Hahahhaa et 4 kwa birika dahJaribu kujenga Heshima kwa Waliokuzidi uwezo! Wewe umekula goli 4 kwa birika kwenye uwanja huuhuu wa OT



Hahaha kwaiyo leo ndo unaona Man united ni timuJaribu kujenga Heshima kwa Waliokuzidi uwezo! Wewe umekula goli 4 kwa birika kwenye uwanja huuhuu wa OT


mpira banaNdio nakuambia next game na spurs hupati hata goli moja ni kipigoHa ha haa,hongera washabiki wa man u kwa kubana na kupata droo nyumbani.
Yaani ww umeshindwa kuchukua point 3 kwako unauzia kesi wenzako wachukue.unadhani ni rahisi kihivyo.
Alafu man united na mwenzie totenham tumuhesabie nnHii Liverpool tunaihesabia mechi.
Hii Liverpool tunaihesabia mechi.
It's makes wonder... There is no us without 4 3 3...Klopp need to borrow some notes on to win at OT he seems damn cluelessConsidering our form at OT, cant complain about the results
But, Klopp being a pussy, didnt help us at OT kwa mara nyingine tena.
Ndio nakuambia next game na spurs hupati hata goli moja ni kipigo
Mpira unaweza usione pengune huangalii unaangalia timu yako kipind cha kwanza liverpool hawakuwa vizur mtu wa mpira atakwambia jamaa yako yupo sahihi
Hiyo ni historia tu, na mara nyingi huwa inavunjwa. Mimi nina imani na spurs kuchukua point zake tatu bila wasiwasiMkuu spurs anakuja pale anfield,ambapo atukumbuki mara y mwisho tulifungwa lini.
Anfield sio mahala Salama,wewe endelea kuota tu
sometimes good results in football depends on the referee performance big up for man u for having a new webble!
Hamkatizi Desemba mutakuwa na Spurs uko na Arsenal ..wanaume tunakuja ado ado![]()
Mpira unaweza usione pengune huangalii unaangalia timu yako kipind cha kwanza liverpool hawakuwa vizur mtu wa mpira atakwambia jamaa yako yupo sahihi
Hiyo ni historia tu, na mara nyingi huwa inavunjwa. Mimi nina imani na spurs kuchukua point zake tatu bila wasiwasi
Halafu Anatole mtu from nowhere anakwambia Henderson ni bonge la Mchezaji!!!!
Ivi huwa wanaangalia Liverpool tofauti na hii ninayoiangalia mimi???
