Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Acheni kumsingizia Le kapteni kwanini mkifungwa mnamlaumu Hendo?

Kwani hendo anacheza mwenyewe uwanjani. Tulieni mnyolewe na maji ya baridi

Henderson ndiye aliyepoteza Mpira uliozaa goli.

Mpira huchezwa na Mtu mmoja tu at a time. Mtu mwengine huucheza mpaka apokonye au apewe.
 
HT. Liverpool 0-1 Spurs

Bado sana. Kuna kazi kubwa sana ya kufanya ili kufikia angalao nusu ya uwezo wa city.

Ni aibu kwa kweli. Tena anfield


Ngoja tuone second half nini kitatokea. Kama tukipoteza hii game tutakua na hali mbaya.
 
Kwamba hujaona kama yeye ndie aliyepoteza mpira uliozaa goli? Kwanza sioni nini anakifanya uwanjani
Acheni kumsingizia Le kapteni kwanini mkifungwa mnamlaumu Hendo?

Kwani hendo anacheza mwenyewe uwanjani. Tulieni mnyolewe na maji ya baridi
 
HT. Liverpool 0-1 Spurs

Bado sana. Kuna kazi kubwa sana ya kufanya ili kufikia angalao nusu ya uwezo wa city.

Ni aibu kwa kweli. Tena anfield


Ngoja tuone second half nini kitatokea. Kama tukipoteza hii game tutakua na hali mbaya.

Mkifungwa itapendeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom