
1) Nabil Fekir
2) Pulisic
3) Werner
Hao wachezaji tulipowataka hapakuwa na wachambuzi bali palikuwa na watu ambao tupo very curious kuona tunawanasa watu hawa, lakini tulipowakosa tu kukaibuka Wachambuzi wakasema "Sio aina ya wachezaji ambao Klopp anawahitaji, Hawawezi kuendana na mfumo wa Klopp".
Kwanini tunakuwa Wachambuzi wa kuona mapungufu baada ya kukosa tu? Au ndiyo sizitaki hizi mbichi?
Nawasilisha.
Nimeanza na Uchokozi
I'm Troublemaker
#SISINIMABINGWA
Wajaze upepo tu, wavimbeleo tunawasogezea kombe karibu,lazima tuwaburuze wale ng'ombe wa Etihad
Pulsic ni mchezaji ila wener inategemea na mfumo wa team Fekili nahisi kuna majungu tu si bure japo kuna manao tetea wazungu hawana kisongolokwinyo bonge la mchezaji yulePulisic binafsi sikuona potential yake, ila Nabir na Timo aisee tumekosa vifaa....huo ndio ukweli!
Ngum sanaa arseno kushindaleo tunawasogezea kombe karibu,lazima tuwaburuze wale ng'ombe wa Etihad
Hello Fans,
I'm back again
Leo naanza na swali la kiuchokozi tu kwa Mashabiki wenzangu wa Liverpool.
Kwanini Timu yetu inapotaka mchezaji sote tunaisupport kwa 100% na hatuoneshi doubt yoyote ile juu ya mchezaji huyo, Lakini inapotokezea kumkosa mchezaji huyo kwa any reason wanaibuka baadhi ya Watu na kuacha uchambuzi wa kusema "HE IS NOT A TYPE OF KLOPP'S PLAYER"?
Mfano hai ni:
1) Nabil Fekir
2) Pulisic
3) Werner
Hao wachezaji tulipowataka hapakuwa na wachambuzi bali palikuwa na watu ambao tupo very curious kuona tunawanasa watu hawa, lakini tulipowakosa tu kukaibuka Wachambuzi wakasema "Sio aina ya wachezaji ambao Klopp anawahitaji, Hawawezi kuendana na mfumo wa Klopp".
Kwanini tunakuwa Wachambuzi wa kuona mapungufu baada ya kukosa tu? Au ndiyo sizitaki hizi mbichi?
Nawasilisha.
Nimeanza na Uchokozi
I'm Troublemaker
#SISINIMABINGWA
Hii style (Appearance) aliyokuja nayo Bobby anaonekana kama Haramia flani hivi kutoka Asia ya Kati may be Srilanka au Bangladesh.
Werner, to me hata kabla hatujamkosa sijawahi vutiwa naye kama ambavyo Karius kutokuwahi kuvutiwa naye
Hata tungefanikiwa kunasa sahihi yake ingenichukua muda sana kumuelewa
Acha unafiki wewe ..angekuja Anfield ungeandika utumbo huuWerner, to me hata kabla hatujamkosa sijawahi vutiwa naye kama ambavyo Karius kutokuwahi kuvutiwa naye
Hata tungefanikiwa kunasa sahihi yake ingenichukua muda sana kumuelewa
Kutokana na mishahara tunayo lipa tutapata wachezaji wenye mapenzi na team au chipukizi
Vvd asinge wakataa Chelsee tusingempata
Aiseeeee kumbe upoSisis tumemchukua Timo, Zuyech ..ninyi mumemchukua nani..
Msimu ujao ni mwendo wa vipigo tu



Nyie kuku mnategemea arsenal awaletee ubingwaDamn you David Luiz anatunyima kushangalia ubingwa wetu Jpili parking pale Goodison Park...
Luiz is doomed guys mara mbili anawaua Arsenal mechi ya leo na pia mpaka mechi ya leo amesababisha penati 4 msimu huu...
Kwa matokeo haya inatabidi tusibiri kutangaza ubingwa..
YNWA







bado everton anakuja kuwa showwwwwwwwwKweli aiseeeeeDamn you David Luiz anatunyima kushangalia ubingwa wetu Jpili parking pale Goodison Park...
Luiz is doomed guys mara mbili anawaua Arsenal mechi ya leo na pia mpaka mechi ya leo amesababisha penati 4 msimu huu...
Kwa matokeo haya inatabidi tusibiri kutangaza ubingwa..
YNWA