Ni wakati wa kuipa Liverpool heshima nyingi wanazostahiki kwa uwezo wao wa msimu huu, huku tukisubiri kuona rekodi zinazovunjwa na kuweka rekodi zao kila wikiendi.
Wana Liverpool tanzania nzima tumeamua kufanya sherehe shangwe na nderemo kusherehekea ubingwa huu wa kihistoria hasa pale tutakapo vunja vunja record zote zawapinzani Wetu
Shime wana Liverpool kuazimia kwa pamoja kufanya sherehe hizi kilele chake zitakua sanjari na Siku ya kukabidhiwa kombe LA, EPL
Sherehe hiz kilele chake zitafanyika jijini dar resalam
Wilaya ya kinondoni Kijitonyama kwenye uwanja wa wazi
Sehemu ambayo itapambwa na mabendera na mapicha ya Liverpool pamoja na kuwapandisha stejini wasanii kadha wakadha ambao ni makop wenzetu Tanzania nzima
kula na kunywa kwapamoja
Tukio ambalo litatanguliwa uchangiaji wa damu salama
Kutembelea magereza kwandugu zetu
Kutoa misaada kwa vituo vya watoto mayatima
Kufanya kazi zakijamii nakadhalika
Hakika itakua nisiku ya shamra shamra kwa wana Liverpool wote
Tupo tunapambana kujua na kufanya mikoa yote ya Tanzania
Lengo nikuboresha udugu mshikamano na kuitangaza TANZANIA NA LIVERPOOL KWA UJUMLA
YNWA
Sent using
Jamii Forums mobile app