Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Oh God! From mocking mpaka sasa kuna praise group kwa Klopp kutoka Thread ya Manure Fanboys.
This shows how 'obsessed' they are
This shows how 'obsessed' they are
Sasa zaidi ya liverpool unadhani le super capitano hendo anaweza pata nafasi kwenye timu gani nyingine?Liverpool HALISI tuanze sasa maandalizi ya kushangilia EPL yetu
Tulibezwa sana hadi kuambiwa Klopp kuchukua EPL mbele ya Pep labda akaliibe kombe
Tulibezwa kuwa Man City ana kikosi kipana sana,anatoka mtu anaingia mtu
Tulibezwa sana kama Captain Hendo hawezi cheza team yyt EPL
Naomba mni add whatsap kama kuna group la wana Liverpool halisi,sio Liverpool feki walio kuwa wanatukana team wkt Klopp anaijenga
Mkuu usipende makundi nachojua sote n mashabiki Wa lfc sitaki kuamin shabik Wa Liverpool asiitakie timu yake memaLiverpool HALISI tuanze sasa maandalizi ya kushangilia EPL yetu
Tulibezwa sana hadi kuambiwa Klopp kuchukua EPL mbele ya Pep labda akaliibe kombe
Tulibezwa kuwa Man City ana kikosi kipana sana,anatoka mtu anaingia mtu
Tulibezwa sana kama Captain Hendo hawezi cheza team yyt EPL
Naomba mni add whatsap kama kuna group la wana Liverpool halisi,sio Liverpool feki walio kuwa wanatukana team wkt Klopp anaijenga


huu msima hatuna mpango nao kivile ..uo ujao jipangeni .Acha umbwiga wewe unaanzaje kuzungumzia msimu ujao wakati msimu huu haujaisha?


KDB anarudi Chelsea wewe ..chama lililomlea..Hahaha, hii ni habari ya kufa kufaana.
Msiba wa jirani tunaufanyia sherehe.
KDB anakaribishwa kwenye Jumba La Dhahabu.


Wanda metropolitano ndio kwetu? Bangi hazikufai weweHe he he nasikia juzi mukapigwa na ATL tena kwenu ..munatia huruma kweli ..umeona mpira tulompigia Spurs!!?
Tukija apo Anfield munaoga nne..
He he he
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa apo kwenu unazani ndo mutashinda? Kwenye uefa ndo mushatoka ivyo..Wanda metropolitano ndio kwetu? Bangi hazikufai wewe


FIFA RANKING 2020
____________________________
TOP 5 GOALKEEPERS (2020)
1.Allison becker (LIV)
2.Marc Andre Ter Stegen (FCB)
3.Ederson (MCI)
4.Manuel Neuer(MUN)
5.Jan Oblak ( ATM)
____________________________
TOP 5 RIGHTBACKS(2018-19)
1.Trent Alexander Arnold(LIV)
2.Joshua Kimmich(MUN)
3.Ricardo Pereira(LEI)
4.Dani Alvez(SAO)
5.Kyle Walker(MCI)
____________________________
TOP 5 CENTREBACKS(2020)
1.Virgil Van Djik(LIV)
2.Kalidou koulibaly(NAP)
3.Mattijius De ligt(JUV)
4.Aymeric Larporte(MCI)
5.Sergio Ramos(RMA)
____________________________
TOP 5 LEFT BACKS (2020)
1.Andy Robertson(LIV)
2.David Alaba(MUN)
3.Jordi Alba(FCB)
4.Alex Sandro(JUV)
5.Zincheko (MCI)
____________________________
TOP 5 DEF. MID. (2020)
1.Frankie De Jong(FCB)
2.Fernandinho(MCI)
3.Sergio Busquets(FCB)
4.Jordan Henderson(LIV)
5.Marco Verrati(PSG)
____________________________
TOP 5 ATT.MID. (2020)
1.Kevin De Bruyne (MCI)
2.Bernardo Silva(MCI)
3.Fabino(LIV)
4.Toni Kroos(RMA)
5.Arthur Melo(FCB)
____________________________
TOP 10 FORWARDS (2020)
1.Lionel Messi(FCB)
2.Sadio Mane(LIV)
3.Robert Lewandowski (MUN)
4.Kylian Mbappe(PSG)
5.Mohamed salah(LIV)
6.Bernado Silva (MCI)
7.Eden hazard(RMA)
8.Raheem Sterling (MCI)
9.Luiz suarez(FCB)
10.Sergio Aguero(MCI)
____________________________
TOP 10 FOOTBALLERS (2020) According to FIFA RANKING.
1.Toni Kroos (REA)
2.Lionel Messi(FCB)
3.Sadio Mane(LIV)
4.Allison Becker(LIV)
5.Mohammed Salah(LIV)
6.Cristiano Ronaldo(JUV)
7.Bernardo Silva(MCI)
8.Eden Hazard(RMA)
9.Raheem Sterling (MCI)
10.Kylian Mbappe(PSG)
____________________________
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa apo kwenu unazani ndo mutashinda? Kwenye uefa ndo mushatoka ivyo..
Bado ligi tutawanywa..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ule ushenzi na ufedhuli wa LIVERPOOL HALISI kuna mbwiga kaanza kuurudisha
Baadhi ya Vitu ambavyo vinatia mashaka kuhusu source ya hizi Ranking kama ni kweli zinatoka FIFA ni:-
1) Ederson ahead of Oblak?
2) Dani Alves???? He's Veteran now.
3) Zincheko?
4) Fabinho attacking Mid? Since when?
5) No Ronaldo in Top 10 foward?
MukatiaHe he he nasikia juzi mukapigwa na ATL tena kwenu ..munatia huruma kweli ..umeona mpira tulompigia Spurs!!?
Tukija apo Anfield munaoga nne..
He he he
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Fabinho amewekwa kwenye attacking mid ili kutoa nafasi ya Hendo kwenye def mid.
It sounds good but I don't think kuwa FIFA wanaweza kuact in such a foolish way kama English Media.
Nahisi someone from non reliable source ameandika hilo bango na kuclaim kuwa source ni FIFA ambapo Hendo Fanboys wakachukua kichwakichwa.
Coz wao hata aandike Edo kumwembe akishamtaja Hendo kumsifia tu basi hiyo imeshakuwa habari kwao.