42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Kuimarika kiaje huyo Crystal Palace hata aki5utana na wolves anaweza akala goals za kutosha...
Ni ishara ya kuimarika kwa washindani wetu...
Ni ishara ya kuimarika kwa washindani wetu...
mmeshinda ndio... ila mnastruggle sana kupata ushindi....
kufungwa magoli mengi maana yake ni ubovu?Kuimarika kiaje huyo Crystal Palace hata aki5utana na wolves anaweza akala goals za kutosha...
kufungwa magoli mengi maana yake ni ubovu?
Spurs alifungwa 7 na bayern na bayern mechi iliyofuats alipigwa 5-1 na Frankfurt je bayern ni wabovu?? au spurs ni wabovu kuliko Frankfurt? wakati huo huyu Frankfurt alipigwa 3-0 na arsenal pale pale alipompiga bayern 5.
Asipocheza huyu hamna kitu",.
Allison alikaa around 2 and half months hatujafungwa. Salah hakucheza juzi tumeshinda aty mmestruggle ,. taja timu inayoshinda kilaini.
YNWA
Njoo ujibu maswali haya
42774277
Struggle si ndo muhimu ili kupata ushindi? Unataka ushindi wa bwerere?
Aiseeeee.... hujanielewa nadhani.... Game ya palace mlishinda goal moja.. mkarelax kishenzi.... likaja likarudishwa dakika za 80... then mkaanza kustruggle kutafuta goal lingine...
Tumewazoea na majungu yenu unaikumbuka game2 ya Barça pale anfield ile front 3 yetu haikutimia mliongea mengi lakn mwisho wa siku mtu Kala 4 Liverpool n timu si mtu wewe unayeongea hayo timu yako inashinda ngapi na kwa table Ipo nafas ya ngapi ROHO ZINAWAUMA KWA SS KUFANYA VIZURI tukishinda Ooh ushind mdogo tukishinda nying Oooh VAR imetubeba mpo Kama wanawake wenye gubu ndan ya NDOA hamuachi lawama jengen Timu zenuKuimarika kiaje huyo Crystal Palace hata aki5utana na wolves anaweza akala goals za kutosha...
Nadhani hukunielewa... Labda nikupe mifano... Liverpool na Leicester wote mlicheza na Crystal Palace mkiwa ugenini. Leicester city alishinda 2 bila ila hakustruggle Ila hakustruggle kama ambavyo nyinyi mlistruggle.....kufungwa magoli mengi maana yake ni ubovu?
Spurs alifungwa 7 na bayern na bayern mechi iliyofuats alipigwa 5-1 na Frankfurt je bayern ni wabovu?? au spurs ni wabovu kuliko Frankfurt? wakati huo huyu Frankfurt alipigwa 3-0 na arsenal pale pale alipompiga bayern 5.
Asipocheza huyu hamna kitu",.
Allison alikaa around 2 and half months hatujafungwa. Salah hakucheza juzi tumeshinda aty mmestruggle ,. taja timu inayoshinda kilaini.
YNWA
Tumewazoea na majungu yenu unaikumbuka game2 ya Barça pale anfield ile front 3 yetu haikutimia mliongea mengi lakn mwisho wa siku mtu Kala 4 Liverpool n timu si mtu wewe unayeongea hayo timu yako inashinda ngapi na kwa table Ipo nafas ya ngapi ROHO ZINAWAUMA KWA SS KUFANYA VIZURI tukishinda Ooh ushind mdogo tukishinda nying Oooh VAR imetubeba mpo Kama wanawake wenye gubu ndan ya NDOA hamuachi lawama jengen Timu zenu
Sasa ndugu, bila kustrugle utapataje ushindi?Mimi sijasema ushindi mdogo... ila mnastrugle kupanda ushindi...
Pole na kichapo cha cityNadhani hukunielewa... Labda nikupe mifano... Liverpool na Leicester wote mlicheza na Crystal Palace mkiwa ugenini. Leicester city alishinda 2 bila ila hakustruggle Ila hakustruggle kama ambavyo nyinyi mlistruggle.....
Na msipojiangalia j5 Napoli anaweza kuwakaanga tena....
Mpira hauangaluwi kinamna hiyo mkuu norwich wamemfungwa city wanakuja kukaa kwa watford kwahio unataka kuniambia watford ni bora kuliko city? Kila timu inakuwa na game plan tofauti na mfumo tofauti unaweza kuta timu inaburuza mkia lkn inaipa shida timu inayoongoza ligi si kwamba ni bora.usiangalie mpira ki angle hiyo mkuuNadhani hukunielewa... Labda nikupe mifano... Liverpool na Leicester wote mlicheza na Crystal Palace mkiwa ugenini. Leicester city alishinda 2 bila ila hakustruggle Ila hakustruggle kama ambavyo nyinyi mlistruggle.....
Na msipojiangalia j5 Napoli anaweza kuwakaanga tena....
Ku struggle kwako ina maana gani?Nadhani hukunielewa... Labda nikupe mifano... Liverpool na Leicester wote mlicheza na Crystal Palace mkiwa ugenini. Leicester city alishinda 2 bila ila hakustruggle Ila hakustruggle kama ambavyo nyinyi mlistruggle.....
Na msipojiangalia j5 Napoli anaweza kuwakaanga tena....
Sasa ndugu, bila kustrugle utapataje ushindi?
Mpira hauangaluwi kinamna hiyo mkuu norwich wamemfungwa city wanakuja kukaa kwa watford kwahio unataka kuniambia watford ni bora kuliko city? Kila timu inakuwa na game plan tofauti na mfumo tofauti unaweza kuta timu inaburuza mkia lkn inaipa shida timu inayoongoza ligi si kwamba ni bora.usiangalie mpira ki angle hiyo mkuu
mmeshinda ndio... ila mnastruggle sana kupata ushindi....
Nadhani hukunielewa... Labda nikupe mifano... Liverpool na Leicester wote mlicheza na Crystal Palace mkiwa ugenini. Leicester city alishinda 2 bila ila hakustruggle Ila hakustruggle kama ambavyo nyinyi mlistruggle.....
Na msipojiangalia j5 Napoli anaweza kuwakaanga tena....
Ukibebw bebekaLiver kila mechi var ziko upande wao. Haijalishi kwenye kuwapa uwezo wa kufunga au kuwanyima wapinzani wasifunge eidha kukataa goli lao au kuwanyima penati.
Maagizo ya malkia hayo.
Sawa.
Na VAR zìko upande wenu tu dhidi ya mnaocheza nao.
Ku struggle kwako ina maana gani?
Angalia stats uje tena. hizi uje tena tujuzane.View attachment 1273032View attachment 1273033View attachment 1273034