Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii comment ndo tofaut ya passionate na reason
Ukiendelea kufikiri hivi utajiumiza sana na stats zako mkuu
Utaona kama nakuponda ila jarb kuangalia mpira kwa jicho la tatu na si stats

Kwanza kabisa Mimi sijui Mpira unaangaliwaje kwa Jicho la 3 na wala sina mpango wa kuangalia Mchezaji kwa Jicho la 3. Only Chief-Mkwawa ndiyo anayeangalia Mpira kwa Jicho la 3.

Sasa kama unaona Stats sio Kureasoning! Basi endelea kumuangalia Hendo kwa Jicho la 3.

But unakataa Stats za Hendo kwasababu you know exactly linapokuja suala la Stats he is nothing inside the pitch that's why unajaribu kumpamba kwa Maneno matupu na Mazuri.

Anacho-offer ni only pointing a finger to his teammates warudishe Mpira Nyuma pamoja na kufokea Marefa.
 
Hilo ndiyo Jibu ambalo ulipaswa kunijibu mapema bila ya hata kufikia Hapa.

Labda nikupe my point ya nilichokiandika from the beginning...

My point haikuwa Kumponda GINI bali Nilichokusudia ni kutoa indirect message Kuwa Henderson anafanya mpaka Mido waliomzunguka waonekane Hamna Kitu!

Coz GINI yupo more attacking player kuliko Central or Defensive, But nafasi ya attacking imekuwa ni Hatimiliki ya Henderson kiasi ya kwamba kina KEITA na GINI wanahamishwa kwenye Position zisizokuwa zao na kupelekea Uwezo wao kufichika kama sio Kudumaa.

But kwenye Timu ya Taifa GINI anapewa Uhuru wa Kucheza na Kuattack ndiyomana anakuwa Tofauti na Yule wa Liverpool.

Kama ulikuwa hujui ni kwamba 4-3-3 tunayocheza hainaga attacking midfielder
 
Kama ulikuwa hujui ni kwamba 4-3-3 tunayocheza hainaga attacking midfielder

Hao 3 Midfielders hawachezai kama Tunavyowaandika

Fabinho Huwa Nyuma ya Wote (GINI & HENDO)

GINI anacheza Center kutokea Kushoto.

Hendo anakuwa Mbele ya Wote (GINI & FABINHO) akitokea kulia ambaye anakuwa more offensive but anashindwa kudeliver chochote kwasababu sio creative.

What's your point kusema hatuna attacking Midfielder?

Ukisema hatuna attacking Midfielder manayake hatuna Link kutoka Kwenye Defenders na Washambuliaji! That means tunaplaye Bus-Parking football right?
 
Kama ulikuwa hujui ni kwamba 4-3-3 tunayocheza hainaga attacking midfielder

Na jengine ni kwamba Henderson amedizainiwa Kuwa Box2Box midfielder but fail to adapt and produce nothing good! So, failure ya Henderson isikufanye ukajudge Kuwa we are not playing with attacking Midfielder.

Remember Coutinho wakati Klopp alikuwa Kazama kwenye 4-3-3 na gengenpressing nadhani ulikuwa ukimuona C10 alivyokuwa real attacking Midfielder na kila game alikuwa either anatoka na Goli au Assist.

Lakini leo unaniambia 4-3-3 haina attacking Midfielder??? Labda hiyo formation iwe ni ya Zahera.
 
Simuoni kama bonge la mchezaj, ila anaplay part yake kuwafanya wachezaji kuwa bonge la mchezaj, you see, maana ya team work ni kuwa na aina tofaut tofaut ya wachezaji wenye michezo tofaut kutengeneza combination, naamini nikikuuliza kibaya cha Henderson ni nini najua hujui, bali unaponda kwa sababu watu humu wanamponda, hii huitwa credulous, ndo maana kama kwenye eating akipewa higher rating mnakuwa mnaiponda hiyo sight,
Ndo jinsi binadam walivyoumwa

Sio kuwa namtetea, la hasha, leo hii nikimtukana mtu hadharani na kugombana nae bila huruma, watu wataniita katili na mwenye dharau, haimaanishi mema nitayoyafanya mbele au popote ila tu watu ndo washajiwekea hyo belief bila kufatilia stori behind the scene

Hernderson ni mchezaji wa kawaida tu ila anastabilize mido, japo unaweza kumreplace ila ni kiongozi mchapa kazi mwenye nidham
Goodluck kwenu nyie mnaomponda kiongozi anaejituma
Ahahah eti namponda Henderson kwa kuwa wengne wanamponda dah aiseeee
 
Na jengine ni kwamba Henderson amedizainiwa Kuwa Box2Box midfielder but fail to adapt and produce nothing good! So, failure ya Henderson isikufanye ukajudge Kuwa we are not playing with attacking Midfielder.

Remember Coutinho wakati Klopp alikuwa Kazama kwenye 4-3-3 na gengenpressing nadhani ulikuwa ukimuona C10 alivyokuwa real attacking Midfielder na kila game alikuwa either anatoka na Goli au Assist.

Lakini leo unaniambia 4-3-3 haina attacking Midfielder??? Labda hiyo formation iwe ni ya Zahera.
Mm nazidi kuchukua elimu tu hapa , mambo ya DM , CM ,box to box
 
Next game against Manure

Ni headache tu

Manure hata wawe wabovu vipi wakikutana na Liverpool hugeuka Mbogo aliyejeruhiwa

Kuna waliokwishajiwekea Matokeo yao Mfukoni lakini kwamimi nasema bado kazi tunayo Manure hatokubali kupoteza game kwa Liverpool kwa gharama yoyote ile.
 
Manure watafungwa tu hata kwa kubakwa
Next game against Manure

Ni headache tu

Manure hata wawe wabovu vipi wakikutana na Liverpool hugeuka Mbogo aliyejeruhiwa

Kuna waliokwishajiwekea Matokeo yao Mfukoni lakini kwamimi nasema bado Nazi tunayo Manure hatokubali kupoteza game kwa Liverpool kwa gharama yoyote ile.
 
Mi namuelewa hendo hata kama hana statxs nzuri...

Napenda watu wanaojituma, lakn kuna watu wana statxs kuriko hendo kama akina pogba lakn upgaj kazi wa hendo ni mkubwa sana maana hana cha ku offer kngne..

Liver tuko vzur kwasababu ya watu kama hawa.. milner, hendo, mane, anord, matip, gini, na wengne typ hii wanajituma kama timu ya baba yao.

Game ya barca pale anfield rudien tena... hendo alkuwa kama ng'ombe aliepata kichaa japo wengne ndio wanaonekana walisadia sana
 
Nyie kenge mjiandae kisaikolojia mnakufa ot naapa mkijitahd sana draw licha ya man u kutokuwa vizuri ila amini kwamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom