TITLE RACE.
Today was the turning point kwenye TITLE RACE.
Yes, the TITLE RACE, has officially begun today, and i'm so excited.
Matokeo yetu na City kwa siku ya leo, yameonesha determination ya kila team katika mbio za ubingwa, we want to win it for the first time in 29 years, & they want to retain it kwa mara ya kwanza mfululizo (should be a record)..
Hence, inafanya game ya Anfield kuwa ta kufa na kupona kwa kila team, City wataridhila na draw kwasababu game ya round ya pili itakuwa ni kwao, so they'll aim for a draw, which kama wakipata itakuwa a killer for us. City wana tough games baada ya Anfield, so kama wakipata wanachokitaka at Anfield, focus itaongezeka zaidi, but kama wakipoteza at Anfield, then tutakuwa clear kwenye league title.
So, City game ni MUST win, i know itakuwa ni game yenye tension sana, kama ile ya msimu uliopita, but kama ninavyosema kila siku, kama tukishindwa ku-take advantage na mapungufu yao kwenye backline, then tutakuwa tumejikaanga wenyewe. hakuna wakati mzuri wa kucheza na City kama sasa, i know mood yao ipo high baada ya kushinda game ya leo, so watakuja Anfield na focus ya hali ya juu, but we've got Fabinho/VVD and the front 3, and the inform Trent, we can do this.
Win this game and the league will be 75% ours. unless itokee big **** up, Dec-feb.