Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tatizo tulilomaliza nalo kabla ya Ligi kusimama ndiyo tunaanza nalo baada ya Ligi kurejea
Mbona umekuja kwa kulaumu kijana, ebu tambua na aina ya mechi, binafsi naona wamecheza vyema tu, changamoto ni kwamba Everton huwa hafungwi kiwepesi na liverpool, yani Everton ni heri afungwe 10 na timu nyingine yoyote lakini si liverpool
 
Mbona watu mnalalamika wakati timu inacheza vizuri tu.
Sisi hatuna de bryne tukumbuke hii ni derby pia. Timu inacheza vizuri tu au sijui mimi nimekaa juu ya tv naangalia ukutani.
 
Mbona watu mnalalamika wakati timu inacheza vizuri tu.
Sisi hatuna de bryne tukumbuke hii ni derby pia. Timu inacheza vizuri tu au sijui mimi nimekaa juu ya tv naangalia ukutani.

Kwa mfano mpaka sasa ni mchezaji gani ambaye umeona amecheza vizuri?
 
Mbona umekuja kwa kulaumu kijana, ebu tambua na aina ya mechi, binafsi naona wamecheza vyema tu, changamoto ni kwamba Everton huwa hafungwi kiwepesi na liverpool, yani Everton ni heri afungwe 10 na timu nyingine yoyote lakini si liverpool
Watu wanasahau hii ni derby, more than rivals.
Tumecheza vizuri sana kama hatukua likizo. Big up to the boys
 
Mbona umekuja kwa kulaumu kijana, ebu tambua na aina ya mechi, binafsi naona wamecheza vyema tu, changamoto ni kwamba Everton huwa hafungwi kiwepesi na liverpool, yani Everton ni heri afungwe 10 na timu nyingine yoyote lakini si liverpool

This is another problem
 
Kwenye Mpira kila Mtu anaangalia kwa Macho yake na Anaongea kulingana na Mtazamo wake! So, kila Mtu ni bora aconcentrate kuandika kile alichokiona yeye kuliko kuconcentrate na Comments za wenzake.
Kuvamia Comments za watu ni jambo lililopitwa na wakati.

Andika ulichokiona mchezoni na si ulichokiona Jukwaani kikaiandika mwengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom