Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

yaani kila ukisema Liver anamalizwa yeye ndo anamaliza, au ndo namna yako yakuiombea ushindi Liverpool?
Liverpool mnafocus kwa City kuwanyima ubingwa
Kuna huyu mwendawazimu lecister City, ndio baba laoo


Any way ,ngonja tuwaone usiku wa maajabu NAPOLI anakuja kuwamaliza
 
Liverpool mnafocus kwa City kuwanyima ubingwa
Kuna huyu mwendawazimu lecister City, ndio baba laoo


Any way ,ngonja tuwaone usiku wa maajabu NAPOLI anakuja kuwamaliza
Mi mwenyewe ananipa hofu sana huyu leicester...
City now soon atacheza na Man u Leicester na arsenal...
 
City atadrop.points tu tena...tena now majeruhi yanamuandama sana so hanitishi sana. Ila leicester ndo shida....aingawa nikiangalia kikosi chake naona ni kidogo sana hasa pale nyuma na mbele sidhani kama akiumia Vardy ayozee hawezi kubeba ule msalaba pale mbele....
 
Liverpool mnafocus kwa City kuwanyima ubingwa
Kuna huyu mwendawazimu lecister City, ndio baba laoo


Any way ,ngonja tuwaone usiku wa maajabu NAPOLI anakuja kuwamaliza
Endapo hawa mbwa mwitu hawatapata majereha basi jamaa ni tishio zaidi ya Citi Kwa sasa maana kuanzia nyuma mpaka mbele wamekamilika...
 
yaani kila ukisema Liver anamalizwa yeye ndo anamaliza, au ndo namna yako yakuiombea ushindi Liverpool?
Mkuu Napoli sio timu ya kubeza,

Hii game ukiangalia kwa undan zaid hata game za mwisho wanazochezaga napoli na liverpool wanashindaga kwa aggregate ndogo sana ya magor so hapa lolote laweza tokea,

Liverpool ananafasi kubwa ya kushinda kigezo yupo nyumban, vile vile napoli uwezo wa kushinda upo tena mkubwa tu

90min zitaamua
 
Napoli leo anakufa mapema tu. Saiv hawapo kwenye form nzuri
Mkuu Napoli sio timu ya kubeza,

Hii game ukiangalia kwa undan zaid hata game za mwisho wanazochezaga napoli na liverpool wanashindaga kwa aggregate ndogo sana ya magor so hapa lolote laweza tokea,

Liverpool ananafasi kubwa ya kushinda kigezo yupo nyumban, vile vile napoli uwezo wa kushinda upo tena mkubwa tu

90min zitaamua
 
Mkuu Napoli sio timu ya kubeza,

Hii game ukiangalia kwa undan zaid hata game za mwisho wanazochezaga napoli na liverpool wanashindaga kwa aggregate ndogo sana ya magor so hapa lolote laweza tokea,

Liverpool ananafasi kubwa ya kushinda kigezo yupo nyumban, vile vile napoli uwezo wa kushinda upo tena mkubwa tu

90min zitaamua

Mkuu napoli mjanja akiwa nyumbani tu ,ugenini anakuwa mpole.

Mechi ya leo tunashinda,hata droo napoli hapati pale anfield.

Napoli anatusumbua nyumbani kwake tu tofauti hapo wakawaida sana.tunamfunga goli zaidi ya mbili leo.

Mechi ya leo muhimu sana kupata motokeo ili to qualify round inayokuja.
 
kwa mara ya kwanza najawa na wasiwasi wa mechi ya home msimu huu.

Haka kaupepo kanipitie mbali.

must win match.

Mkuu napoli ugenini hawako vizuri,wakiwa nyumbani ndio tumewashindwa.

Klopp ni mtu wakujifunza sana ,leo tutawabadilikia watashaa maana goli hazitakuwa chini ya mbili.
 
Mkuu Napoli sio timu ya kubeza,

Hii game ukiangalia kwa undan zaid hata game za mwisho wanazochezaga napoli na liverpool wanashindaga kwa aggregate ndogo sana ya magor so hapa lolote laweza tokea,

Liverpool ananafasi kubwa ya kushinda kigezo yupo nyumban, vile vile napoli uwezo wa kushinda upo tena mkubwa tu

90min zitaamua

Napoli ni timu ya kubeza wakiwa ugenini,ndio maana walitoa droo na genk ugenini,na wakati sisi hao genk tumewafunga nje ndani.
 
Mkuu napoli ugenini hawako vizuri,wakiwa nyumbani ndio tumewashindwa.

Klopp ni mtu wakujifunza sana ,leo tutawabadilikia watashaa maana goli hazitakuwa chini ya mbili.
Sure.

yule capten wao L.Insigne hayupo ila J. Callejon amerudi. Ndiye ametengeneza nafasi nyingi kwenye uefa kuliko yeyote.

Itategemea atakavyoanza kwenye mid leo",.

Faby ox gini wanaweza kuanza hendo akaingia baadae naona klopp akihitaji epl kuliko cl.
fununu huenda gomez akaanza kwa lovren millie upande robbo.
Tusubir tuone.
 
Liverpool will run away with the Epl title like man city did in 2017/2018
If we dont beat this fatigued & un-motivated City team to the TITLE this season, Then, God will never give us another clear opportunity ya kushinda hii TITLE.
 
Sure.

yule capten wao L.Insigne hayupo ila J. Callejon amerudi. Ndiye ametengeneza nafasi nyingi kwenye uefa kuliko yeyote.

Itategemea atakavyoanza kwenye mid leo",.

Faby ox gini wanaweza kuanza hendo akaingia baadae naona klopp akihitaji epl kuliko cl.
fununu huenda gomez akaanza kwa lovren millie upande robbo.
Tusubir tuone.
Kwakuwa mnacheza na Napoli ndio mnaleta visingizio kuwa mnaitaka PL kuliko CL kwasababu mnajua hawa muda wowote wanaweza leta msiba....

Kama hamuitaki CL msipeleke timu uwanjani ,mjaindae na game ijayo ya PL...
 
Hao napoli wasubirie kichapo cha nguvu kama hiki
Screenshot_2019-11-27-20-17-26.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom