Mario gotze?

IMG_6080.JPG
 
Napenda anajituma kwa kukaba.. ana long pass nadhan ni wa 4 ama 3 kwenye kikos, ni kiongozi anapokuwa uwanjani.

Ukisema ulete takwimu za hendo kwa kumshindanisha na wachezaj wengne wenye position moja utakuwa umemuonea sote tunajua hilo, maana msimu mzuri kwake alwah kuwa na assist 7 na goli kama 3 au 4 hv.

Lakn hao viungo wenye statxs nzuri mbona hatuon wamesaidia nn kwenye timu zao, kwanza jamaa huwa ana min chache za kucheza kulinganisha na wengne.

Pia huwez kuwa vzuri kila idala..mbona kuna team ziko na mids wazuri lkn hakuna kitu,

Siku zote anae tumia jitihada kufanikisha kitu kwangu mm ndio mzuri...
Hata hendo akotaftiwa mbadala wake nasi pale kati itabd apatikane ambae atakuwa na sifa kama za hendo.

Mimi sio shabik wa hendo lkn naona watu wanamshusha sana... kiasi kwamba hakuna anachofanya.

Muhimu ushindi unapatikana, ambao wana wachezaj wazur wanahangaika saiv siku zote watu huwa hawatoshek

Anajituma kukaba lakini hawezi kukaba
 
Nyie wenye kikosi kipana tumewapiga fainali

Tukaja darajani na kwenyewe tukawapiga

Hongera...
Sisi hatuna kikosi chenye uzoefu kama chenu ..lakini haiondoi ukweli kwamba Liverpool mna kikosi kidgo na kingine timu haziko njema kivile...Siku tukiwa kwenye level kama (naamini apo December) basi andika maumivu ..sasa mtoto kama Tomori ananifichia Salah, unategemea nin apo raundi ya pili ...

Kila la kheri Chelsea
 
Sisi hatuna kikosi chenye uzoefu kama chenu ..lakini haiondoi ukweli kwamba Liverpool mna kikosi kidgo na kingine timu haziko njema kivile...Siku tukiwa kwenye level kama (naamini apo December) basi andika maumivu ..sasa mtoto kama Tomori ananifichia Salah, unategemea nin apo raundi ya pili ...

Kila la kheri Chelsea
I have told you if you will stop weed you will become a president
 
Wewe unaongea ongea tu hata unachokisimamia hukijui
Sisi hatuna kikosi chenye uzoefu kama chenu ..lakini haiondoi ukweli kwamba Liverpool mna kikosi kidgo na kingine timu haziko njema kivile...Siku tukiwa kwenye level kama (naamini apo December) basi andika maumivu ..sasa mtoto kama Tomori ananifichia Salah, unategemea nin apo raundi ya pili ...

Kila la kheri Chelsea
 
Napenda anajituma kwa kukaba..

Hebu tupe evidence ya kuprove Kuwa anakaba ili Wadau tuone huo ukabaji wake.

ana long pass

Upo kwenye daylight dream Mkuu? Enewey Tumeshacheza michezo 8 ya EPL tu naomba unitajie Mpira mmoja tu Mrefu (Long ball) aliwahi kupiga kwenye hiyo michezo 8 na Matokeo ya Mpira huo.

Msimu mzuri kwake alwah kuwa na assist 7 na goli kama 3 au 4 hv.

Kumbe unajua Kuwa ni Garasa lakini tu unajitia Upofu.

Lakn hao viungo wenye statxs nzuri mbona hatuon wamesaidia nn kwenye timu zao?

Kama nani Kwa Mfano Ni Kiungo Mzuri Aliyekuwa hasaidii chochote Kwenye Timu Yake?
Mimi nilimtolea Mfano KDB je hujui anachoisaidia Man City?
Guandogan?
Silva?
Kante?
Fernandinho?
Veratti?
Matuidi?
Pjanic?

Kwanza jamaa huwa ana min chache za kucheza kulinganisha na wengne.

Wewe kumbe hufuatilii Mpira nimegundua hilo!

Henderson amecheza dakika 412
Kante amecheza dakika 287
James Milner amecheza dakika 226
Lucas Torreira amecheza dakika 202

Hao wote kwenye EPL wamecheza dakika chache msimu kuliko Henderson but wameshafunga au Kuassist msimu huu in all competitions.

Mbona kuna team ziko na mids wazuri lkn hakuna kitu.

Hii sio point ya Msingi coz hapa hatuzungumzii Mafanikio ya Timu bali tunazungumzia Uwezo binafsi wa Mchezaji.
Ni sawa na Kusema Messi mbovu kuliko Origi kwasababu tu Liverpool ya Origi imemfunga Barcelona 4 - 0

Siku zote anae tumia jitihada kufanikisha kitu kwangu mm ndio mzuri...

Hendo kafanikisha Lipi Ndani ya Liverpool???
Kabla ya kubeba CL alikuepo Liverpool takriban Misimu 7 alitupatia nini?
Si baada ya Kuja Kina Mane, VVD, Salah, Fabinho, Alison, Robertson, Matip, TAA, GINI ndiyo tukapata Mafanikio? Au umesahau?
Sasa kusema Hendo kafanikisha kitu wakati waliojitoa na kufanikisha tumewaona itakuwa ni jambo la ajabu.


Bado hujanipa sababu za ubora wa Henderson
 
Nmeuliza swali mkuu hapo juu kuhusu trent kwa nn aschezeshwe... Kama winga sasa
Mkuu huyu ndogo yupo very adaptable ukizingatia alianza kucheza pale academy Midfield kabla hajapelekwa beki wa kulia..Kwa sasa hana nafasi ya kua tested properly kama real winger Kwa vile mfumo huu wetu hauna natural wingers pindi tunaposhambulia kutokana na ukweli kua RB na LB hugeuka ma winger...

Anazo sifa za kua winger na ukiangalia stats zake utaona muda mwingi yeye awepo uwanjani huwa zaidi upande wa Timu pinzani kupeleka mashambulizi...

Kwa mfumo huu wa sasa Trent anacheza zaidi kama winger japo kimpira wanaitwa Overlapping Fullbacks ambapo ni yeye na Robertson... Kwa mfumo huu wanashambulia zaidi kutumia pembeni ni muda huo Salah au Mane ambao ndio ma winger wetu huingia zaidi kwenye kumi na nane kusubiri klosi za Trent ama rebounds...

Mfumo huu umefanilkiwa zaidi kutokana na Trent /Robby kua aggressive, fearless, athletic, quality crosses, excellent passing range.. And Klopp sioni akibadilisha kwa vile ushampa mafanikio zaidi

Trent Best QUALITIES
His main task is to provide width going forward , be aggressive, speed with highest tempo,deliver quality crosses but when we lose the ball boy has to track quickly and defend...at times he get caught especially when playing with a real counter attacking team..

When he attacks our Mids mostly Fabi or Hendo cover the spaces or the channels on his side just incase the opposition do attack.. But because he is pacy and athletic probably due to age he try as much to get back to his position...

Trent weakness
His weakness is mostly he hit so many useless passes at times rather than play the ball back but who can blame him that side he plays mostly with Hendo... His other weakness he is very poor at aerial balls but who cares when he is either taking the corners or scoring the dead balls...

Also his other weakness and won't blossom as a winger is his dribbling is not the best, and a winger who can't dribble like Mane would be colossal task to ask

With 4 3 3 formation the full back RB suit him well unless we get another RB and Klopp change the system he is there to stay at RB..
 
Mkuu huyu ndogo yupo very adaptable ukizingatia alianza kucheza pale academy Midfield kabla hajapelekwa beki wa kulia..Kwa sasa hana nafasi ya kua tested properly kama real winger Kwa vile mfumo huu wetu hauna natural wingers pindi tunaposhambulia kutokana na ukweli kua RB na LB hugeuka ma winger...

Anazo sifa za kua winger na ukiangalia stats zake utaona muda mwingi yeye awepo uwanjani huwa zaidi upande wa Timu pinzani kupeleka mashambulizi...

Kwa mfumo huu wa sasa Trent anacheza zaidi kama winger japo kimpira wanaitwa Overlapping Fullbacks ambapo ni yeye na Robertson... Kwa mfumo huu wanashambulia zaidi kutumia pembeni ni muda huo Salah au Mane ambao ndio ma winger wetu huingia zaidi kwenye kumi na nane kusubiri klosi za Trent ama rebounds...

Mfumo huu umefanilkiwa zaidi kutokana na Trent /Robby kua aggressive, fearless, athletic, quality crosses, excellent passing range.. And Klopp sioni akibadilisha kwa vile ushampa mafanikio zaidi

Trent Best QUALITIES
His main task is to provide width going forward , be aggressive, speed with highest tempo,deliver quality crosses but when we lose the ball boy has to track quickly and defend...at times he get caught especially when playing with a real counter attacking team..

When he attacks our Mids mostly Fabi or Hendo cover the spaces or the channels on his side just incase the opposition do attack.. But because he is pacy and athletic probably due to age he try as much to get back to his position...

Trent weakness
His weakness is mostly he hit so many useless passes at times rather than play the ball back but who can blame him that side he plays mostly with Hendo... His other weakness he is very poor at aerial balls but who cares when he is either taking the corners or scoring the dead balls...

Also his other weakness and won't blossom as a winger is his dribbling is not the best, and a winger who can't dribble like Mane would be colossal task to ask

With 4 3 3 formation the full back RB suit him well unless we get another RB and Klopp change the system he is there to stay at RB..
Nmeelewa mkuu

Asante
 
Back
Top Bottom