Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,534
- 32,757
Yani fabby akicheza na keita na OX wanawapunguzia mzigo mzito robertson na anord kwwnye kupanda kufanya mashambulizi.
Weka akiba ya maneno...Mpira dk 90
Na jumatano kuna harufu ingine ya kipigo apa naiona...Jenga heshima kwa waliopata point 1 ndani ya OT wakati wewe ulitunguliwa Goli 4 kwa Mtungi pale OT



Origi is just as good as coming from the bench sio proven starter...Hapo nimeongea kwa kujiamini Mkuu! Sina cha kueka Hakiba ya Maneno.
Lallana kufunga goli hakuondoshi Facts Kuwa yeye ni Mbovu.
Mkuu Lallana ni Mbovu hata Kama kawafunga Man United.
Haya magoli ya kuokoteza ndiyo yaliyowafanya Watu wamuone Origi ni Neymar! Angalia sasa Origi ni Mchezo wangapi huu na hajabahatisha tena ata goli la offside!!!
Tuwe wakwwli bhana Lallana, Origi na Henderson ni Wabovu wa kucheza West Ham na si Liverpool.
Heshimu uheshimike we Manzi. Sisi Wehu na Wewe upo katikati ya Wehu.Leo naamini tunaharibu sikukuu yenu ya kufululiza ushindi.

Kwani kocha wa manure ni nani jamani????View attachment 1239331View attachment 1239331
Ole, Carrick and Fergie at Carrington ground spotted this week..
Hahaha kweli Ole kaishiwa mpaka kamuita babu Fergie ampe mbinu za kutufunga...
Huyo hana adabuJenga heshima kwa waliopata point 1 ndani ya OT wakati wewe ulitunguliwa Goli 4 kwa Mtungi pale OT
We nawe upo kama kigogo wa twita sir alex alienda kuangalia mech ya under 18 ambayo iliisha 1-1 dhid midd wadogo na solskajaar na carick walikuwepo maana viwanja vinapakana kwa nini asimsaidie moyes?View attachment 1239331View attachment 1239331
Ole, Carrick and Fergie at Carrington ground spotted this week..
Hahaha kweli Ole kaishiwa mpaka kamuita babu Fergie ampe mbinu za kutufunga...
Tupunguze maneno yasiyo na maana yyt!
Klopp anajua nani yupo fit nani acheze kuliko yyt hapa!
Tupo imara na Klopp tumuache afanye kazi yake
Hahahaha pengine nao walitoa mbinu kimya kimya...Kwani kocha wa manure ni nani jamani????
Hiki kibabu si kilishastaafu au haiwezekani tuandamane bwana yaani wanakodi mpaka makocha wa ziada???usishangae hapo pembeni alikuwepo Moyes,Van Gaal,Mourinho na Giggs
Alifika mapema Sana kabla ya hio mechi.. Alichokifuata sio under 18,mbali ni kutoa mbinu za kutufunga...We nawe upo kama kigogo wa twita sir alex alienda kuangalia mech ya under 18 ambayo iliisha 1-1 dhid midd wadogo na solskajaar na carick walikuwepo maana viwanja vinapakana kwa nini asimsaidie moyes?
View attachment 1239538
Mkuu usiangalie umilki wa mpira na kupiga pasi angalia mara ngapi kipindi cha kwanza umemfikia kipaUmecheki hata statistic kweli?
Klopp boy don't see him going anywhere..Another poor display from Henderson.
If we really dont want to come short again kwenye league this season, ni muda wa Keita/Ox kuanza kupata a full run-in kwenye First XI.
Hiyo ya kwako mkuu ktk watu ambao walitangazwa wakuwepo kuwaangalia madogo bas ni huyo kochaAlifika mapema Sana kabla ya hio mechi.. Alichokifuata sio under 18,mbali ni kutoa mbinu za kutufunga...
Uko api nakutafta sana best angu mimiSi mnajiamini eti. Leo ndoa mtajua Red devils ndo wafalme wa North of England.
Anaogopa rekodi yao kuvunjwa..ya makombe eplHahahaha pengine nao walitoa mbinu kimya kimya...
Hua ikifika mechi ya Liverpool utamuona babu Fergie mara hapa mara pale...