Mpira unaweza usione pengune huangalii unaangalia timu yako kipind cha kwanza liverpool hawakuwa vizur mtu wa mpira atakwambia jamaa yako yupo sahihiMkuu naelewa derby ila kwa hawa man ni hawana chakutuzidi yaani hawawezi kufunga goli mbili mechi moja ,tuogope kisa derby?
Mechi ilikuwa ya ushindi kwa uwanjani man u walivyocheza sijaona mpira wa man u wakutisha kama tulivyocheza na chelsea.
Weka akiba ya maneno...Mpira dk 90Unatoa Henderson unaingiza Lallana
Yani unatoa Mzoga unaingiza Mzoga
Keita kabadili game balaa angeingia kpnd cha pili mwanzoni tungekuwa na matokeo ya ushindi sasa ni dhahiri henderson hatufai kabisa mid yetu iwe widj- fabinho- keita au chambo- fabinho - keitaFT United 1-1 Liverpool
Keita keita keita.
Huyo jamaa klopp anamwonea sana. Kabadilisha game kabisa.
Lalana katuokoa kwenye aibu.
YNWA
Kazi ilianza ligi ilipoanza,saiv kazi inaendelea mbeleMnafurahia sare 😀 😀
Kazi ndio imeanza hivyo ni mwendo wa kudrop points sasa
spurs anajichukulia point zake 3Kazi ilianza ligi ilipoanza,saiv kazi inaendelea mbele
Goli la mane limeniumiza sana aniiNi shida
Am angrybaba swalehe unatukana
Yaani nmechukia mnoo mkuuuuuMaajabu ni kwamba fred kaupush mkono mwenyewe kuupotezea mpira direction
Tukumpalisha kyalaThank you vijana wetu!
Mmepambana ugenini
Point 1 toka kwa wapinzani wetu wakubwa sio mbaya
Sasa tunarudi home kujiandaa na SPURS
Mzee yaani hii game tumeshinda shida refa aniiiiSo we share the spoil at OT...
Not what I expected though...
As they say something is better than nothing...
YOU IL NEVER WALK ALONE
Ha ha haa,hongera washabiki wa man u kwa kubana na kupata droo nyumbani.spurs anajichukulia point zake 3
Mnafurahia sare 😀 😀
Kazi ndio imeanza hivyo ni mwendo wa kudrop points sasa