AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
This is Liverpool huku raha tu.
Baadae ya Klop 2024 SG anakabidhiwa team anaendeleza team. Wakati huo captain wetu atakuwa TAA. Tuombe Afya NjemaKama hii idea ya Klopp ya signing young players with potential ku supplements aging players then tutakua pazuri mno tuedako hata Klopp aking'atuka...
Hii phase lazima iwe Well planned...
King! Mane katoa assist ya goli la pili. Alitoa V pass kwa Divok ambaye aliparaza Moira ukamkuta Egyptian onside.Tunapozungumzia mchezaji kwa tukio flani ndiyo tunapoonekana Washabiki wa Liverpool ni sawa na wa Chelsea hatujui kitu.
Hapa tumezungumzia kuwa Form ya Mane imeingia katika kipindi cha mpito ambacho kila mchezaji ukitoa Messi na Ronaldo lazima kimpitie.
Hatujazungumzia kuhusu Mane kukosa nafasi, wala hatukusudii kuanzisha Mjadala wa Mane vs Salah nani Zaidi, wala hatukusudii kumponda Mane.
Only tumenotice kitu katika performance ya Mane kuwa ameshaingia katika transitional period ya kuwa off form.
Mshabiki wa Liverpool hawezi kuanzisha mjadala wa kulinganisha Salah vs Mane, Mane vs Bobby, Salah vs Bobby.
Akicheza kati na VVD anajiamini Sana kuliko Akicheza FB.
Origi alidhamiria kufunga akapiga fyongo.Kumkuta Salah Ni coincidence.Huwezi kuita assist.Sasa assist mbili kivipi wakati moja ni ya origi?
Origi alidhamiria kufunga akapiga fyongo.Kumkuta Salah Ni coincidence.Huwezi kuita assist.
anastahili... and more.New deal new pay
Klopp now commands a salary of £15million a year having agreed to stay until the end of season 2024...
HahaaaaaaaVAR i salute you nilikaa na shabiki wa chelsea wakati goli la mane linakataliwa aliisifu sana VAR ila wakati goli la bounamouth linakubaliwa na VAR jamaa alitukana mbaya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkimfunga man city leoHahaaaaaaa





Kwahiyo pale records zitaonyesha assist ni ya mane au hakuna assist kabisaOrigi alidhamiria kufunga akapiga fyongo.Kumkuta Salah Ni coincidence.Huwezi kuita assist.
Pale hakuna assistKwahiyo pale records zitaonyesha assist ni ya mane au hakuna assist kabisa
Mnanichanganya mjue, embu soma post #80014
Hahahahahahahahah na Next game ni Manchester city vs Leicester wanauana tena.
Ni sahihi Kwa kusajili young players kuna tupa solid platform ya kujenga kikosi imara cha vijana huku wakongwe wakiwapa uzoefu na ari ya ushindi na maana halisi ya "This is Anfield"...Baadae ya Klop 2024 SG anakabidhiwa team anaendeleza team. Wakati huo captain wetu atakuwa TAA. Tuombe Afya Njema
Its probably more than that figure if you add bonus and endorsement...anastahili... and more.
Mkuu Aaron Arsenal Leo nipe zawadi nono ya Xmas ebu mfungeni huyu Pep ule upara uzidi kuongezeka...Hahaaaaaaa