Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Its probably more than that figure if you add bonus and endorsement...

What's a roller coaster will this be..

It's dejavu back to Paisley times..
the beauty of keeping Klopp at the helm for the next 4 seasons is....we're at least guaranteed to leapfrog Manure who appears destined to be stuck for a long coming time with their 20 English championships!
 
King! Mane katoa assist ya goli la pili. Alitoa V pass kwa Divok ambaye aliparaza Moira ukamkuta Egyptian onside.
Kumbuka goli la Mane limekataliwa na VAR.
Wachezaji wetu walitumia Nguvu kubwa Austria against RB kwa ushindi wa ugenini.
Let us give them ample time. Siku hazilingani #King.
All in all 3 points is vital. Draw ya King Power Leicester itawapunguzia wachezaji pressure.

Samahani Mkuu!

Ivi shule ulikuwa ukihudhuria kwenye somo la KISWAHILI au uliamua kukomaa na PHYSICS & MATHEMATICS tu?

Coz umenijibu kama kwamba Mimi ninamlaumu/Ninamponda Sadio Mane?

So kwa hali inavyokwenda humu kwenye Uzi watu hawatotaka uelezee chochote kuhusiana na mchezaji.

Nimesema tu kuwa Mane "anaingia kwenye Kipindi cha Mpito"

Sasa nashindwa kutambua watu kauli hii sijui wameifahamu vipi au wanaitafsiri vipi.
 
VAR i salute you nilikaa na shabiki wa chelsea wakati goli la mane linakataliwa aliisifu sana VAR ila wakati goli la bounamouth linakubaliwa na VAR jamaa alitukana mbaya!

Sent using Jamii Forums mobile app

Umenikumbusha na mimi Jana! Nilikaa na Mbulula flani ivi za Chelsea zilifanya Tafrani sana na kusifia VAR kuwa imefanya haki kwa kulikataa Goli la Mane.

Ilipofika kwenye Game yao waliishia kusema VAR ni ujinga haina maana.

Nilicheka sana.
 
Dadeki! Katika michezo 19 tuliyobakisha tunahitajika tupoteze 5 ili Pep achukue ubingwa?
Huku yeye hata Sare asitoe katika michezo 20 aliyobakisha!!!

Ashinde michezo 20 mfululizo?? Akitoa sare mmoja tu hapo hesabu itabadili itabidi sisi tupoteze michezo 6.

Means tupoteze mchezo mmoja kila baada ya michezo 3 !!!

Mathematically tayari sisi ni mabingwa
 
the beauty of keeping Klopp at the helm for the next 4 seasons is....we're at least guaranteed to leapfrog Manure who appears destined to be stuck for a long coming time with their 20 English championships!
Not only Manu kaka this real statement in the football world of how ambitious we are with Klopp project and now we are more assured of enjoying many happier moments in the next few years.. Every ambitius club out there will wish to have this funny fellow as thier gaffer...

Zaidi ni kumshukuru Sana Ulla Sandrock Kwa ushauri wake madhubuti Kwa Klopp kuwakatalia enzi hizo kwenda kufanya kazi Manchester United...

Manchester United Kwa sasa wakae pembeni ni wakati wa Majogoo kurudisha makali na hatimae kuchukua EPL taji la 19,20nk...kwa Klopp ni uhakika mambo yakizidi kwenda kama sasa basi naziona EPL trophy kibao hapo mbele...

Klopp is made for Liverpool and Liverpool is made for Klopp, the energy he has how he connects with fan and the management is jus awesome... That why signing extension was no brainer..

YNWA
 
Dadeki! Katika michezo 19 tuliyobakisha tunahitajika tupoteze 5 ili Pep achukue ubingwa?
Huku yeye hata Sare asitoe katika michezo 20 aliyobakisha!!!

Ashinde michezo 20 mfululizo?? Akitoa sare mmoja tu hapo hesabu itabadili itabidi sisi tupoteze michezo 6.

Means tupoteze mchezo mmoja kila baada ya michezo 3 !!!

Mathematically tayari sisi ni mabingwa
2020 will be a very successful year..

Loving football life when we keep on winning like this and mark you playing so lame yet screwing results anyway what more can we ask from this lads..

Just keep doing what they are doing and winning becomes obvious...

Winning mentality already installed now bring the games we are ready, whether it's Shaqir, Keita, Chambo, Origi etc they are now so loaded with the mission on hand...

In Klopp I trust, in our squad I trust
 
Dah! Na misifa atakayomwagiwa usipime!

Sasahivi ana assists 2 tu kwa game 15 za EP alizocheza basi tumekosa amani.
Wakati Keita katokea injury kacheza game 1 tu kapata Goli 1 na assist 1 lakini kimya.

Sijui Hendo Siku atakayofunga na Kuassist katika game 1 itakuaje.
Kafabya hivyo mara kadhaa, mechi ya Bercelona 4 nil mchango wake ulikuwa mkubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom