Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6527.JPG
 
Hapo kwa Chelsea ushaharibu maana kuna vijamaa vitakuja mbio mbio hapa sasa hivi....

Cc. @Ollachuga

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha

Jamaa acha wivu. Mtaalamu wa kubashiri Malafyale ameshatoa utabiri wake. Tafadhali usipingane nae.
 
Alafu sio kila kosa munambambikiza jamaa kisa hamumpendi tu,

Yale mabeki yenu VVD na mwenzie yanapitwa kiulaini na Kane anaenda kufunga goli rahisi lakini hamuoni mnatafuta pa kumsilibia mshkaji aliyewaokoa na kichapo....

Aaaaah sio poa mazee,mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni....

IMG_1018.JPG
 
Nilikuwa safari kidogo
Sasa nimerudi home Ikwiriri
May 2020
Bingwa Liverpool
wa pili Chelsea
Wekea nyota hii msg

Bro karibu nilikuwa najiuliza yule jamaaa mtabiri maarufu wa liverpool siku hizi kapotelea wapi?.

Kumbe ulikuwa chimbo?

Karibu sana. Pia hongera kwa ushindi dhidi ya Spurs.

Mapambano yanaendelea. Aroon wa asernal naona amejipiga ban. Baada ya utabiri wake kugonga mwamba

Alikuwa akiubiri baada ya mechi 10 chelsea atakuwa nafasi ya 15. Toka last week sijamuona.
 
Bro karibu nilikuwa najiuliza yule jamaaa mtabiri maarufu wa liverpool siku hizi kapotelea wapi?.

Kumbe ulikuwa chimbo?

Karibu sana. Pia hongera kwa ushindi dhidi ya Spurs.

Mapambano yanaendelea. Aroon wa asernal naona amejipiga ban. Baada ya utabiri wake kugonga mwamba

Alikuwa akiubiri baada ya mechi 10 chelsea atakuwa nafasi ya 15. Toka last week sijamuona.

Naona umekutana na Post unayoipenda kutoka kwa Malafyale umefurahi
 
That was a penalty and possibly a card before he scored

But credit to Henderson, he was very poor in the first half

It just shows how scoring changed our perception Kwa Henderson.... But he is poor and doesn't NOT deserve a place in the starting 11
He is still a bam that super known hii one moment wonder can't change that
 
Adimu sana mzee baba,
Naona wale antiHENDO wanachungulia kwa mbaaaaaali kwa jicho moja....hahahah

Hongereni kwa ushindi wana Liverpool wote.


UNAI OUT
Je Xaka nae vipi Mkuu Dully...

Ipo shinda sasa nimekwelewa naona Oxil nae nje..

Ipo shinda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom