Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Popote utapoenda hutokuta attacking midfielder kwa mpira wa klop, ndo maana ata coutinho alibadilishwa kuwa winger wakat alikuwa attacking midfielder
4-3-3 wanatumia CDM 1 na CM2 au vice versa
Au CDM na RM pamoja na LM
Attacking midfielder ni common kwa 4-4-2 au ata 5-3-1
Attacking midfielder atawekwa kwa kuforsiwa tu
Ninachokijua mimi ni kitu kimoja tu,Liverpool haina natural Creative midfield kwa mfumo wowote ule tutakaoucheza kwa sasa zaidi ya ku false tu,kwa mfumo wa 4 3 3 Henderson anacheza kama R CM kitu ambacho kwake ni kigumu kwa sababu sio mpiga passes mzuri ,sio creative anajikuta na Yeye ni Defensive midfield.
 
Mi namuelewa hendo hata kama hana statxs nzuri...

Napenda watu wanaojituma, lakn kuna watu wana statxs kuriko hendo kama akina pogba lakn upgaj kazi wa hendo ni mkubwa sana maana hana cha ku offer kngne..

Liver tuko vzur kwasababu ya watu kama hawa.. milner, hendo, mane, anord, matip, gini, na wengne typ hii wanajituma kama timu ya baba yao.

Game ya barca pale anfield rudien tena... hendo alkuwa kama ng'ombe aliepata kichaa japo wengne ndio wanaonekana walisadia sana

Anapiga kazi kama ipi kwa Mfano?
Naomba jibu tusikimbiane
 
Na huyu aina ya Henderson, mazoezini wa kwanza, yeye hapigi chenga anajua pass. tu, anakaba, anawaongoza wenzake, ukimwambia kitu anakitimiza, Hana makuu nje ya uwanja..

Yupi utampanga kwenye timu yako?

Kumbe humu tuna Watu wanaotazama Mpira kwenye Magazeti badala ya TV.

Eti Henderson anapiga Pasi!!! Pasi zipi kwa mfano?

Eti Henderson anakaba!! Anamkaba nani kwa Mfano?

Sasa nimeshwaelewa kwanini Nikawaletea Stats za Hendo munazikataa! Kumbe munaongea kwa hisia badala ya Facts.

ONLY NUMBER TALKS kwahiyo ninakuja tena na Stats za kukaba pamoja na kupiga pasi hizo ulizomsifia Henderson.

KWENYE KUPIGA PASI:

√ Henderson katuka Michezao 8 ya EPL amepiga Complete passes 186 na Kuwa yupo nafasi ya 124 katika orodha ya Wachezaji waliopiga Complete passes nyingi EPL.

√ Fabinho amepiga Complete passes 401

√ Gini amepiga complete passes 336


Hapo Hendo anaonesha ni Kiungo aliyepiga Pasi Kidogo kuliko Viungo wetu wote katika Viungo wetu 3 (Gini, Fabinho na Hendo) halafu Mtu anakwambia anapiga pasi!! Ukimwambia alete stats anakwambia Hataki stats lakini Hendo anapiga kazi.
Pasi gani hizo Mkuu ulizokusudia?

KWENYE KUKABA:

√ Mane ni Mshambuliaji lakini ameshacheza Tackles 14 kwenye EPL

√ Henderson anayeitwa Mkabaji amecheza Tackles 12 tu na Kuwa ni Mtu wa 65 katika wachezaji waliocheza tackles nyingi EPL.
Sasa kama hawezi hata kucheza Tackles na anashindwa na Forward kucheza Tackles nyingi, anamkaba nani labda?

Acheni kuongea kwa kuhadithiwa Fuatilieni mpira kwanza muone uwezo wa mchezaji.
 
Kama hivi ndo unavyodhani basi kafanye tena homework

Mimi hapa siongelei DHANA bali ninaongelea kinachofanyika uwanjani kwa kila mechi ninayoifatilia.

Kwavile nimeshakuelewa wewe ni Mtu wa aina gani! Kwa Amani kabisa hii ndiyo post yangu ya Mwisho kukujibu.

Uwe na Siku njema.
 
August, September zimekatika na ombi lako ilikua hivi hivi na bado ukitazama ubao unasoma majogoo Wa jiji tupo juu...

Ushauri... 'If you can't beat them join them '
Kitu watu wabashindwa kuelewa ni kuwa wachezaji pro wanapewa majukumu na kocha uwanjani,na kama hafanyi vile anavyotaka kocha basi atakaa benchi ,kama timu itafungwa kocha atawajibika kwa hilo kwa sababu ni manager/head wa timu.Sasa liver ina 16
Popote utapoenda hutokuta attacking midfielder kwa mpira wa klop, ndo maana ata coutinho alibadilishwa kuwa winger wakat alikuwa attacking midfielder
4-3-3 wanatumia CDM 1 na CM2 au vice versa
Au CDM na RM pamoja na LM
Attacking midfielder ni common kwa 4-4-2 au ata 5-3-1
Attacking midfielder atawekwa kwa kuforsiwa tu
Hawataweza kukuelewa mpaka pale watakapojua kuwa staili ya liver ni tofauti kabisa na viungo wana kazi nyingine kabisa tofauti na viungo wa timu zingine,kwa kiufupi viungo wa liver wapo maalumu kwa ajili ya ball retention ,space covering and creation(positioning kwa ajili wachezaji wengine) hii ina stretch defence ya timu pinzani bila kuwa na mpira au kupasiwa yaan draw out defenders wa timu pinzani ,,break attack... na hivi vyote huwezi kuona you tube wala kwenye TV labda uwe uwanjan ndo unaweza kuona movement zao(off the ball), kwa kifupi anayejua majukumu vizuri ni klopp na jopo lake la makocha period.
 
Huu sio uzi wa kubishana, huu ni uzi wa washabiki wa Liverpool kubadilishana mawazo. Wewe nenda katafute uzi wa timu yako ukaweke hizi comments zako huko
Sasa mimi kutoa predictions zangu ndo nmebishana?

Kila la kheri Chelsea
 
August, September zimekatika na ombi lako ilikua hivi hivi na bado ukitazama ubao unasoma majogoo Wa jiji tupo juu...

Ushauri... 'If you can't beat them join them '
Aaah wap mwisho utabiri wangu utatimia tu ..mpaka December mutakuwa chini yetu au chini ya man city ..sisi tunawajua bwana..

Kila la kheri Chelsea
 
Hii timu naitabiria mabaya mwezi huu wa kumi na kumi na moja ..ili kumi na mbili muwe sambamba na Tottenham au arsenal uko ..wakati huo sisi tutakuwa tukichuana vikali na Man city ...

Kila la kheri Chelsea
 
Kumbe humu tuna Watu wanaotazama Mpira kwenye Magazeti badala ya TV.

Eti Henderson anapiga Pasi!!! Pasi zipi kwa mfano?

Eti Henderson anakaba!! Anamkaba nani kwa Mfano?

Sasa nimeshwaelewa kwanini Nikawaletea Stats za Hendo munazikataa! Kumbe munaongea kwa hisia badala ya Facts.

ONLY NUMBER TALKS kwahiyo ninakuja tena na Stats za kukaba pamoja na kupiga pasi hizo ulizomsifia Henderson.

KWENYE KUPIGA PASI:

√ Henderson katuka Michezao 8 ya EPL amepiga Complete passes 186 na Kuwa yupo nafasi ya 124 katika orodha ya Wachezaji waliopiga Complete passes nyingi EPL.

√ Fabinho amepiga Complete passes 401

√ Gini amepiga complete passes 336


Hapo Hendo anaonesha ni Kiungo aliyepiga Pasi Kidogo kuliko Viungo wetu wote katika Viungo wetu 3 (Gini, Fabinho na Hendo) halafu Mtu anakwambia anapiga pasi!! Ukimwambia alete stats anakwambia Hataki stats lakini Hendo anapiga kazi.
Pasi gani hizo Mkuu ulizokusudia?

KWENYE KUKABA:

√ Mane ni Mshambuliaji lakini ameshacheza Tackles 14 kwenye EPL

√ Henderson anayeitwa Mkabaji amecheza Tackles 12 tu na Kuwa ni Mtu wa 65 katika wachezaji waliocheza tackles nyingi EPL.
Sasa kama hawezi hata kucheza Tackles na anashindwa na Forward kucheza Tackles nyingi, anamkaba nani labda?

Acheni kuongea kwa kuhadithiwa Fuatilieni mpira kwanza muone uwezo wa mchezaji.
Heshima yako mkuu ,
 
IMG_6453.JPG
 
nyie vijogoo vyakike nawapa offer mfungeni Manchester goal 3 nahamia rasimi kuwashabikia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom