MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,584
- 11,804
Nawakumbusha kuwa bado, Liverpool haijawa kwenye form bado
Chuga vijana wengi wanavuta bangi, tena bangi bila kula so sishangai hii commentTimu England ni Chelsea tu..
Ninyi Liverpool munaiga tu ..
Raundi ya pili mutapotea tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaani nikiwaangalia nakumbuka tulipotoka enzi ya akina Jerry Spearing, Joe Cole nk..
They lack identity, direction, leadership, spirit is so down, yaani hope they get back to their best..
guys jana niliulizia up date kuhusu matip ila sikupata mrejesho wowote sasa sielewi ni kwamba hakuna anayejua kuhusu matip au mmeignore!
Sent using Jamii Forums mobile app
hakika tena hii bange ni ya kichochoroni ogopa sana bange ya kuibia ibiaChuga vijana wengi wanavuta bangi, tena bangi bila kula so sishangai hii comment
Mane has the strengthYaani binafsi Bora hata na Hilo dili la Nike livunjike turudi kwa NB kuliko kumtoa mane na pesa ili kumleta mbape...kwanza ni dharau hata kufikiria tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Cant say otherwise.. Mbappe is super talented and all, commercial wise ndogo mauzo sana... But still being black seems tricky move for Nike to capture those figures they target but being Nike they have done their homework, and too bad super talents are in scarce of late so boy is wanted at PSG, Madrid, Barcelona and Liverpool name now is popping.. Plus haha ni kauza sura fulani.. Though ni proven at less competitive league that he is serial winner and winning the World Cup did him a damn big favour market wise we can't tell if its will work well for us the field maybe boy will turn up like his former team mate Fabby and make history..Yaani binafsi Bora hata na Hilo dili la Nike livunjike turudi kwa NB kuliko kumtoa mane na pesa ili kumleta mbape...kwanza ni dharau hata kufikiria tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana ndipo walipo Arsenal kwa sasa ma star wapo ila sasa quality ya kikosi kiko chini, quality ya kocha ni tatizo hajui afuate mfumo upi na atumiwe wachezaji Wa aina gani, pia defence yao kuna shinda tangu enzi ya Wenger hawa address hili tatizo ipasavyo...Strikers Rickie Lambert, Mario Balloteli na Benteke au kipindi kile cha David Ngog, Poulsen n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hapo ndugu yangu Ollachuga Oc atavaa miwani ya mbao...Bila kusahau, Mane mchezaji bora mwezi November, na Klopp kocha bora mwezi November
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili dili la Nike ni pana mno na wakati mwingine "wanaruhusiwa" ku dictate baadhi ya transfer za wachezaji hivyo pamoja na binafsi kumkumbali Mane usije shangaa Neymar akitua na Mane kwenda upande wa pili hii inakua sio sporting move kwa asilimia 100 mbali inakua business move kizaidi..Kwa sharti hilo nawabakie hukohuko.. kipi ambacho atatupa neymar mane hana?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
...nilisikia PSG wanavyomzengea Mo salah ...Zidane na kumhusudu Sadio,Hili dili la Nike ni pana mno na wakati mwingine "wanaruhusiwa" ku dictate baadhi ya transfer za wachezaji hivyo pamoja na binafsi kumkumbali Mane usije shangaa Neymar akitua na Mane kwenda upande wa pili hii inakua sio sporting move kwa asilimia 100 mbali inakua business move kizaidi..
Ishu kuu hapa ni kwamba Perez kushajiandaa kumuongeza Mbappe kwenye listi ya galaticos... Kwa Zizou kua pale inaweza pelekea ndogo kutua kule zaidi..
Muda ukifika June 2020 itajulikana niaje..
hivi game dhidi ya aston villa bado ipo kesho au iko postponed?
kama ipo, wachezaji kikosi namba moja wapo Qatar tangu jana vipi issue ya bench la ufundi ni nani ataongoza kikosi cha cheki ikiwa klopp amesafiri na timu
Sent using Jamii Forums mobile app




hivi game dhidi ya aston villa bado ipo kesho au iko postponed?
kama ipo, wachezaji kikosi namba moja wapo Qatar tangu jana vipi issue ya bench la ufundi ni nani ataongoza kikosi cha cheki ikiwa klopp amesafiri na timu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hakika kama ipo, maana ratiba haituruhu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ipo kama kawaida kwenye Ratiba ya Carabao haijahairishwa.
Watacheza U23
Let's hope any deal will upgrade what's we currently have and make us more competitive.....nilisikia PSG wanavyomzengea Mo salah ...Zidane na kumhusudu Sadio,
M.E Yuko kazini pia dogo kashajazwa chumvi kilichobaki kuchezesha karata zake.
Amini Vitendo zaidi ya maneno...Nike wanabadili upepo wa chama la wana..brand inatakiwa isambae dunia nzima tutapigana sokoni safari hiiView attachment 1293678
Sent using Jamii Forums mobile app