Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Naona wana Liverpool Halisi mnaweka mipango ya Gwaride...!
Safi sana.
Mkuu,sio jambo zuri kuweka makundi kama ambavyo umeandika hapa.Yeyote anayeweka makundi hafanyi jambo jema na anapaswa kuambiwa.
Ninachokiona hapa ni kukosekana tu kwa objectivity..Malafyale yeye anaset standard kuwa Ili uwe Liverpool fan basi kamwe hutakiwi kukosoa mchezaji yeyote wa liverpool au kocha wa liverpool..na watu wanaofata hiyo principle yake ndo anawaita liverpool halisi..Ni kosa..
Nimesoma humu sometimes mwingine Naye anaset standard yake kuwa Ili uwe liverpool fan mwenye uwezo kwa kukosoa chochote kinachohusu kocha au wachezaji basi ni lazima uwe umewahi kufika Anfield..Kwangu Mimi hiki no kitu cha aina moja tu cha kuweka hayo makundi mnayoonekana hamyapendi...Sasa najiuliza kwa nini wengine hawaambiwi kabisa Ila malafyale tu?Naona kama unaandika kukerwa na post ya malafyale sasa,ilipaswa uandike huko nyuma kukerwa na post zenye mlengo huohuo wa malafyale kutoka kwa watu wengine wanaoset standard na kuwa fundisha wengine how to be a liverpool fan..
Angesema malafyale huo upuuzi ungeona watu ambavyo wangejifanya kumkazia humu.Na huyu malafyale yeye amefika Anfield ingawa kuna wajuaji wanaita "kafika occasionally"..Kuna namna Fulani ya kuabudiana inaanza kuonekana humu..kwamba eti kuna vijamaa havipingiki..!!
EPL mimi nimetick 3 points per game mpaka game ya Man City 48 or 49.
Sure mkuu, kuna namna timu inataka kuvunja rekodi zote, Na hivi Leo Klopp kutaka support ya uwanja basi kuna show ya uhakika
Hata kama kafika huko anfield bado haijawa sababu ya kutaka kutengeneza makundi humu. Malafyale ana elemet za ubaguzi na umakundi, hii habari ya sijui halisi ndo nini hapa. Thank God hakupata waungaji mkono wa hilo kundi lake alokua anajiribu kutengeneza la HALISI. Haiwezekani Liverpool kuwe hakuna makosa, yapo. Klopp ni binadamu anakosea na anapokosea washabiki lazima wataongea. Nnachoamini mimi Klopp ni zaidi yetu sisi mashabiki ila kama binadamu inampitikia kukosea.Mkuu,sio jambo zuri kuweka makundi kama ambavyo umeandika hapa.Yeyote anayeweka makundi hafanyi jambo jema na anapaswa kuambiwa.
Ninachokiona hapa ni kukosekana tu kwa objectivity..Malafyale yeye anaset standard kuwa Ili uwe Liverpool fan basi kamwe hutakiwi kukosoa mchezaji yeyote wa liverpool au kocha wa liverpool..na watu wanaofata hiyo principle yake ndo anawaita liverpool halisi..Ni kosa..
Nimesoma humu sometimes mwingine Naye anaset standard yake kuwa Ili uwe liverpool fan mwenye uwezo kwa kukosoa chochote kinachohusu kocha au wachezaji basi ni lazima uwe umewahi kufika Anfield..Kwangu Mimi hiki no kitu cha aina moja tu cha kuweka hayo makundi mnayoonekana hamyapendi...Sasa najiuliza kwa nini wengine hawaambiwi kabisa Ila malafyale tu?Naona kama unaandika kukerwa na post ya malafyale sasa,ilipaswa uandike huko nyuma kukerwa na post zenye mlengo huohuo wa malafyale kutoka kwa watu wengine wanaoset standard na kuwa fundisha wengine how to be a liverpool fan..
Angesema malafyale huo upuuzi ungeona watu ambavyo wangejifanya kumkazia humu.Na huyu malafyale yeye amefika Anfield ingawa kuna wajuaji wanaita "kafika occasionally"..Kuna namna Fulani ya kuabudiana inaanza kuonekana humu..kwamba eti kuna vijamaa havipingiki..!!
#LFC starting XI v #WHUFC:
Alisson, Alexander-Arnold, Gomez, Van Dijk, Robertson, Fabinho, Wijnaldum, Keita, Salah, Mane, Firmino
Subs: Adrian, Matip, Lovren, Lallana, Oxlade-Chamberlain, Minamino, Origi
Milner [slight muscle strain] left out as a precaution
Hizi Media na baadhi ya Wachambuzi uchwara wanaogaiwa Airtime ndiyo wanaofanya baadhi ya Wachezaji wawe wanachukiwa.
- Ivi Sterling ni kweli average player kiasi ya kwamba hakuna Media ya Kiengereza yeyote inayomuona?
- Kweli anachokifanya Gomez hakionekani pale EPL?
- Kweli KDB anapewa sifa anayostahili? Hivi Media za Kiengereza hazimuoni kwa kile anachokifanya?
Ukweli usiofichika kwasasa KDB ni Ballon D'or contender kama haki itatendeka! Na Obviously ni EPL player of the season.
But cha kushangaza kila Media unayopita unakutana na Picha ya Hendo yenye maneno "He's so close to be a player of the season",..... " Best Midfielder at this current season "..... "He's a complete Midfielder"...... " He carries Liverpool at his own shoulders "..... " Best Captain Ever to lead Liverpool "...... The key of Liverpool's success".....
Yani anapewa sifa zaidi ya uwezo wake.
Just woow in life never give up... What's Adrian deal at Liverpool has shown us is to always be ready and positive when opportunities come in Life, we embrace them with open arms and give our best...His Majesty.! Hero Hero Hero dream come true.
Clubless to hero.
Positive stats to his cv
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo very slow sijui huwa tunapatwa na nini kila tunaporudi kutoka kwenye hizi Break.