Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Unajuwa sisi tumekuwa tunamsema sana wakati mwingine Mo japo kuna wakati anakuwa na game mbaya ila mfumo wetu umejengwa na yeye kuwepo tumoena jana Sadio na Bob kuna kitu walipoteza kumkosa Mo ila mwisho wa siku tukubali kuwa kocha wetu kidogo alichelewa Keita na Oxy inabidi wawe wanacheza game katikati sababu ni wako creative zaidi ila Captain itabidi zile game tunalinda matokeo aingie kukaba ila kama kushambulia hapana sio sehemu yake. jana sababu ya Mo hakuwepo tulipwaya 433 mpaka tulipokwenda 442 tukaanza kucheza mpira lazima viungo tuwape chance kubwa Keita na Oxy japo najuwa walikuwa majeruhi kwa muda ni wakati wakuwapa muda zaidi. Man u sio team nzuri ni kule kujituma tu kumewasaidia.
Mbona mnaremba sana

Captain anabebwa na Uingereza wake tu hana lolote

Adam Lallana, Henderson ni magarasa

Tunamuhitaji Milner tena tu pale tunapohitaji kukaba
 
13 minutes only
Screenshot_20191021-091337_Instagram.jpeg
 
Na Ndiyomana Matokeo ya Jana siyalalamikii wala Sitafurahii

Na pia Simlaumu Kocha wala Wachezaji kwa ajili ya Matokeo ya Jana.

Maranyingi Walalamikaji wa mechi dhidi ya Manure ni wale Wanaoingia Vibanda umiza na Matokeo yao Mfukoni.

Ingia tuliwatahadharisha kuhusu kujipangia Kumfunga Manure goli Nyingi lakini waliendelea kujibebesha False Hope.
 
Mbona mnaremba sana

Captain anabebwa na Uingereza wake tu hana lolote

Adam Lallana, Henderson ni magarasa

Tunamuhitaji Milner tena tu pale tunapohitaji kukaba
Duniani wenye bahati zaidi wapo aisee... Henderson yumo kwenye hio listi...

Over reliance na 4 3 3 jana imetocost point 2 muhimu na pia over reliance ya front 3 nayo ni shinda..

Jana Bobby haha click kabisa...

Klosi za Trent zilikua useless maana alikua amebanwa na Young muda mwingi aliishia kuzipiga akiwa mbali kabisa na hazikua na madhara yoyote...

Aidha Klopp aweke imani Kwa Chambo, Keita Fabby pale kati au ateme hii 4 3 3 baadhi ya mechi..
 
Mbona kaongea vizur mkuu " to have talk" ma legends kuongea na wachezaj wao kawaida sana labda aondoke kwa bifu kama roy keane kurud ni ngumu

Drogba aliongea na wachezaj wa chelsea baada ya kusuasua lakin si kutoa mbinu kwa kocha maana bench la ufundi lina watu wake ingekuwa ndio hivyo huu mwaka 6 hamna mabadiliko kwa nini asingerud 2015 au kwa msotish mwenzie moyes had alitimuliwa?

Tena kuna "if"

Ferguson hawez kutoa mbinu kwa kocha aliekabidhiwa timu maana alishastaafu ni sawa na kuingilia kaz ya mwenzio ingekuwa ndio hivyo hata pogba asingekuwepo pale hawaiv na ferg

Yaani ferguson amuogope liverpool had amsaidie ole? Acha hizi mkuu hamna timu niliyoigopa duniani kama barcelona ya pep 2008/9 na itachukua muda sana kuona timu ya manyanyaso kama ile tena
Powa Mkuu Radika...
 

Lakini kuna Watu watakwambia Hendo Anapiga Mipasi, Anakaba, Anastabilize Timu, Game changer, Creator, Anasoma mchezo na upuuzi mwengine usioeleweka.

Sasa Huko kukaba anakaba kwenye Vyumba vya kubadilishia Nguo? Mbona uwanjani hatuoni hicho anachokikaba?
 
Maranyingi Walalamikaji wa mechi dhidi ya Manure ni wale Wanaoingia Vibanda umiza na Matokeo yao Mfukoni.

Ingawa tuliwatahadharisha kuhusu kujipangia Kumfunga Manure goli Nyingi lakini waliendelea kujibebesha False Hope.

Na Kitu pekee ambacho hatupaswi kujifanya hatukioni ni kwamba KLOPP ni Kocha Mzuri lakini ukweli usiofichika ni Kwamba Tayari AMEPROVE FAILURE KUMFUNGA MAN UNITED
 
Na Kitu pekee ambacho hatupaswi kujifanya hatukioni ni kwamba KLOPP ni Kocha Mzuri lakini ukweli usiofichika ni Kwamba Tayari AMEPROVE FAILURE KUMFUNGA MAN UNITED
He is whining mara VAR mara refa should have given a foul for Origi bla bla... Utadhani hio imetoka dakika 94...

Botton line we had loads of minutes to win the game but nothing matured...

Came to change the system when time was no longer in our side...

The win at OT conitunues to wait..

Even with Manu fielding youngesters we can't find a way to win.. Man that is serious shows something is not right...

Utamsikia akisema its not the end of the world kutoshinda OT but we as fans don't see its that way.. If we can't beat them twice when they are this poor then ipo tatizo..
 
Yani Keita kacheza less than 15 minutes, ila amefanya cha maana kuliko bwana Henderson aliyecheza limuda loote lile. Mtu anaonyesha impact ndani ya a few minutes. Kiungo kikatulia, passes completed and chances created.

Henderson ni bure kbs. Asee. Bwana mzigo jamani yule! Duh.
 
Niliwambia pale OT kuna natural power inawalinda mashetani

Hii game kwa man u ilikuwa kama final, so ilikuwa ngumu sana kukubali kupigwa kizembe,
Var+referee upepo ulikiwa kwa man u,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom