DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Akimkubali Klopp tu inatosha...nyinyi endeleeni kutomkubaliSo unataka tusemaje we jamaa
Kama unamkubali it is okay
Sisi wengi hatumkubali....
Akimkubali Klopp tu inatosha...nyinyi endeleeni kutomkubaliSo unataka tusemaje we jamaa
Kama unamkubali it is okay
Sisi wengi hatumkubali....
Hahaha kesho naenda kumnunulia baba mkwe range rover mimi ni tajiri sana hahahaha mkuu unakwama wapi,Jamaa ye tajiri bwana
Hahaha... Mzee unajua huyu jamaa ni mjinga sana
Sasa kila mtu aanze kujisifia humu mali zake patakalika kweli humu
Yaani katoka kwenye mpira kaja kwenye possesions
Sisi Kocha ndio miyeyusho mkuu,Yani nikikuangalia kule kwenye Thread yanu munavyowakataa kina Willock na Mustafi sijui niseme nini!
Hapa ni sokaHahaha kesho naenda kumnunulia baba mkwe range rover mimi ni tajiri sana hahahaha mkuu unakwama wapi,
Jiachie na wewe taja mali zako hapa hakuna kuleta unyonge...
Ila Washabiki wa liver huwaga nawakubali sana sema kuna wapuuzi wachache wanazingua sana hasa wale wanaoibuka kipindi cha mafanikio...
Ikifika kipindi cha msoto mnamsusia Malafyale jukwaa hili..
Sisi Halisi tunasema hivi hapa sio uwanja wa kutangazia utajiri,kama wewe tajiri changia hata JF uwe na japo kahadhi ya PLATNUM kwanza....
Nilikuwa safari kidogoAdimu sana mzee baba,
Naona wale antiHENDO wanachungulia kwa mbaaaaaali kwa jicho moja....hahahah
Hongereni kwa ushindi wana Liverpool wote.
UNAI OUT
Mkuu kuna siku mtaoga mabundle humu ...hahahaaaaaa jamaa kaniPM kasema ana mpango wa kugawa iphone x kwa mashabiki wote wa liver maana wengi wenu mnatumia itel eti hahahahaaaaaaaaHata hivyo napongeza kuibuka Tajiri ndani ya huu Uzi
Hapo kwa Chelsea ushaharibu maana kuna vijamaa vitakuja mbio mbio hapa sasa hivi....Nilikuwa safari kidogo
Sasa nimerudi home Ikwiriri
May 2020
Bingwa Liverpool
wa pili Chelsea
Wekea nyota hii msg
Nataman ata siku moja nikuone
Maana unaonekana ni mtu usie na kazi na usie na mbele wala nyuma zaid ya kukaa vijiwen na kuongea mada zisizo na faida
Mda wote unaandika mambo yasio na faida kwako na wala watoto wanafamilia wako
Na mambo yenyewe unayaandika bila ufundi wowote bali kuangalia tu kwa upeo wako mdogo wa akili ulionao
Anyways, kila mtu na maisha yake,
Lkn i can clearly picture yur life
Ukishaona kama kijana unafikia hatua ya kumuatak mtu badala ya kuatak hoja yake ni dalili za wivu , ni dalili za umama tayari.Nataman ata siku moja nikuone
Maana unaonekana ni mtu usie na kazi na usie na mbele wala nyuma zaid ya kukaa vijiwen na kuongea mada zisizo na faida
Mda wote unaandika mambo yasio na faida kwako na wala watoto wanafamilia wako
Na mambo yenyewe unayaandika bila ufundi wowote bali kuangalia tu kwa upeo wako mdogo wa akili ulionao
Anyways, kila mtu na maisha yake,
Lkn i can clearly picture yur life
Hayo sio maswali ya kumuuliza tajiri mkuu,Kwahiyo mkuu unatamani uonane nae umpe kazi au?
Inferiority complexMkuu sio wabongo tu
Ata wazungu pia wana hayo mambo tena wale ndo wana passion kuliko sisi kitu kinachofanya waamini kitu cha kijinga wakidhan wako right
Wanaoongoza kumtukana Hendo ni wazungu, ila kati ya hao wote wanajikuta wanajua ni ngum mtu kumreplace Klop, maana najua Klop anaangalia na anajua mchango wake
Nimesema wabongo maana ndio watu nilionao karibu ndo naobishana nao
Mwingine mpaka anakuja kusema Eti kisa Hendo kashinda basi OX na Keita wasahau kucheza, ivi huyo mtu ana akili kweli
Heshimu tajiri mkuu....Ukishaona kama kijana unafikia hatua ya kumuatak mtu badala ya kuatak hoja yake ni dalili za wivu , ni dalili za umama tayari.
Mbona iko wazi king ngwaba kaleta hoja zake hapa kwa takwimu kabisa na amekuzidi?
Yawezekana una hoja labda ila umeshindwa kuleta takwimu za kudefend hoja yako.
Sasa kama mwanaume unafikia hatua ya kumwambia mwenzako inaonekana huna mbele wala nyuma wala huna kazi huo ni upumbavu sana.
Rudi kwenye mjadala achana na upumbavu wa kupaniki kijinga hapa.
Shambulia hoja usimshambulie mtoa hoja.
Vvd anaweza kucheza mido sio!!?
Tumpe pongezi keeper wa spurs alicheza michomoMsako ulikuwa wa hali ya juu sana, hatukuwa na bahati ya kufunga tu leo
Wajina jana mmecheza nini sasa mechi yakushunda ile mnatoa droo?Hayo sio maswali ya kumuuliza tajiri mkuu,
Hahahaaaa unakwama wapi wajina wangu....
Wapi nimesema mimi ni tajiri.... Hebu nionyeshe nilipoongeaHahaha kesho naenda kumnunulia baba mkwe range rover mimi ni tajiri sana hahahaha mkuu unakwama wapi,
Jiachie na wewe taja mali zako hapa hakuna kuleta unyonge...
Ila Washabiki wa liver huwaga nawakubali sana sema kuna wapuuzi wachache wanazingua sana hasa wale wanaoibuka kipindi cha mafanikio...
Ikifika kipindi cha msoto mnamsusia Malafyale jukwaa hili..
Sisi Halisi tunasema hivi hapa sio uwanja wa kutangazia utajiri,kama wewe tajiri changia hata JF uwe na japo kahadhi ya PLATNUM kwanza....
Utakua umesoma una haraka mkuu. Nimesema Vvd kuleta spirit ndani ya timu na sio kucheza nafasi ya hendo.Vvd anaweza kucheza mido sio!!?
Wajina jana mmecheza nini sasa mechi yakushunda ile mnatoa droo?
Huyo tajiri simuulizi tena swali.


najua tutateseka msimu huu tu,next season tutakuwa tumeingia katika utawala wetu
️
️
sasa hivi tupo katika msoto kwa mudaSio kwel...Henderson ni worst player ever kuchezea Liverpool FXI