Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

TIM KUBEBWA MSIPO CHUKUA KOMBE MSIMU HUU BAC TENA MAANA FA WANAWAANDALIA MAZINGILA YA KUBEBA NDOO. mwendo ni uleule kila Tim ishinde mechi zake ila kwa mbeleko hizo du BT asante mlinipa hela.HONGERA! Umeshinda Tzs1525600 kwenye bet nyingi (namba ya bet 8474). Kodi Tzs285100. Baada kodi unapata Tzs1240500.
 
TIM KUBEBWA MSIPO CHUKUA KOMBE MSIMU HUU BAC TENA MAANA FA WANAWAANDALIA MAZINGILA YA KUBEBA NDOO. mwendo ni uleule kila Tim ishinde mechi zake ila kwa mbeleko hizo du BT asante mlinipa hela.HONGERA! Umeshinda Tzs1525600 kwenye bet nyingi (namba ya bet 8474). Kodi Tzs285100. Baada kodi unapata Tzs1240500.

Mpira hamuwezi mnataka penalty basi tufanye mmepewa hiyo penalt kimazobezobe maana benardo silver nae alishika
 
Klopp: "If you want to win against City, which is really difficult for any team in the world, you can't play like them as they are the best at what they do. We had to push with our way. It was intense from the first second. You could sense it was really important for both teams"
 



















Pep kapanik sana jana...
 
Nnje ya kilichokuwa kinajadiliwa.

Guardiola ana ujinga mwingi sana kuhusu ubaguzi.

Vipi kuhusu ile vita ya Catalonia na Hispania, hukuona akishiriki kuhamasisha hadi alipigwa faini na FA?

Kuchukua au kutochukua vikombe hakuhalalishi uwepo wa ubaguzi wa rangi sababu hakuna aliyejiumba duniani.

So kwangu Guardiola ni mpumbavu tu.
Unajua alichukua vikombe vingapi msimu wake wa kwanza?

Hilo pengo la Etoo uliliona?
 
Liverpool against Big Teams so
vs Arsenal W
vs Chelsea W
vs Leceister W
vs Manchester United D🤝
vs Tottenham Hotspur W
vs Manchester city W



City against Big Teams...
vs Tottenham Hotspur D🤝
vs Liverpool L
vs Chelsea 🤷‍♂
vs Arsenal 🤷‍♂
vs Leceister 🤷‍♂
vs Manchester United

Tumemalizana na hawa wakubwa pasipo kupoteza, ngoja tuone City atatokaje humo.

Ratiba ya msimu huu naona iko upande wetu,city anahaha maana hapo lazima ataacha point tu
 
IMG_6586.JPG
 
Liverpool against Big Teams so
vs Arsenal W
vs Chelsea W
vs Leceister W
vs Manchester United D
vs Tottenham Hotspur W
vs Manchester city W



City against Big Teams...
vs Tottenham Hotspur D
vs Liverpool L
vs Chelsea
vs Arsenal
vs Leceister
vs Manchester United

Tumemalizana na hawa wakubwa pasipo kupoteza, ngoja tuone City atatokaje humo.
Hamjamalizana nao bado raundi ya pili
 
Nilichogundua Man City ni kumpa pressure mwanzo na kuhakikisha unapata goli mapema sana bila ivyo atakupelekesha. Sasa nyie kilichowasaidia mlimpa moto ndani ya dakika 10 za mwanzo akachanganyikiwa na ndipo ikawa ushindi wenu
Kabisa ndugu hawa jamaa wako vizuri Sana aisee dawa ni kuwapeleka mchakachaka na kutumia nafasi mtakazopata chap..

Naona Abraham akiwaumiza mapema Sana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom