Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
Mwenye link.... Jamani anisaidie
Lool umeliona mkuuYaani Klopp kwa kututia pressure anaweza aisee. Yaani hata Keita hayupo kwenye bench. Hiki kiungo cha ma-captain wetu kitakuwa na pumzi kweli ya kupambana na viungo wa napoli?
Tusubiri na tuone.
Liverpool ni mke halali wa Napoli nimeweka tu Napoli aongoze both halfs najua mkeka lazima utiki.Dear liverpool,nafahamu Napoli hamuwawezi...it's okay!
Nachowaomba ni kwamba,kama mtashindwa kushinda naomba muache Napoli basi wawafunge goli tatu tu
Mkeka wangu upo ICU
Link ni Klop ameshikilia chupi imepasuka matakoniMwenye link.... Jamani anisaidie
wanajipa moyo kuchomoa wanahisi iyo crystal palaceWaume zenu Napoli wamekuja kuwaoa hapo anfield kwa mara ya pili.
Leo hamchomoki
Endapo Keita hata break even msimu huu jomba nitaamini RB walitupiga si bure...Mkuu Keita anapata majeruhi kutokana na aina ya uchezaji wake, ukizingatia ligi ya uingereza inahitajika physical sana. Klopp anajitahidi ampe nafasi zaidi ya kutuliza majeruhi hataki kumuwahisha.
Liverpool ni mke halali wa Napoli nimeweka tu Napoli aongoze both halfs najua mkeka lazima utiki.
wamewapiga nini?Endapo Keita hata break even msimu huu jomban nitaamini RB walitupiga si bure...
Kama kawaida yetu Napoli tunamfunga 3-1
wamewapiga nini?Endapo Keita hata break even msimu huu jomban nitaamini RB walitupiga si bure...
Keita has never been my cup of tea since he joined us. he has blown so many chances presented to him by the gaffer.Naelewa hilo kaka
Je, Huoni kwamba sisi ndio tatizo ya majeraha yake? kwa namna moja au nyingine
kwa sababu akiwa Leipzig hakua injury prone.
hizo goal chache sana second half Allan anafunga na callejon hao wanakufa 4Napoli ashinde basi 3-0
Tuseme Insha Allah 😁!!!hizo goal chache sana second half Allan anafunga na callejon hao wanakufa 4