bobby_Barbosa_9
JF-Expert Member
- Jul 29, 2019
- 623
- 1,254
Ni kweli, Na tukijitahd sana tunaweza kupambana kwa msimu huu lakin hatuwez ku'maintain misimu mingine kwakuwa na kikos kdg kama hichi.Kwa kikosi chenu hamna maisha marefu mkuu...kikosi finyu sana na wachezaji ndo hao hao wanakipiga mwanzo mwisho..
Kila la kheri Chelsea