Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,464
- 32,909
Huyu ni Adrian namba 2...deputised their captain their captain well when neededKuwa ujumla Performance ya Jana haikuwa mbaya ila yule Kipa wa Spurs kaibuka na Performance ya Kimiujiza kutokea wapi sijui
Kula tano mtu wangu Wa nguvu...Hongereni kwa ushindi wa jana hakika kwa mwendo huu ni ishara kwamba mna zaidi ya asilimia 80 kuchukua EPL japo ni mapema. Yan ukishakua na uhakika wa kupata matokeo kati ya timu za top six tena nyingine ugenini unakua na uhakika wa kuchukua ligi.
Mimi nasema mapema kama mtaendelea hivi mnaweza futa kilio cha miaka 29.
Chief mbona hata leo tumefungwa goli kwenye epl!!?au ulitaka kumaanisha Nini!!?
Chief mbona hata leo tumefungwa goli kwenye epl!!?au ulitaka kumaanisha Nini!!?
Pale kuna shida kubwaJe Xaka nae vipi Mkuu Dully...
Ipo shinda sasa nimekwelewa naona Oxil nae nje..
Ipo shinda
Ngoja mpaka Januari itajulikana ni vipi...Pale kuna shida kubwa
Nimefurahi sana kwasababu Malafyale na Aaroon wa Arsenal hawana utofauti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona umekutana na Post unayoipenda kutoka kwa Malafyale umefurahi
malafyale, Aaron na ollachugaNimefurahi sana kwasababu Malafyale na Aaroon wa Arsenal hawana utofauti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
malafyale, Aaron na ollachuga
FT
Liverkuku 2
Spurs 1
Mimi namuona anakimbiza sana wapinzani labda kocha anampendea hilo kama jana Fab kafanya kazi mbili kukaba na kutawanya mipira maranyingi Hendo alikua winga au mbele kabsaa huku washambuliaji wakirudi kati ku dhibiti mipiraMkuu Kwa mtazamo wangu kuna mechi zingine mfano na Sheffield United mechi kama hiyo atuitaji watu wa kukaba kama Henderson,maana sheffield muda wote wako nyuma tu wanazuia 100% awaachi nafasi yoyote mechi kama hiyo keita,ox wanaitajika sana kuliko Henderson .
Kuna mechi kama na barcelona hizo mechi Henderson akiwepo akunashida maana unakuta game atujaidominate anatakiwa awepo kwa ajili ya kukaba sana maana ndio anachokiweza hicho 100%.
Na kingine mpaka anakuwa anapangwa sana ni kutokana na mechi zingine anafanyaga vizuri mpaka watu “aaa leo Henderson kacheza vizuri ajazingua.”
Sasa hivi dimba kapewa fabinho maana alivyokuwa Henderson mipira mingi alikuwa anarudisha nyuma sana.badala yakupandisha timu.
mashabiki wengi hawapendi timu muda mwingi imekaa nyuma inashambuliwa tu kulingana na watu waliopangwa kwenye mida nature yao ni wakabaji sana na kama wakina Henderson ila kocha na yeye anakuwa na wasiwasi awezi akajirisk akaweka watu wakushambulia tu.atafanya hivyo mara moja moja na sio mara zote ,kama mashabiki tunavyotaka.
Nimefurahi sana kwasababu Malafyale na Aaroon wa Arsenal hawana utofauti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Klopp when asked why he chose Gini & Hendo ahead of Ox & Keita: he stated that Ox & Keita leave a gap between them & the defence when they attack & fast teams can utilise those gaps to attack us.hivi ni lini klopp atajua kuwa huyu henderson hana kiwango cha kuanza
Ollachuga Oc kinachomuumiza Bangi tu, ila yuko poa