Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuimarika kiaje huyo Crystal Palace hata aki5utana na wolves anaweza akala goals za kutosha...
kufungwa magoli mengi maana yake ni ubovu?

Spurs alifungwa 7 na bayern na bayern mechi iliyofuats alipigwa 5-1 na Frankfurt je bayern ni wabovu?? au spurs ni wabovu kuliko Frankfurt? wakati huo huyu Frankfurt alipigwa 3-0 na arsenal pale pale alipompiga bayern 5.

Asipocheza huyu hamna kitu",.
Allison alikaa around 2 and half months hatujafungwa. Salah hakucheza juzi tumeshinda aty mmestruggle ,. taja timu inayoshinda kilaini.

YNWA
 
kufungwa magoli mengi maana yake ni ubovu?

Spurs alifungwa 7 na bayern na bayern mechi iliyofuats alipigwa 5-1 na Frankfurt je bayern ni wabovu?? au spurs ni wabovu kuliko Frankfurt? wakati huo huyu Frankfurt alipigwa 3-0 na arsenal pale pale alipompiga bayern 5.

Asipocheza huyu hamna kitu",.
Allison alikaa around 2 and half months hatujafungwa. Salah hakucheza juzi tumeshinda aty mmestruggle ,. taja timu inayoshinda kilaini.

YNWA
Njoo ujibu maswali haya
42774277
 
Aiseeeee.... hujanielewa nadhani.... Game ya palace mlishinda goal moja.. mkarelax kishenzi.... likaja likarudishwa dakika za 80... then mkaanza kustruggle kutafuta goal lingine...
Struggle si ndo muhimu ili kupata ushindi? Unataka ushindi wa bwerere?
 
Aisee tunaangalia mpira katika angle tofauti, Liverpool haija relax kwa kufunga goli moja, tangu mwanzo mpaka mwisho ilikuwa inapambana ipate magoli mengi zaid, ila C.palace walijiandaa kuhakikisha hatufungi magoli mengi
Aiseeeee.... hujanielewa nadhani.... Game ya palace mlishinda goal moja.. mkarelax kishenzi.... likaja likarudishwa dakika za 80... then mkaanza kustruggle kutafuta goal lingine...
 
Kuimarika kiaje huyo Crystal Palace hata aki5utana na wolves anaweza akala goals za kutosha...
Tumewazoea na majungu yenu unaikumbuka game2 ya Barça pale anfield ile front 3 yetu haikutimia mliongea mengi lakn mwisho wa siku mtu Kala 4 Liverpool n timu si mtu wewe unayeongea hayo timu yako inashinda ngapi na kwa table Ipo nafas ya ngapi ROHO ZINAWAUMA KWA SS KUFANYA VIZURI tukishinda Ooh ushind mdogo tukishinda nying Oooh VAR imetubeba mpo Kama wanawake wenye gubu ndan ya NDOA hamuachi lawama jengen Timu zenu
 
kufungwa magoli mengi maana yake ni ubovu?

Spurs alifungwa 7 na bayern na bayern mechi iliyofuats alipigwa 5-1 na Frankfurt je bayern ni wabovu?? au spurs ni wabovu kuliko Frankfurt? wakati huo huyu Frankfurt alipigwa 3-0 na arsenal pale pale alipompiga bayern 5.

Asipocheza huyu hamna kitu",.
Allison alikaa around 2 and half months hatujafungwa. Salah hakucheza juzi tumeshinda aty mmestruggle ,. taja timu inayoshinda kilaini.

YNWA
Nadhani hukunielewa... Labda nikupe mifano... Liverpool na Leicester wote mlicheza na Crystal Palace mkiwa ugenini. Leicester city alishinda 2 bila ila hakustruggle Ila hakustruggle kama ambavyo nyinyi mlistruggle.....

Na msipojiangalia j5 Napoli anaweza kuwakaanga tena....
 
Mimi sijasema ushindi mdogo... ila mnastrugle kupanda ushindi...
Tumewazoea na majungu yenu unaikumbuka game2 ya Barça pale anfield ile front 3 yetu haikutimia mliongea mengi lakn mwisho wa siku mtu Kala 4 Liverpool n timu si mtu wewe unayeongea hayo timu yako inashinda ngapi na kwa table Ipo nafas ya ngapi ROHO ZINAWAUMA KWA SS KUFANYA VIZURI tukishinda Ooh ushind mdogo tukishinda nying Oooh VAR imetubeba mpo Kama wanawake wenye gubu ndan ya NDOA hamuachi lawama jengen Timu zenu
 
Nadhani hukunielewa... Labda nikupe mifano... Liverpool na Leicester wote mlicheza na Crystal Palace mkiwa ugenini. Leicester city alishinda 2 bila ila hakustruggle Ila hakustruggle kama ambavyo nyinyi mlistruggle.....

Na msipojiangalia j5 Napoli anaweza kuwakaanga tena....
Pole na kichapo cha city
Wale wanafungwa na wanaume wenzao kama sisi sio nyie watoto
 
Nadhani hukunielewa... Labda nikupe mifano... Liverpool na Leicester wote mlicheza na Crystal Palace mkiwa ugenini. Leicester city alishinda 2 bila ila hakustruggle Ila hakustruggle kama ambavyo nyinyi mlistruggle.....

Na msipojiangalia j5 Napoli anaweza kuwakaanga tena....
Mpira hauangaluwi kinamna hiyo mkuu norwich wamemfungwa city wanakuja kukaa kwa watford kwahio unataka kuniambia watford ni bora kuliko city? Kila timu inakuwa na game plan tofauti na mfumo tofauti unaweza kuta timu inaburuza mkia lkn inaipa shida timu inayoongoza ligi si kwamba ni bora.usiangalie mpira ki angle hiyo mkuu
 
Nadhani hukunielewa... Labda nikupe mifano... Liverpool na Leicester wote mlicheza na Crystal Palace mkiwa ugenini. Leicester city alishinda 2 bila ila hakustruggle Ila hakustruggle kama ambavyo nyinyi mlistruggle.....

Na msipojiangalia j5 Napoli anaweza kuwakaanga tena....
Ku struggle kwako ina maana gani?

Angalia stats uje tena. hizi uje tena tujuzane.
Screenshot_2019-11-26-11-15-51.jpeg
Screenshot_2019-11-26-11-16-01.jpeg
Screenshot_2019-11-26-11-16-12.jpeg
 
Kwani mimi kuna sehemu nimeongelea ubora. Sijajua mnakwama wapi...
Mpira hauangaluwi kinamna hiyo mkuu norwich wamemfungwa city wanakuja kukaa kwa watford kwahio unataka kuniambia watford ni bora kuliko city? Kila timu inakuwa na game plan tofauti na mfumo tofauti unaweza kuta timu inaburuza mkia lkn inaipa shida timu inayoongoza ligi si kwamba ni bora.usiangalie mpira ki angle hiyo mkuu
 
mmeshinda ndio... ila mnastruggle sana kupata ushindi....

Answer is 'tumeshinda game'...
Yaliyobakia ni mbwembwe tu

By the way tulifunga Barcelona 4 - 0 Salah akiwa hakucheza, je 4 ni kistruggle?

Tulimpiga Bayern 3 - 1 ndani ya Arena, je 3 ni kustruggle?

Tulimpiga Chelsea 2 ndani ya Daraja Alison akiwa hakucheza, Je kushinda Darajani ni kustruggle?

Unahitaji mifano zaidi au inatosha hiyo?
 
Nadhani hukunielewa... Labda nikupe mifano... Liverpool na Leicester wote mlicheza na Crystal Palace mkiwa ugenini. Leicester city alishinda 2 bila ila hakustruggle Ila hakustruggle kama ambavyo nyinyi mlistruggle.....

Na msipojiangalia j5 Napoli anaweza kuwakaanga tena....

Timu iliyocheza michezo 13 na ikashina 12 na kutoka sare 1 tu bila ya kupoteza mchezo wowote tunaambiwa kuwa inastruggle.

Kwa uchambuzi huu wa mpira bora niwe msoma comments tu.
 
Hata kama mnaongoza possesion 100% kwa 0% kama mnacreate chances halafu bado mnahangaika kufunga... yaani conversion rate inakuwa ndogo basi huko ndo kustruggle kwenyewe... Nyie huwa mnastruggle kwenye match mojamoja.... Mifano ya timu ambazo zinastruggle karibu kwenye kila match wanazocheza ni Juve au Intermilan. Match zao nyingi wanazocheza wanashinda... lkn wanastruggle sana kupata tokeo...
Ku struggle kwako ina maana gani?

Angalia stats uje tena. hizi uje tena tujuzane.View attachment 1273032View attachment 1273033View attachment 1273034
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom