Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Fala weweNyie kuku mnategemea arsenal awaletee ubingwa
Kila mtu ashinde match zake
bado everton anakuja kuwa showwwwwwwww





Fala weweNyie kuku mnategemea arsenal awaletee ubingwa
Kila mtu ashinde match zake
bado everton anakuja kuwa showwwwwwwww





Fala wewe![]()




hizi jogoo za anfield zinamtegemea arsenal, ni maajabu ya duniaKalale ndg yanguhizi jogoo za anfield zinamtegemea arsenal, ni maajabu ya dunia
vip mzee ng'ombe alikuwa dume?leo tunawasogezea kombe karibu,lazima tuwaburuze wale ng'ombe wa Etihad
Mkuu kwenye mpira kunakuwaga na ma sapraizi ya hatareee... Citi huyu huyu na ubora wake alikaa kwa Norwich hivyo hata Gunners wangeweza tu kumkalisha...Nyie kuku mnategemea arsenal awaletee ubingwa
Kila mtu ashinde match zake
bado everton anakuja kuwa showwwwwwwww
Its coming home...Kweli aiseeeee
vvd ata Chelsea walimtaka ila bei ake ilikuw juuVvd alikuwa epl muda mrefu ila mechi yetu na Southampton alitukazia sana kiasi kwamba kila mwana Liverpool aliona uwezo wake,aliwazibidi mane na firmino,Baada ya hapo hapo hapakuwa na ubishi kwamba vvd anaweza.
Wakati huo timu zingine hawajaliona hilo. Hata chelsea hawakuona uwezo wake na timu zingine ndio maana wakaona kama tuna pigwa kwa hiyo hela kwa sababu alikuwa tayari epl.
Kasahau huyo man city na chelseaa walielekea kufika bei jamaa ndo akaweka wazi anataka Liverpool nguvu zikawaishia ikawarahisi kwetu dirisha dogovvd ata Chelsea walimtaka ila bei ake ilikuw juu
Acha unafiki wewe ..angekuja Anfield ungeandika utumbo huu
Kumtaja Karius tu umeshanifukuza JF kwa leo
Ng'ombe dume aliehasiwa lbdavip mzee ng'ombe alikuwa dume?
nlkukumbuka sana mkuuMsimu wa pili unaelekea kupita bila ya usajili.
Tutakuja kulijutia hili.
Onesha ni wapi aliweka wazi ..kama tungekaza angetua chelsea uyo..Kasahau huyo man city na chelseaa walielekea kufika bei jamaa ndo akaweka wazi anataka Liverpool nguvu zikawaishia ikawarahisi kwetu dirisha dogo



Aha sawa ..ila kama angekuja na uwakika ungekataa maneno yako, haijalishi ni lini umesemaSijawahi kuwa na hako katabia
Angalia hii post nyingine kuhusu Werner ni ya lini
View attachment 1482385
So hata angekuja asingenistua
Subiri Jumapili tuje na maturubai hapa...mnapigwa na Everton.Wakuu tumecheza au? Mana cjafatilia ligi au tunacheza lini?
Everton hii hii tuliyoipangia nusu ya kikosi cha kwanza wakala tano au unazungumzia nyingine?Subiri Jumapili tuje na maturubai hapa...mnapigwa na Everton.
Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
mi nikajua ni attletico kumbe Everton hahaha hawanishtui haoSubiri Jumapili tuje na maturubai hapa...mnapigwa na Everton.
Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app