Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu,sio jambo zuri kuweka makundi kama ambavyo umeandika hapa.Yeyote anayeweka makundi hafanyi jambo jema na anapaswa kuambiwa.
Ninachokiona hapa ni kukosekana tu kwa objectivity..Malafyale yeye anaset standard kuwa Ili uwe Liverpool fan basi kamwe hutakiwi kukosoa mchezaji yeyote wa liverpool au kocha wa liverpool..na watu wanaofata hiyo principle yake ndo anawaita liverpool halisi..Ni kosa..

Nimesoma humu sometimes mwingine Naye anaset standard yake kuwa Ili uwe liverpool fan mwenye uwezo kwa kukosoa chochote kinachohusu kocha au wachezaji basi ni lazima uwe umewahi kufika Anfield..Kwangu Mimi hiki no kitu cha aina moja tu cha kuweka hayo makundi mnayoonekana hamyapendi...Sasa najiuliza kwa nini wengine hawaambiwi kabisa Ila malafyale tu?Naona kama unaandika kukerwa na post ya malafyale sasa,ilipaswa uandike huko nyuma kukerwa na post zenye mlengo huohuo wa malafyale kutoka kwa watu wengine wanaoset standard na kuwa fundisha wengine how to be a liverpool fan..

Angesema malafyale huo upuuzi ungeona watu ambavyo wangejifanya kumkazia humu.Na huyu malafyale yeye amefika Anfield ingawa kuna wajuaji wanaita "kafika occasionally"..Kuna namna Fulani ya kuabudiana inaanza kuonekana humu..kwamba eti kuna vijamaa havipingiki..!!

Mkuu hii forum ina mambo mengi sana

Kuna watu humu wana ID zaidi ya moja, nyingine anatumia kuji-support mawazo yake

Kuna watu humu ni zaidi ya kuwa nyuma ya keyboard Kwa maana wanafahamina vema kabisa kwenye maisha halisi

Watu hatuwezi kufanana mawazo hata hao unaoona wana-support-iana kuna baadhi ya mawazo hawakubaliani

Makundi huwa yana sababu zake muhimu, na wewe unaweza jichagulia kundi ama ukawa neutral

Life is too short chief, without critics/challenge forum ingekuwa boring place

All in all kuita mawazo ya mwenzio 'upuuzi' not cool
 
Mkuu,sio jambo zuri kuweka makundi kama ambavyo umeandika hapa.Yeyote anayeweka makundi hafanyi jambo jema na anapaswa kuambiwa.
Ninachokiona hapa ni kukosekana tu kwa objectivity..Malafyale yeye anaset standard kuwa Ili uwe Liverpool fan basi kamwe hutakiwi kukosoa mchezaji yeyote wa liverpool au kocha wa liverpool..na watu wanaofata hiyo principle yake ndo anawaita liverpool halisi..Ni kosa..

Nimesoma humu sometimes mwingine Naye anaset standard yake kuwa Ili uwe liverpool fan mwenye uwezo kwa kukosoa chochote kinachohusu kocha au wachezaji basi ni lazima uwe umewahi kufika Anfield..Kwangu Mimi hiki no kitu cha aina moja tu cha kuweka hayo makundi mnayoonekana hamyapendi...Sasa najiuliza kwa nini wengine hawaambiwi kabisa Ila malafyale tu?Naona kama unaandika kukerwa na post ya malafyale sasa,ilipaswa uandike huko nyuma kukerwa na post zenye mlengo huohuo wa malafyale kutoka kwa watu wengine wanaoset standard na kuwa fundisha wengine how to be a liverpool fan..

Angesema malafyale huo upuuzi ungeona watu ambavyo wangejifanya kumkazia humu.Na huyu malafyale yeye amefika Anfield ingawa kuna wajuaji wanaita "kafika occasionally"..Kuna namna Fulani ya kuabudiana inaanza kuonekana humu..kwamba eti kuna vijamaa havipingiki..!!
Hata kama kafika huko anfield bado haijawa sababu ya kutaka kutengeneza makundi humu. Malafyale ana elemet za ubaguzi na umakundi, hii habari ya sijui halisi ndo nini hapa. Thank God hakupata waungaji mkono wa hilo kundi lake alokua anajiribu kutengeneza la HALISI. Haiwezekani Liverpool kuwe hakuna makosa, yapo. Klopp ni binadamu anakosea na anapokosea washabiki lazima wataongea. Nnachoamini mimi Klopp ni zaidi yetu sisi mashabiki ila kama binadamu inampitikia kukosea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7807.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nasema mwacheni KAPTENI apumzike. Mbona mnampigia kelele hivyo.
Kloop ni kocha wa kiwango cha juu sana. Na anampanga kila akipata nafasi. Hilo linatakiwa likufanye mtu umuheshimu henderson.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#LFC starting XI v #WHUFC:

Alisson, Alexander-Arnold, Gomez, Van Dijk, Robertson, Fabinho, Wijnaldum, Keita, Salah, Mane, Firmino

Subs: Adrian, Matip, Lovren, Lallana, Oxlade-Chamberlain, Minamino, Origi

Milner [slight muscle strain] left out as a precaution

Welcome to Liverpool FC show.

Keita akiwemo najua ni show ya ukweli.
 
Tatizo ni hujui mpira mzee, wao wanajua kuriko ww
Chuki yako kwa Henderson itakuzeesha mapema
Hizi Media na baadhi ya Wachambuzi uchwara wanaogaiwa Airtime ndiyo wanaofanya baadhi ya Wachezaji wawe wanachukiwa.

- Ivi Sterling ni kweli average player kiasi ya kwamba hakuna Media ya Kiengereza yeyote inayomuona?
- Kweli anachokifanya Gomez hakionekani pale EPL?
- Kweli KDB anapewa sifa anayostahili? Hivi Media za Kiengereza hazimuoni kwa kile anachokifanya?

Ukweli usiofichika kwasasa KDB ni Ballon D'or contender kama haki itatendeka! Na Obviously ni EPL player of the season.

But cha kushangaza kila Media unayopita unakutana na Picha ya Hendo yenye maneno "He's so close to be a player of the season",..... " Best Midfielder at this current season "..... "He's a complete Midfielder"...... " He carries Liverpool at his own shoulders "..... " Best Captain Ever to lead Liverpool "...... The key of Liverpool's success".....

Yani anapewa sifa zaidi ya uwezo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liver ikitolewa uefa ndo Klop atawaza kwa ufasaha ili avunje rekodi zote(tukichukulia corona isipoingia kuvuruga mambo)
Lakini wachezaj hawawez kukubali kutokana coz wengi ni balon d'or contender, japo atletico nao wanakaza na hawatak kutoka pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
His Majesty.! Hero Hero Hero dream come true.
Clubless to hero.
Positive stats to his cv

Sent using Jamii Forums mobile app
Just woow in life never give up... What's Adrian deal at Liverpool has shown us is to always be ready and positive when opportunities come in Life, we embrace them with open arms and give our best...

Adrian has done us proud... And with solid lesson here..

Twice honoured with two medals and 3rd,4th, 5th, loading...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom