Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Mawazo ya kipuuzi kabisa haya
Kwakuwa mnacheza na Napoli ndio mnaleta visingizio kuwa mnaitaka PL kuliko CL kwasababu mnajua hawa muda wowote wanaweza leta msiba....
Kama hamuitaki CL msipeleke timu uwanjani ,mjaindae na game ijayo ya PL...