MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,581
- 11,799
Kuna Moja ya post yangu, nimesema Moja ya sababu ya Man Utd kutofanya vizuri ni kutokuwa na nidhamu nzuri ya baadhi ya wachezaji wazuri, sijamaanisha Jones na Young ni wachezaji wazuri hawapaswi kuondoka.Kwamba young na jones wazur kwa kuwa kila kocha kawabakisha?
Ngoj nikupe kitu kubak kwa mchezaj inafuatana na vile kocha anavyoona kupata mbadala ni vigumu pengine viwango vinafanana na unaetaka kumuuza na sokoni bei ipo juu kumwachia mchezaj ni ngumu ni bora uwe nae wakat unasaka mbadala
Mourinho alilazimika kumpa mkataba mpya fellain baada ya bodi kushindwa kutafuta mbadala wa fellain huwez kuuza mchezaj wakat huna uhakika wa kupata replacement.
Wakati wa Mourinho kuna mchezaji wenu amewahi Kusema mwalimu ana mbinu mbaya (This is totally unprofessional). Baadhi ya mashabiki wakamuunga mkono huyo mchezaji na kutupa lawama kwa Mourinho (Licha ya mapungufu yake).
Point yangu naweza kuilezea hivi.
Imagine wewe ni coach unawachezaji wawili mmoja type ya Henderson na Mwingine aina ya Neymar very talented na very creative.
Huyu aina ya Neymar anachelewa mazoezini, penalty anapiga kwa kisigino, Hatoi pasi mpaka apige chenga watu 3, mechi anacheza Dakika 18 ameshachoka, mademu wake, ana magari 8 na Kwa wiki mna session 2 za mazoezini kwa siku 5, kila siku yupo saloon kubadili style ya nywele.
Na huyu aina ya Henderson, mazoezini wa kwanza, yeye hapigi chenga anajua pass. tu, anakaba, anawaongoza wenzake, ukimwambia kitu anakitimiza, Hana makuu nje ya uwanja..
Yupi utampanga kwenye timu yako?
16 Years Ago Today:
Steven Gerrard was named
710 Games
186 Goals
115 Assists
Anfield Legend.
