Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu sio wabongo tu
Ata wazungu pia wana hayo mambo tena wale ndo wana passion kuliko sisi kitu kinachofanya waamini kitu cha kijinga wakidhan wako right
Wanaoongoza kumtukana Hendo ni wazungu, ila kati ya hao wote wanajikuta wanajua ni ngum mtu kumreplace Klop, maana najua Klop anaangalia na anajua mchango wake
Nimesema wabongo maana ndio watu nilionao karibu ndo naobishana nao
Mwingine mpaka anakuja kusema Eti kisa Hendo kashinda basi OX na Keita wasahau kucheza, ivi huyo mtu ana akili kweli
Hendo ni habari nyingine wewe,

Klopp aone na wewe uone?itakuwa haina maana basi....Klopp ni kocha bora kwa sasa duniani hivyo anajua ni kitu gani anakipata kwa HENDO na hao kina Ox ,Keita na Gini hawana....tulieni mtaelewa tu
 
Para yako ya mwisho umeandika vyema pmj kuwa inapingana na uhalisia wako ulivyo
Na inaonekana una ugomvi binafsi na king ngwaba nashauri ungemuandikia huko dm kuliko huku kwani kuna heshima unajikosea mwenyew
Wanaohoji na walioponda uwezo wa Henderson ni wengi ktk jukwaa hili,ila wewe umemuona ni king pekee
Pole binaadam mwenzetu na najua ndo ubinaadam ulivyo"huwezi pendwa na wote pia kupenda wote"

Yeah kweli mkuu,
Mi si mpitiaji sana wa comments humu, ila nikipitia napitia nyingi kwa akati moja nilionao
Sio kuwa sipati mda wa kuwa free mchana, la hasha, sema tu ni bora nifanye mambo mengine au nikipitia jf nachungulia kijuujuu naendelea na mambo yng
Leo nimepitia comments tangia za zaman na kuona bado anaendeleza utoto wa kuniattack na kusema tunaomtetea ni maboya, kama mtu ninaeona naattackiwa na mtu anaeattack ni mtu wa aina ninayoijua nami namuattack
IMG_6572.JPG
 
Wabongo wengi hawana akili
Akili za wabongo nyingi ni kama za King Ngwaba
Yaani ni watu wanaofikiri kirahisi tu, kuwa huyu leo kacheza vizuri ngoja acheze, au biashara hii imefeli ngoja niiache
Ni watu wanaoingia kwenye mitego nila ya kujua wamejiingiza, ni watu wanaodhani kuwa wao ndo wanaojua vitu kuliko yoyote na wanaweza kufanya maamuzi kuliko yoyote yule,
Ni watu ambao wanaendeshwa na hisia kuriko akili
Watu kama hawa nadeal nao sana ndo maana nakuwa tajiri siku adi siku
Ni watu wanaodhani wanaweza kuichukua mikoba ya ukocha wakafanya timu iwe noma kuliko tim zote duniani

Anyways kila binadam anaishi kwenye ulimwenyu ambae yeye ndo centre of everything na hii humpelrkea kujua ndo brightest than anyone
Mimi ni shabiki nguli wa JORDAN HENDERSON ila sasa hata kama unamtetea jamaa isifike kipindi ukatukana hadhira yote...

Alafu unatukana wabongo wakati uandishi wako tu unaonesha wewe ni kijana wa uswahilini kabisa,tena una lugha za kisokonisokoni...

Sio vizuri hivyo mzee,huu ushabiki wa soka ukiuchukulia serious sana unaweza pata shinikizo la damu.....
 
Mimi ni shabiki nguli wa JORDAN HENDERSON ila sasa hata kama unamtetea jamaa isifike kipindi ukatukana hadhira yote...

Alafu unatukana wabongo wakati uandishi wako tu unaonesha wewe ni kijana wa uswahilini kabisa,tena una lugha za kisokonisokoni...

Sio vizuri hivyo mzee,huu ushabiki wa soka ukiuchukulia serious sana unaweza pata shinikizo la damu.....

Nimetukana aina yake
 
To be honest I am not pleased with Henderson plus Milner.

Hata sijui nini kifanyike ili hawa watu wasiwepo. Nadhani pale kati akiwepo Gini, Fabinho na Keita/Ox panatulia zaidi.

Japo ana faida yake Hendo katika kuleta spirit ndani ya uwanja ila the guy is not good enough for us. Hata Vvd can do that.
 
Nataman ata siku moja nikuone
Maana unaonekana ni mtu usie na kazi na usie na mbele wala nyuma zaid ya kukaa vijiwen na kuongea mada zisizo na faida
Mda wote unaandika mambo yasio na faida kwako na wala watotokuna wanafamilia wako

Na mambo yenyewe unayaandika bila ufundi wowote bali kuangalia tu kwa upeo wako mdogo wa akili ulionao
Anyways, kila mtu na maisha yake,
Lkn i can clearly picture yur life
Samahani Kiongozi, Hivi ni mpira tu an una kitu kingine unachokitafuta kwa jamaa,Ifike kwakati tujaribu kuheshimiana tu kiustarabu.
 
Yeah kweli mkuu,
Mi si mpitiaji sana wa comments humu, ila nikipitia napitia nyingi kwa akati moja nilionao
Sio kuwa sipati mda wa kuwa free mchana, la hasha, sema tu ni bora nifanye mambo mengine au nikipitia jf nachungulia kijuujuu naendelea na mambo yng
Leo nimepitia comments tangia za zaman na kuona bado anaendeleza utoto wa kuniattack na kusema tunaomtetea ni maboya, kama mtu ninaeona naattackiwa na mtu anaeattack ni mtu wa aina ninayoijua nami namuattack
View attachment 1246786
Mkuu ukitokea unaoga popote halafu bahat mbaya chizi akachukua taulo lako au nguo na kukimbia nazo,Kama utatoka na kumkimbiza watu wote wanaweza kukuona ewew ndio chizi..
Hilo la kuwasema watu maboya hawajui kitu ni hulka ya jamaa so wakat mwingine mtu ukishamfahamu na ukijua mtu kujifanya hakosei kitu,(Much know) umeamuacha tu Wala huna haja ya kupigizaana kelele.
ILA HILO LA KUSEMA WABONGO WENGI HAWANA AKILI DUUH.
 
Hilo goli yeye mwenyewe mara ya kwanza alichoma

Akarekebisha makosa

Yaani nmetukana kinoma ile mara ya kwanza
Alafu sio kila kosa munambambikiza jamaa kisa hamumpendi tu,

Yale mabeki yenu VVD na mwenzie yanapitwa kiulaini na Kane anaenda kufunga goli rahisi lakini hamuoni mnatafuta pa kumsilibia mshkaji aliyewaokoa na kichapo....

Aaaaah sio poa mazee,mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni....
 
To be honest I am not pleased with Henderson plus Milner.

Hata sijui nini kifanyike ili hawa watu wasiwepo. Nadhani pale kati akiwepo Gini, Fabinho na Keita/Ox panatulia zaidi.

Japo ana faida yake Hendo katika kuleta spirit ndani ya uwanja ila the guy is not good enough for us. Hata Vvd can do that.
Vvd anaweza kucheza mido sio!!?
 
To be honest I am not pleased with Henderson plus Milner.

Hata sijui nini kifanyike ili hawa watu wasiwepo. Nadhani pale kati akiwepo Gini, Fabinho na Keita/Ox panatulia zaidi.

Japo ana faida yake Hendo katika kuleta spirit ndani ya uwanja ila the guy is not good enough for us. Hata Vvd can do that.

Mkuu Kwa mtazamo wangu kuna mechi zingine mfano na Sheffield United mechi kama hiyo atuitaji watu wa kukaba kama Henderson,maana sheffield muda wote wako nyuma tu wanazuia 100% awaachi nafasi yoyote mechi kama hiyo keita,ox wanaitajika sana kuliko Henderson .

Kuna mechi kama na barcelona hizo mechi Henderson akiwepo akunashida maana unakuta game atujaidominate anatakiwa awepo kwa ajili ya kukaba sana maana ndio anachokiweza hicho 100%.

Na kingine mpaka anakuwa anapangwa sana ni kutokana na mechi zingine anafanyaga vizuri mpaka watu “aaa leo Henderson kacheza vizuri ajazingua.”

Sasa hivi dimba kapewa fabinho maana alivyokuwa Henderson mipira mingi alikuwa anarudisha nyuma sana.badala yakupandisha timu.


mashabiki wengi hawapendi timu muda mwingi imekaa nyuma inashambuliwa tu kulingana na watu waliopangwa kwenye mida nature yao ni wakabaji sana na kama wakina Henderson ila kocha na yeye anakuwa na wasiwasi awezi akajirisk akaweka watu wakushambulia tu.atafanya hivyo mara moja moja na sio mara zote ,kama mashabiki tunavyotaka.
 
Alafu sio kila kosa munambambikiza jamaa kisa hamumpendi tu,

Yale mabeki yenu VVD na mwenzie yanapitwa kiulaini na Kane anaenda kufunga goli rahisi lakini hamuoni mnatafuta pa kumsilibia mshkaji aliyewaokoa na kichapo....

Aaaaah sio poa mazee,mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni....
So unataka tusemaje we jamaa


Kama unamkubali it is okay

Sisi wengi hatumkubali....
 
Nataman ata siku moja nikuone
Maana unaonekana ni mtu usie na kazi na usie na mbele wala nyuma zaid ya kukaa vijiwen na kuongea mada zisizo na faida
Mda wote unaandika mambo yasio na faida kwako na wala watoto wanafamilia wako

Na mambo yenyewe unayaandika bila ufundi wowote bali kuangalia tu kwa upeo wako mdogo wa akili ulionao
Anyways, kila mtu na maisha yake,
Lkn i can clearly picture yur life
Hizi personal attacks za maisha zinatoka wapi mkuu

Mbona unashindwa kuficha upumbavu wako

Bishaneni kwa facts

Sio huu ujinga unaufanya hapa

Kama wewe umefanikiwa kimaisha it is okay

Kama sisi hatukafanikiwa... Sawa ni vizuri pia

Ila haituzuii kuongea pale tunapoona timu yetu inazingua sehemu

This is our team.... LIVERPOOL Means more

No place wameandika kwamba kama mtu hana hela basi asishabikie liva....

This is insanity... Hebu kua hafu uache utoto mzee...

This personal attacks are too much zmenikera sana
 
Mkuu ni mpira tu au una mengine toka moyoni maana unatukana wabongo wote kisa mtu mmoja tu ambae ameweka hoja zake mezani!!? Mbona ni wengi tu hatuna matatizo na Henderson japo madhaifu anayo mengi tu na yanaonekana wazi,mjadala mzur ni ule wa hoja kwa hoja Ila hizo unazozileta ni person attack ambazo sio nzur humu maana wengi hatufahamiani Ila tunajaribu kuongea lugha moja maana tunashabikia lfc sasa ukianza kusema akili zetu wabongo!!!kwani ewew mwenzetu ni mzungu wa wapi!!?
Jamaa ye tajiri bwana

Hahaha... Mzee unajua huyu jamaa ni mjinga sana

Sasa kila mtu aanze kujisifia humu mali zake patakalika kweli humu

Yaani katoka kwenye mpira kaja kwenye possesions
 
Nataman ata siku moja nikuone
Maana unaonekana ni mtu usie na kazi na usie na mbele wala nyuma zaid ya kukaa vijiwen na kuongea mada zisizo na faida
Mda wote unaandika mambo yasio na faida kwako na wala watoto wanafamilia wako

Na mambo yenyewe unayaandika bila ufundi wowote bali kuangalia tu kwa upeo wako mdogo wa akili ulionao
Anyways, kila mtu na maisha yake,
Lkn i can clearly picture yur life

Aisee kumbe kuna Watu wananifuatilia neno kwa neno hapa JF !!!
 
Sijawahi dada fala kama wewe
Tatizo la mashabiki wengi wa liverfool wanadhani wanajua kila kitu kuanzia mpira,utajiri,elimu na upuuzi mwingine ndio maana kwenye jukwaa lao wakipishana kidogo tu wanaparuana kama wajinga tu.
Nadhani humu matumizi ya lugha ya malkia yapunguzwe maana wengine hawaielewi hivyo wanahisi kutukanwa kidhungu,wanafyatuka kama wendawazimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom