Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Na kwenye game ya watford akipiga pasi nyingine ndefu ikazaa goli watasema apewe mkataba wa maisha
Dah! Na misifa atakayomwagiwa usipime!
Sasahivi ana assists 2 tu kwa game 15 za EP alizocheza basi tumekosa amani.
Wakati Keita katokea injury kacheza game 1 tu kapata Goli 1 na assist 1 lakini kimya.
Sijui Hendo Siku atakayofunga na Kuassist katika game 1 itakuaje.