Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yani naendelea kusema! Hendo ni shit player
We cant help you !
Screenshot_20191110-223134.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kushabikia timu nyingine yoyote Wingerezani zaidi ya Liverpool. Leo navunja mwiko kwa kushabikia timu tatu kwa pamoja...

Kila la kheri Arsenal the Gunners. Mungu awapiganie mshinde salama

Everton mbarikiwe sana na Yehova

Wolves Mungu ang'arishe meno yenu muweze kula kwa amani

Naomba na kushukuru. AMEN
 
Samahani Mkuu!

Ivi shule ulikuwa ukihudhuria kwenye somo la KISWAHILI au uliamua kukomaa na PHYSICS & MATHEMATICS tu?

Coz umenijibu kama kwamba Mimi ninamlaumu/Ninamponda Sadio Mane?

So kwa hali inavyokwenda humu kwenye Uzi watu hawatotaka uelezee chochote kuhusiana na mchezaji.

Nimesema tu kuwa Mane "anaingia kwenye Kipindi cha Mpito"

Sasa nashindwa kutambua watu kauli hii sijui wameifahamu vipi au wanaitafsiri vipi.
Pole. Unavyo comment Mara nyingi watu tunaona Kama unalaumu.
Kwa mfano: Mane amekosa goal. Ukianza na: Aaaagh! Mane vipi huyu!?
Ameanza Mambo take ya desemba!
It is purely blaming
Ukisema," Leo xxxxx game imemkataa" Hiyo sio blaming.
Lugha ya kiingereza wanaita" Euphemism. Kiswahili tunaita Tafsida.
Ndiyo raha ya Moira kubishana. Football is a controversial game. Kila mmoja ana Jicho lake.
Relax.
 
Nike wanajipanga kuingia kwa kishindo tetesi ni kwamba atue Mbappe au Neymar...

Ishu ni Klopp aafiki na Real(Mbappe) na Barca(Neymar) wachemke..

Upo uwezekano PSG kudai Mane aunganishwe kwenye dili ya yeyote kati ya hao wawili..

Kwangu bora tuwakose na Mane abakie..
 
Nike wanajipanga kuingia kwa kishindo tetesi ni kwamba atue Mbappe au Neymar...

Ishu ni Klopp aafiki na Real(Mbappe) na Barca(Neymar) wachemke..

Upo uwezekano PSG kudai Mane aunganishwe kwenye dili ya yeyote kati ya hao wawili..

Kwangu bora tuwakose na Mane abakie..

Kwa Neymar bora nibaki na Henderson kuliko kusajiliwa Neymar akaja kuiharibu dressing room.

Lakini kwa Mbappe! Nipo tayari timu nzima iondoshwe abaki VVD na Alisson peke yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom